Jameni tuanze kuachia achia, ila hamna mwendo huo huo mbele kwa mbele.
Kenya's Angela Tanui celebrates her victory at Xiamen Marathon on April 11, 2021
Kenya's Angela Tanui has broken the course record to win the Amsterdam Marathon, Netherlands.
She clocked in at 2 hours 17 minutes 57...
Kama tungebahatika hata kupata chama kimoja tu kinachojiendesha kitaasisi hapa Tanzania, 2025 tunge zungumza mengine, maana kilamtu leo anajua kuwa CCM inakuna nazi.
Lakini lolote linaweza tokea kwani mama tayari amesema kunavijicho choko ndani tena vinapitia kwenye vijigazeti vya Uhuru.
Kabla ya Mbowe kusomewa mashtaka, watu waliipa Jamhuri "benefit of doubt" kwamba huenda ina ushahidi wa maana. Watu wakahisi labda Mbowe ana uhusiano na makundi ya kigaidi kama Al Shabab, Al Queda, Boko Haram etc na pengine anapeleka vijana huko kwa ajili ya mafunzo.
Hayo ndio yalikua matarajio...
Nina tatizo la kifamilia kila nikiwaza nimshirikishe rafiki yangu wa karibu nina sita wazazi wamesha solve lakini bado mwanamke anarudia rudia kutojirekebisha.
Yaani nina mawazo mno sijui nifanyeje ili niwe poa watoto tunao nawaza kuachana lakini naumia nikikumbuka watoto WHAT CAN I DO yaani...
Wakuuu Mambo vipi tena kwenu mimi
Mtumishi wa Mungu,
Naulizia hivi nani Mwingine katumiwa hii email ya fundsforafrica waliiiona Tangazo
Mimi nimetumiwa lakini siielewi elewi
Kwenye zile nafasi za procurement na field officer
Habarini ndugu zangu polen na majukumu ya kila siku, nimekuja mbele yenu kama kijana mwenye shida ya kiushauri na mawazo ili nipanue akili na niwe na uwezo mkubwa wa kuchukus maamuzi sahihi kutokana na mawazo yenu na mawazo yangu kwa pamoja.
Mimi ni kijana na nipo kakika mahusiano ya na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.