Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Wanabodi,
Jukwaa la Siasa:
Hapa Jukwaa la Siasa JF, mada nyingi ni mada za politiking, yaani kupiga siasa, lakini sii wengi wanajua kuwa hata mambo ya uchumi mkubwa ni siasa!, hapa tunazungumzia political economy, Siasa Uchumi.
Kila nipatapo fursa, huwaletea zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Leo nazungumzia mada ya uwekezaji, Tanzania tumefungua milango yetu na kuiacha wazi ikiwemo kuweka vivutio mbalimbali vya uwekezaji ili kuvutia uwekezaji katika sekta mbalimbali.
Katika uwekezaji huo, kuna uwekezaji na uwekezaji, sio kila uwekezaji ni uwekezaji wa kujenga nchini, kuna uwekezaji mwingine sio uwekezaji wa kujenga nchi ni uwekezaji wa kuvuna nchi, mfano uwekezaji kwenye sekta ya uchimbaji wa madini, gesi, mafuta, au extractive industry, japo huu ni uwekezaji mkubwa, lakini madini yote duniani yanaitwa diminishing resources, ynafika mahali yanakwisha!. Uwekezaji kwenye sekta ya madini, japo ni uwekezaji mkubwa, lakini sio uwekezaji wa kujenga nchi, ni uwekezaji wa kuvuna nchi, mwekezaji anaingiza mtaji ili kupata mavuno, madini yakiisha, gtunaachiwa mashimo and that is it.
Kuhusu hawa TotalEnergies, naomba kuanza kuanza kwa kuweka hizi facts mezani
Andamana nami katika makala hii.
Sasa kwa vile kuna wawekezaji wa aina mbili, wawekezaji wachumaji na wavunaji wa rasilimali zetu, na wawekezaji wajenga nchi.
Mnaonaje tukiishauri serikali yetu, wawekezaji wajenga nchi kama TotalEnergies, waongezewe some investment incentives, ili Tanzania tuvutie zaidi wawekezaji wajenga nchi na sio wachuma nchi?.
Paskali.
Jukwaa la Siasa:
Hapa Jukwaa la Siasa JF, mada nyingi ni mada za politiking, yaani kupiga siasa, lakini sii wengi wanajua kuwa hata mambo ya uchumi mkubwa ni siasa!, hapa tunazungumzia political economy, Siasa Uchumi.
Kila nipatapo fursa, huwaletea zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Leo nazungumzia mada ya uwekezaji, Tanzania tumefungua milango yetu na kuiacha wazi ikiwemo kuweka vivutio mbalimbali vya uwekezaji ili kuvutia uwekezaji katika sekta mbalimbali.
Katika uwekezaji huo, kuna uwekezaji na uwekezaji, sio kila uwekezaji ni uwekezaji wa kujenga nchini, kuna uwekezaji mwingine sio uwekezaji wa kujenga nchi ni uwekezaji wa kuvuna nchi, mfano uwekezaji kwenye sekta ya uchimbaji wa madini, gesi, mafuta, au extractive industry, japo huu ni uwekezaji mkubwa, lakini madini yote duniani yanaitwa diminishing resources, ynafika mahali yanakwisha!. Uwekezaji kwenye sekta ya madini, japo ni uwekezaji mkubwa, lakini sio uwekezaji wa kujenga nchi, ni uwekezaji wa kuvuna nchi, mwekezaji anaingiza mtaji ili kupata mavuno, madini yakiisha, gtunaachiwa mashimo and that is it.
Kuhusu hawa TotalEnergies, naomba kuanza kuanza kwa kuweka hizi facts mezani
- Japo Tanzania, tangu tupate uhuru, tuna miradi mingi mikubwa ya uwezekazi iliyoanzishwa, na kuna makampuni mengi yamewekeza Tanzania, hakuna uwekezaji wowote mkubwa, zaidi ya uwekezaji wa kampuni ya mafuta ya TotalEnergies, kupitia mradi wake wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani, Tanga nchini Tanzania, huu ndio mradi wenye thamani kubwa kuliko mradi mwingine wowote nchini Tanzania kwa sasa.
- Japo kuna makampuni mengi yanayotoa huduma za mafuta, na vituo vingi vya mafuta, kampuni ya mafuta ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, ndio kampuni inayoongoza kwa kuwa na vituo vingi vya mafuta, ambapo mpaka sasa, ina vituo zaidi ya 100 vilivyotapakaa nchi nzima, tena vituo vya TotalEnergies, sio viko maeneo ya mijini tuu, viko hadi vijijini, siku moja nilikuwa maeneo ya vijijini huko Marangu, Moshi, nikashangaa kukutana na kituo cha kisasa cha TotalEnergies, pale kijijini Somanga!.
- Japo kuna aina mbalimbambali za mafuta ya petroli na dizeli, kuna Super, Regular, Unleaded, etc, mafuta yanayouzwa kwenye vituo vya TotalEnergies, ndio mafuta yanayoongoza kwa ubora, kutokana ma mafuta ya Total, kuongezwa kiambata cha TotalEnergies Excellium ambacho kinafanya mambo makubwa kwenye
Andamana nami katika makala hii.
Sasa kwa vile kuna wawekezaji wa aina mbili, wawekezaji wachumaji na wavunaji wa rasilimali zetu, na wawekezaji wajenga nchi.
Mnaonaje tukiishauri serikali yetu, wawekezaji wajenga nchi kama TotalEnergies, waongezewe some investment incentives, ili Tanzania tuvutie zaidi wawekezaji wajenga nchi na sio wachuma nchi?.
Paskali.