Wataalam wadau wa jukwaa hili.
Sina mengi ya kueleza, ila kama kuna mdau anajua duka ninaloweza kupata Floppy disk drive naomba anielekeze, nipo DSM.
Asante sana kwa ushirikiano.
Habari wakuu.
Takribani majuma mawili yaliyopita nilipost thread katika Jukwa ili thread yenye title : NATAFUTA KAZI YEYOTE ILE nashukuru Mungu japo kuwa muitikio haukua positive directly ila indirectly ulinifungua sana akili nakuniwezesha kuona opportunity ambayo inaweza zalisha kipato...
Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh.
Kwa jina naitwa Aziza Ramadhan, nahitaji mume mtu mzima ambaye anajua wajibu na majukumu yake, miaka 40-75. Niko serious kabisa kwa hili. Kwa maongezi zaidi njoo WhatsApp 0711-297 086.
NB: KAMA HUNA MIAKA 40-75 USINITAFUTE.
Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh.
Kwa jina naitwa Aziza Ramadhan, nahitaji mume mtu mzima ambaye anajua wajibu na majukumu yake, miaka 40-75. Niko serious kabisa kwa hili. Kwa maongezi zaidi njoo WhatsApp.......
==>> 0711-297 086.
NB: KAMA HUNA MIAKA 42-75 USINITAFUTE.
UKIWA CHINI YA MIAKA 45 NI MARUFUKU KUNITAFUTA.
Hello mimi niko single, nahitaji mume, Miaka 45-75.....awe anajiweza kutunza na kuhudumia mke, familia. Dini yoyote, niko tayari kuwa hata mke wa 2, 3, 4.
Wakuu,,,
Sasa nimechoshwa na haya machaja Uchwara, Simu unachaji masaa masaa 6 bado haijai.
Nisaidie Original &Fast charger kwa brand yoyote kikubwa Iwe genuine and fast na alama muhimu kuwa ni Original.. my Maximum budget ni 50,000/=
Hello, nahitaji mume mtu mzima, miaka 45-78. Mwanaume mtu mzima ambaye yuko tayari kuwa na mimi anicheki WhatsApp kwa maongezi zaidi 0747855329.
UNAPOKUJA PM ZINGATIA MAELEZO.
Habari za wakati huu Ndugu zangu Wana-jamiiforums. Nina maswali kadhaa kuhusu kirusi kinachosababisha HIV.
1. Kwanini ni vigumu kirusi kinachosababisha HIV kufa hata kikiwa nje ya mfumo wa mwili wa binadamu? Mfano( Mtu mwenye maambukizi anashona viatu ila bahati mbaya sindano inamchoma...
Wakuu wa kazi, upweke utaniua mwenzenu na nimeokoka sitaki kuwa na nyumba ndogo
Mwenzangu ni mwalimu huko machakani, elewa neno machakani, ni machakani haswaaa.
Sasa nilijipa matumaini atafanikiwa kuhama baada ya tangazo fulani la msawazo mwaka jana, ila tangu ajaze lile tangazo huu ni mwezi...
Mimi tatizo langu kubwa ambalo linaloninyima raha ni kuwa korodani zangu naona si kubwa kiasi kile ambacho ngependa ziwe.
Napenda kawe kafurushi flani hivi hata nikiwa sina nguo zinaning'inia (pumbuh mzigo) napenda sana. Hizi nlizo nazo of course demu wengine husema wanazipenda nikiwa nyuma yao...
Habari wakuu....
Nahitaji godoro liwe 5*6 kuanzia inch 8 na kuendelea.
Mahali linapohitajika:Unguja Zanzibar
Bajeti Iko vizuri wewe taja bei kulingana na ubora.
Air cooler inayotakiwa ni Orient 30L
Au DSP 5L
Habari ndugu Wana jf
Kama kichwa Cha habari kinavyojinasibu,ni muda sasa wa kuwa na management ili kuweza Kupiga hata nyingine mbele
Reference
https://youtu.be/VK7hmI2f0nM?si=llacND976UlR3kLR
Natanguliza hongera
Bi sagrada samahani kwa yote sikuwa nimekuona kwa karibu !! Na sasa nimekuona nimegundua unahitaji mapenzi ya kweli kutoka kwangu !! Achana na siasa njoo huku tutafute familia !! Siasa ni mchezo mchafu inakutumia kisha inakutelekeza !! Siasa Haina usawa haioni thamani ya mtu mpaka ufe ndio siasa...
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosomeka,nahitaji chumba single self.
Bajeti yangu ni 50k hadi 120k.
Ikipatikana haya maeneo itakuwa vizuri zaidi:
Town/mjini, rau, kcmc hadi kule ushirika wa neema....
Au kama kuna mtu mwenye kufahamu kama kuna nyumba za shirika la nyumba la taifa, NHC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.