Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 16,113
- 33,398
Mosi.
Inabidi tukubali kuwa tayari nchi haina ujanja wowote wa kuepukana na janga hili kwani tayari wagonjwa tunao zaidi zaidi zitafutwe mbinu tu za kupunguza maambukizi.
Pili
Isifungwe miji yote bali baadhi ya miji ambayo itaonekana kinara wa maambukizi
Hii itasaidia shughuli kuendelea kwingineko ili kukabiliana na athari za kiuchumi n.k
Tatu
Na kama italazimika iwe kote nchini basi kule kusikokuwa na maambukizi mengi laweza tokewa tamko pasiwepo mikusanyiko zaidi ya watu 5 na hao wakae ktk umbali unaopendekezwa na wataalamu
Nne
Ikitokea serikali imeamua kuifunga nchi nzima basi imuangalie huyu anae ishi kwa wastani wa chini ya dola moja kumwezesha namna ya kuishi ktk kipindi chote cha lockdown
Tano
Kuchapana viboko na kulazimishana kujifumgia ndani kusiwepo mambo ya kizamani hayo, mwananchi mwenyewe akiona misiba minne nyuba za jirani atajiongeza na kukaa ndani pasipo shuruti
Hii inamaana kwamba ni ngumu raia kujifungia ndani afe kwa njaa wakati huohuo kwenye mji aanaoishi hakuna maambukizi ambayo yamesha tangazwa.
Sita
ongezeni na nyie.
Maoni yangu ya kuhitimisha
Raia tujitahidi kufuata maelekezo ya wataalamu, hakuna mwaansiasa au kiongozi yeyote iwe wa dini au kisiasa atakaye kuokoa na janga hili
Tahadhari utakayochukua ndio itaamua hatima yako juu ya ugonjwa huu.
Inabidi tukubali kuwa tayari nchi haina ujanja wowote wa kuepukana na janga hili kwani tayari wagonjwa tunao zaidi zaidi zitafutwe mbinu tu za kupunguza maambukizi.
Pili
Isifungwe miji yote bali baadhi ya miji ambayo itaonekana kinara wa maambukizi
Hii itasaidia shughuli kuendelea kwingineko ili kukabiliana na athari za kiuchumi n.k
Tatu
Na kama italazimika iwe kote nchini basi kule kusikokuwa na maambukizi mengi laweza tokewa tamko pasiwepo mikusanyiko zaidi ya watu 5 na hao wakae ktk umbali unaopendekezwa na wataalamu
Nne
Ikitokea serikali imeamua kuifunga nchi nzima basi imuangalie huyu anae ishi kwa wastani wa chini ya dola moja kumwezesha namna ya kuishi ktk kipindi chote cha lockdown
Tano
Kuchapana viboko na kulazimishana kujifumgia ndani kusiwepo mambo ya kizamani hayo, mwananchi mwenyewe akiona misiba minne nyuba za jirani atajiongeza na kukaa ndani pasipo shuruti
Hii inamaana kwamba ni ngumu raia kujifungia ndani afe kwa njaa wakati huohuo kwenye mji aanaoishi hakuna maambukizi ambayo yamesha tangazwa.
Sita
ongezeni na nyie.
Maoni yangu ya kuhitimisha
Raia tujitahidi kufuata maelekezo ya wataalamu, hakuna mwaansiasa au kiongozi yeyote iwe wa dini au kisiasa atakaye kuokoa na janga hili
Tahadhari utakayochukua ndio itaamua hatima yako juu ya ugonjwa huu.