mziki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. sky soldier

    Ni kitu gani kilipoteza muziki mzuri wa Kenya?

    Nakumbuka back in 2000s hapa bongo tayari bongo flava ilikuwa imebamba lakini bado tulikuwa tunakita ngoma za Kenya kwasababu zilikuwa za moto si mchezo. Nakumbuka wasanii waliokuwa wanatoa ngoma kali kina e sir (rip), nonini, nameless, prezzo, nazis, n.k Enzi hizo hata kwenye awards za...
  2. LUKAMA

    Ukuaji wa mziki wa Afrika. Hakika tunakua na kusonga mbele

    Habari za kazi wa kuu katika jukwaa langu pendwa, kwanza natoa pole kwa member wote kwa kuondokewa na mtu muhimu katika jukwaa hili warumi simfaham sura ila kwa taarifa nilizo pata ni home boy kabisa.😭😢 Mimi nimdau wa mziki wa Afrika wa kizazi kipya kwa kitambo kirefu toka miaka ya 90 mwishoni...
  3. Francis fares Maro

    Rayvanny nimekunyanyulia mikono

    Wakati mwengine ukweli usemwe, nilikua nadhani mziki wetu umepoteza dira kwasababu ya kiki, skendo na mambo mengine yasiokua na maana na tena yanaharibu kabisa watoto wetu huko uswahilini. Tokea Jana nimekua nasikiliza nyimbo nzuri sana za kijana huyu, tungo zake aisee, nimeangalia videos duh...
  4. Capsicum

    Ni wakati sasa wa kufanyia close monitoring muziki wa singeli

    Huu mziki kiukweli unatakiwa kuangaliwa kwa jicho la pekee kwani unaenda kuharibu maadili/ utamaduni wetu. Hebu cheki haya mashairi ya wimbo wa Snura akimshirikisha MSAGA SUMU . Msaga sumu: Naomba uniruhusu kupita snura usinibanie mie, naomba uniruhusu kupita snura...
  5. Naantombe Mushi

    Rayvanny angalia muziki wako usife maskini. Mwenzako Harmonize ana lebo tayari

    Nataka kumkumbusha Rayvanny asi concentrate sana na Papuchi akasahau mziki wake, akumbuke yeye bado ni muajiriwa wa label ya wasafi, asipofanya kazi hali... Sasa yeye aendelee kutangatanga na huyo mtoto wa kike asahau kwenda studio kufanya kazi. Mwenzake Harmonise ile label yake ana uhakika wa...
  6. sky soldier

    Diamond Platinumz tunakushukuru, Umeamsha vijana wengi walioridhika na mafanikio

    Kijana Diamond Platnumz ni msanii ambae ni fundisho sahihi la namna halisi la jinsI ya kuwa na maendeleo one step at a time, kutumia connections za watu (networking) na kuji brand, pengine niseme wasanii wengi wapo kwenye kiwanda cha muziki ila huyu jamaa yupo kwenye kajiongeza mpaka kwenye...
  7. Slowly

    WCB Wasafi kiwanda Bora cha mziki mjini

    Watanzania tumejaaliwa majungu chuki na wivu , hzo ndizo zawadi Bora kabisa tulizoachiwa, na Kwa kweli tupo vizur na tunazitendea haki,.....thus why Sisi ni moja kati ya nchi kumi zenye umaskini wa kutupwa duniani, .... hata hvyo katika sekta ya burdani Tanzania, WCB isifananishwe na utopolo...
  8. TheDreamer Thebeliever

    Diamond Platnumz mziki sasa inatosha, kastaafu kwa heshima ukimbilie kwenye siasa

    Habari wanabodi, Ushauri kwa ndugu yetu Diamond Platinum naona sasa taa nyekundu kwake imeanza kuwaka ni kiashiria kwamba mwisho wa muziki wake umekaribia au kama sivyo basi anatakiwe akaboost kidogo mambo kwa babu, itakuwa alijisahau huwa watu wana renew kwa babu kila mwaka. Kwa sasa naona...
  9. REJESHO HURU

    Makundi ya mziki na viongozi

    Tuanze 1.EAST COAST Wametoa mbunge FA 2. Hard blasters Walitoa mbunge Prof Jay 3.weusi Wametoa DC Nick wapili 4. Daz nundaz Wametoa mateja mnawajua 5.Tmk Wametoa diwani mkubwa fela 6. WCB Wametoa mbunge Babu tale 7. Tip top connection Wametoa mapunda mnawajua Ebu endelea wewe hapo
  10. Ferruccio Lamborghini

