EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,563
- 1,886
Wakati nipo chuo kuna watu walikuwa wanasumbua sana na subwoofer zao mpaka wanawake nikaona huu ujinga sasa kila mtu subwoofer la kichina nikapata wazo la kutengeneza mziki mkubwa sana wa kuunga unga nikanunua vitu hivi.
Nilipoufunga huo mziki nakwambia vijana wakifanya visherehe vyao chuoni walikuwa wanakuja kukodi mziki kwangu nilinyamazisha vi subwoofer vya mchina vyote.
Fanya hivyo utaniambia mzee baba....💪💪💪💪
- Car audio crossover and equalizer
- Car music booster
- Spika 2 za bass ( woofer ) za kwenye magari aina ya sony
- Tweeters 2 ndefu za home theater
- Transformer inayopokea AC na kutoa DC 12 V ampia 15
- Redio ya gari
- Nikatafuta fundi wa kuchonga box za spika akachonga box mbili za bass spika 12 inch ndani ya box akajaradia na godoro nyembamba.
Nilipoufunga huo mziki nakwambia vijana wakifanya visherehe vyao chuoni walikuwa wanakuja kukodi mziki kwangu nilinyamazisha vi subwoofer vya mchina vyote.
Fanya hivyo utaniambia mzee baba....💪💪💪💪