nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Floppy disk drive

    Wataalam wadau wa jukwaa hili. Sina mengi ya kueleza, ila kama kuna mdau anajua duka ninaloweza kupata Floppy disk drive naomba anielekeze, nipo DSM. Asante sana kwa ushirikiano.
  2. sangaima

    JamiiForums Tanzania NAHITAJI BUSINESS PARTNER

    Habari wakuu. Takribani majuma mawili yaliyopita nilipost thread katika Jukwa ili thread yenye title : NATAFUTA KAZI YEYOTE ILE nashukuru Mungu japo kuwa muitikio haukua positive directly ila indirectly ulinifungua sana akili nakuniwezesha kuona opportunity ambayo inaweza zalisha kipato...
  3. mrembomzuri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mume miaka 40-75

    Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh. Kwa jina naitwa Aziza Ramadhan, nahitaji mume mtu mzima ambaye anajua wajibu na majukumu yake, miaka 40-75. Niko serious kabisa kwa hili. Kwa maongezi zaidi njoo WhatsApp 0711-297 086. NB: KAMA HUNA MIAKA 40-75 USINITAFUTE.
  4. mrembomzuri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mume miaka 40-75.

    Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh. Kwa jina naitwa Aziza Ramadhan, nahitaji mume mtu mzima ambaye anajua wajibu na majukumu yake, miaka 40-75. Niko serious kabisa kwa hili. Kwa maongezi zaidi njoo WhatsApp....... ==>> 0711-297 086. NB: KAMA HUNA MIAKA 42-75 USINITAFUTE.
  5. BANGO JEUPE

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Kati Ya Gari Hizi Ndogo Bajeti Mil 3

    habarini Wakuu Niko Dar, Nina Mil 3 Hapa Nataka Kati Ya Gari Hizi Starlet, Corolla Fe, Clavia Au Sprinter Asanteni
  6. mrembomzuri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mume kuanzia miaka 45

    UKIWA CHINI YA MIAKA 45 NI MARUFUKU KUNITAFUTA. Hello mimi niko single, nahitaji mume, Miaka 45-75.....awe anajiweza kutunza na kuhudumia mke, familia. Dini yoyote, niko tayari kuwa hata mke wa 2, 3, 4.
  7. Zekoddo

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Fast charger original

    Wakuu,,, Sasa nimechoshwa na haya machaja Uchwara, Simu unachaji masaa masaa 6 bado haijai. Nisaidie Original &Fast charger kwa brand yoyote kikubwa Iwe genuine and fast na alama muhimu kuwa ni Original.. my Maximum budget ni 50,000/=
  8. Jipatie Siagi ya karanga

    JamiiForums Tanzania Nahitaji gari , yenye Fridge ambayo itabeba samaki kutoka Kigambo to Sinza .

    Inahitajika Gari yenye Fridge ambayo itabeba samaki kutoka Kigamboni to Sinza. Ukubwa tani mbili Mawasiliano 0658124288, call & WhatsApp Welcome
  9. navigator msomi

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kueezeka nyumba ni ushauri gani utanifaa

    Jamani mnipe highlights hasa kuhusu selection ya bati,maana bajeti yangu sio kubwa sana
  10. mrembomzuri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mume mtu mzima

    Hello, nahitaji mume mtu mzima, miaka 45-78. Mwanaume mtu mzima ambaye yuko tayari kuwa na mimi anicheki WhatsApp kwa maongezi zaidi 0747855329. UNAPOKUJA PM ZINGATIA MAELEZO.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Nahitaji majibu kuhusu kirusi cha HIV

    Habari za wakati huu Ndugu zangu Wana-jamiiforums. Nina maswali kadhaa kuhusu kirusi kinachosababisha HIV. 1. Kwanini ni vigumu kirusi kinachosababisha HIV kufa hata kikiwa nje ya mfumo wa mwili wa binadamu? Mfano( Mtu mwenye maambukizi anashona viatu ila bahati mbaya sindano inamchoma...
  12. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Nahitaji connection ya kumuhamisha wamoyo wangu, yupo huko machakani, nimechoka upweke, dau lipo

    Wakuu wa kazi, upweke utaniua mwenzenu na nimeokoka sitaki kuwa na nyumba ndogo Mwenzangu ni mwalimu huko machakani, elewa neno machakani, ni machakani haswaaa. Sasa nilijipa matumaini atafanikiwa kuhama baada ya tangazo fulani la msawazo mwaka jana, ila tangu ajaze lile tangazo huu ni mwezi...
  13. Minjingu Jingu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji msaada please kama kuna Dawa nisaidieni napata Msongo

    Mimi tatizo langu kubwa ambalo linaloninyima raha ni kuwa korodani zangu naona si kubwa kiasi kile ambacho ngependa ziwe. Napenda kawe kafurushi flani hivi hata nikiwa sina nguo zinaning'inia (pumbuh mzigo) napenda sana. Hizi nlizo nazo of course demu wengine husema wanazipenda nikiwa nyuma yao...
  14. Baba Ndubwi

    JamiiForums Tanzania Nahitaji godoro na air cooler

    Habari wakuu.... Nahitaji godoro liwe 5*6 kuanzia inch 8 na kuendelea. Mahali linapohitajika:Unguja Zanzibar Bajeti Iko vizuri wewe taja bei kulingana na ubora. Air cooler inayotakiwa ni Orient 30L Au DSP 5L
  15. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwanamke wa kimasai

    Wakuu nahitaji kuoa mwanamke wa kimasai ,au mmangati naona wabantu wezangu wamenishinda.mahari naweza afford ngombe kumi.nawasilisha.
  16. Umuzukuru

    JamiiForums Tanzania Nahitaji management

    Habari ndugu Wana jf Kama kichwa Cha habari kinavyojinasibu,ni muda sasa wa kuwa na management ili kuweza Kupiga hata nyingine mbele Reference https://youtu.be/VK7hmI2f0nM?si=llacND976UlR3kLR Natanguliza hongera
  17. Mganguzi

    JamiiForums Tanzania Baada ya kumuona bi sagrada akiwa hoi kitandani nimegundua ni msichana mrembo sana ! Nahitaji kumuoa haraka aachane na siasa aje tutafute familia !!

    Bi sagrada samahani kwa yote sikuwa nimekuona kwa karibu !! Na sasa nimekuona nimegundua unahitaji mapenzi ya kweli kutoka kwangu !! Achana na siasa njoo huku tutafute familia !! Siasa ni mchezo mchafu inakutumia kisha inakutelekeza !! Siasa Haina usawa haioni thamani ya mtu mpaka ufe ndio siasa...
  18. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Nahitaji plastic foot model

    dar zinapatikana wapi na bei ya ni shilingi ngapi?
  19. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Toyota Pick Up (SINGLE CABIN)

    Wana JF, Nahitaji Toyota Pick Up iwe SINGLE CABIN, iwe katika hali nzuri, kama kuna mtu anayo ani-PM pamoja na Bei yake anayouza.
  20. A

    JamiiForums Tanzania Nahitaji chumba Moshi mjini

    Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosomeka,nahitaji chumba single self. Bajeti yangu ni 50k hadi 120k. Ikipatikana haya maeneo itakuwa vizuri zaidi: Town/mjini, rau, kcmc hadi kule ushirika wa neema.... Au kama kuna mtu mwenye kufahamu kama kuna nyumba za shirika la nyumba la taifa, NHC...
Back
Top Bottom