    Wasanii ambao mziki ulisababisha wapoteze majina yao ya asili

    Imekuwa ni kawaida kwa kampuni, taasisi na mashirika makubwa duniani kote kubadili majina kutokana na sababu za kibiashara, kubadilishwa kwa lengo la uanzishwaji wake au kuuzwa kwa mmiliki mwingine. Hilo pia hujitokeza kwa wasanii wa muziki, filamu na mitindo kwa lengo la kuimarisha chapa zao...
  11. albab

    Hivi WAKUU tuna mziki wa aina gani karne hii

    Sikupata nafasi ya kusikiliza audio ya KELEBE ya RAYVANY.... Basi nkaona si mbaayaaa kuangalia video nipate pia wasaa wa mashairi pia. LAHAULAAAAAAAAA...... Pengine ndo mziki mzuri kizazi hiki ila mimi HAPANA.
  12. 0ozg Tz

    Wataalamuwa kutengeneza beat na wapenzi wa muziki njooni

    Kuna huu wimbo wa Jay Helody-huba hulu. Sound yake nakuwa sielewi elewi, kila nikijaribu kuuweka naona unatoa sound ya ajabu, najaribu ku-equalizer lakin bado sound inayotoka haisound poa. Sasa nazani labda itakuwa producer alikosea au studio ilikuwa na vyombo vya kawaida. Unasound kama...
  13. Forest Hill

    Historia ya muziki wa kizazi kipya na chimbuko la neno Bongo Fleva

    Disclaimer:imesimuliwa na Martin Izze Chimbuko la muziki wa kizazi kipya tanzania na maana halisi neno Bongo Flava (SEHEMU YA KWANZA) Moja kati ya mambo niyapendayo mno maishani ni muziki.Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa muziki si tu ule wa nje lakini kwa karibu ule wa nyumbani hasa muziki...
  14. U

    Hivi Kuna mziki wowote wa Diamond mkali kuliko Kwangwaru?

    Naulizia tu, Mana sioni kiukweli kabisa, na siongelei views hapa
  15. Extrovert

    Noorah aliimba uhalisia kabisa, huu ndio ulikuwa mziki wazee

    Hivi kuna burudani zaidi ya hii kwenye muziki? Halafu mtu atashangaa kwanini sipendi hizi takataka za Dabliyusibii! Af anatokea kenge mmoja anasema sikuhizi kuna mziki? Noorah was a pure talent huyu ndiye msanii ambaye aliingia mainstream bila kupitia u underground!
  16. Brayson Minja

    Kiki zinazidi kuua mziki wetu si kuukuza

    Hivi hawa wasanii wetu hasa hizi lebo mbili kubwa Tanzania nini kina wakumba awawezi kufanya kazi bila kuwa na kiki? Ukiangalia mziki watanzania ulikuwa una kua kwa kasi kubwa sana, lakini hii miaka ya karibuni umeanza kushuka na hii ina sababishwa na wasanii wetu baadala ya ku focus na ngoma...
  17. sky soldier

    Rafiki yangu akisikia mziki anaoupenda anaucheza bila kujali eneo, je ni pepo?

    Huyu ni rafiki yangu tangia zamani na mpaka leo tupo karibu, tunafanya nae kazi shirika moja na ni moja ya marafiki zangu wachache ambao tumejuana muda mrefu. Sasa huyu rafiki yangu anapenda sana muziki kuucheza tangu sekondari, huko chuo ndio kabisa alikuwa mzee wa disco sana, na hata...
  18. X

    Hivi kati ya Fireboy na Joe Boy nani hatari zaidi kwenye muziki wa Afrika?

    Wakuu kwema? Poleni na majukumu. Hivi kati ya Fireboy Na Joe Boy nani hatari zaidi kwenye muziki wa Afrika na Nigeria kwa ujumla. Nani anaflow nzuri zaidi,Lyrics kali,hits n.k. Fireboy vs Joe Boy
  19. Y

    Ni wapi wanafundisha muziki kwa Dodoma?

    Habari wana JF, Bila kupoteza muda wenu, Ninaomba kujua ni wapi wanafundisha kupiga vyombo vya mziki kama gitaa na piano kwa Jiji la Dodoma. Nashukuru
Back
Top Bottom