Mfahamu Black Alien: Mtu mwenye ndoto ya kufanana na viumbe vya ulimwengu mwingine (Aliens)

I am Groot

JF-Expert Member
Jul 20, 2018
3,730
10,033
images (25).jpeg

Anthony Loffredo pia anajulikana kama black alien. Anashikilia rekodi ya mtu aliyejifanyia maboresho mengi makubwa kabisa katika mwili wake kuliko binadamu mwingine kwa karne hii.

Ameendelea kushika vichwa mbalimbali vya vyombo vya habari kwa ujasiri wake kwa kuamua kutenganisha kati ulimi wake, kukata masikio, kutapakaza tatoo toka kichwani mpaka kwenye nyayo, kujitoboa na mwili kwa kuongeza vyuma na hata kukata pua.

Mpaka sasa amesha fanikisha maboresho muonekano kiupasuaji 34%.

2_A-MAN-had-part-of-his-hand-chopped-off-to-chase-his-wild-dream-of-becoming-a-black-alienAnth...jpg

Mwanaume huyu mwenye umri wa miaka 33 sasa, kutoka Ufaransa amejidhamiria haswa katika ndoto yake ya kufanana na elieni "black elien". Kwa sasa sio mgeni katika meza za uparation tena. Hivi karibuni aliamua kufanya maboresho zaidi kwa kuondoa vidole vyake viwili ili kufananisha na ukucha haijatosha alishatoa pia hata mdomo wake wa juu kwa siku zilizopita mapema mwaka huu.

images (29).jpeg
Anthony - amekuwa akijifanyia mabadiliko mwilini kwake karibia miaka kumi sasa - amekuwa jasiri hata kujaribu kuchora tatoo kwenye jicho pamoja na kujua angeweza kupofuka.

Mwaka jana, Anthony alisafiri kwenda Spain kufanya uparasheni ya kuondoa pua kwa sababu aina hizo za uparasheni ni kosa kwenye nchi yake.

images (27).jpeg

Ana matumaini ya kupunguza uonekano wa kibinadamu, pia alishapandikiza vipandikizi kwenye uso vinavyoipa ngozi yake muonekano wa vinundu pia na muonekano wa reptilia kwenye paji la uso na alama ya mpasuko kukatiza kwenye mfupa wa shavu.

images (28).jpeg

Anthony anasema ndiyo kwanza yupo hatua ya tatu katika mabadiliko yake anayoyategemea.

Katika maboresho yake ya hivi karibuni alisikika akisema " najitengenezea amani yangu ya ndani."

images (26).jpeg
 
Unapojaribu kuandika ujinga kuwa makin ktk uandishi wako kusiwepo na maneno yenye shaka juu ya wenye mbongo zao, kipengere kwa ana karibu karne tangu aanze kujibadilisha maake ni kuwa atakuw na miaka zaidi ya mia ukiunganisha na umri wa utoto akiwa hajawa na maamuzi yake mwenyew yaan mtu mzima kiumri, kiakili n.k
 
Unapojaribu kuandika ujinga kuwa makin ktk uandishi wako kusiwepo na maneno yenye shaka juu ya wenye mbongo zao, kipengere kwa ana karibu karne tangu aanze kujibadilisha maake ni kuwa atakuw na miaka zaidi ya mia ukiunganisha na umri wa utoto akiwa hajawa na maamuzi yake mwenyew yaan mtu mzima kiumri, kiakili n.k
kama ni ujinga why hii mada usingeianzisha wewe? Unakuwa kama mwenda wazimu kujifanya hamnazo. Mtu mzima unashindwa kukosoa uandishi kwa staha? Usijifanye mjuaji.
 
kama ni ujinga why hii mada usingeianzisha wewe? Unakuwa kama mwenda wazimu kujifanya hamnazo. Mtu mzima unashindwa kukosoa uandishi kwa staha? Usijifanye mjuaji.
Kweli nimeshindwa kuanzisha mimi sabb ni kuwa nina akili timam sio tahira km wew, mada km hii yahitaji mafyatu km wew. Pili nimekosoa uandishi sabb haujapangiliwa kiakili kiasi kwamba mtu akisoma hata wa akili ya kawaida anagundua makosa, unajua ni kwann hadi wew umeshindwa kung'amua nini nilichomaanisha? Sabab ni huo utindio wa ubongo ulionao wa asili
 
Kweli nimeshindwa kuanzisha mimi sabb ni kuwa nina akili timam sio tahira km wew, mada km hii yahitaji mafyatu km wew. Pili nimekosoa uandishi sabb haujapangiliwa kiakili kiasi kwamba mtu akisoma hata wa akili ya kawaida anagundua makosa, unajua ni kwann hadi wew umeshindwa kung'amua nini nilichomaanisha? Sabab ni huo utindio wa ubongo ulionao wa asili
Stress zako za asubuhi usihamishie kwenye uzi wangu bro kuwa mstaharabu basi.
 
Kweli nimeshindwa kuanzisha mimi sabb ni kuwa nina akili timam sio tahira km wew, mada km hii yahitaji mafyatu km wew. Pili nimekosoa uandishi sabb haujapangiliwa kiakili kiasi kwamba mtu akisoma hata wa akili ya kawaida anagundua makosa, unajua ni kwann hadi wew umeshindwa kung'amua nini nilichomaanisha? Sabab ni huo utindio wa ubongo ulionao wa asili
Watu kama nyny ndo mnasababsha watu wapate kes za mauaji bila kukusudia 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom