Karanga Lawfirm
Senior Member
- Feb 10, 2021
- 173
- 171
Habari, Mimi nikijana naejishughulisha na biashara ya stationery katika mkoa wa Songwe wilaya ya Mbozi . Printer nayotumia nilinunua Kwa mudu inachangamoto ambazo zinaathiri utendaji wangu wa KAZI.
Naomba msaada kama Kuna taasisi au mtu BINAFSI anayoprinter inayofanya KAZI vizuri na kwasasa haitumii anikopeshe niwe namlipa Kwa awamu.
SIMU; 0620314634
Naomba msaada kama Kuna taasisi au mtu BINAFSI anayoprinter inayofanya KAZI vizuri na kwasasa haitumii anikopeshe niwe namlipa Kwa awamu.
SIMU; 0620314634