Nimesahau, nadhani. Hivi lini watanzania tumedai haki zetu?
Lini wahusika tumewahi kupambana?
Watanzania lini tumefungua midomo yetu, tukatoka nje kwetu na kwenda kudai haki zetu?
Au hiyo kazi ya Zitto, Lissu na Fatma Karume watudaie?
Watanzania, inapitishwa kanuni kandamizi, wadau...