Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,111
- 2,749
Tumekuwa tukisikia malalamiko mengi sana. Mengi sana dhidi ya wenye madaraka wanaobambikia watu kesi za ajabu ajabu hasa za kisiasa. Ingawa watu wanaonewa kila kona, wanauwawa bila hatia na polisi kwa mfano kule Mtwara, kijana asiyekuwa na hatia kauwawa sababu ya dhulma.
WAALIFU Kama Urio, na Kingai wanalindwa. Lingwenya, Adamoo na Mbowe wanaozea jela
Wafanyabiashara wengi wamenyang'anywa mali zao. Raia wasio na silaha wala namna ya kujitetea ndio wananyanyswa na wenye madaraka na silaha za kila aina
Zaidi tunashuhudia Mheshimiwa Mbowe na vijana wake wakiwa gerezani kwa marisa yasiyoeleweka. Duniani tunapita, ila hawa watesi, Watengeneza kesi, wanaotetea hizi kesi za uonevu watapukutika mmoja baada ya mmoja. Hata kama ni kwa kulinda madaraka waliyo nayo, hawa ndugu zetu hawaweza kuishi kuijua kitu kiitwacho amani. Kama siyo wao, familia zoo zitaishi kwa mateso makubwa
Tunafika sehemu Mbowe anawekwa jela kwamba ni Ghaidi. Tusimchezee mtu aitwaye Mungu. Hawa watu hawataweza kuishi kuiona amani kutokana na uonevu wao. Magufuli, Makonda, Sabaya, Ndungai ni mfano hai...... Watch the space !
Karma is a BITCH!!
WAALIFU Kama Urio, na Kingai wanalindwa. Lingwenya, Adamoo na Mbowe wanaozea jela
Wafanyabiashara wengi wamenyang'anywa mali zao. Raia wasio na silaha wala namna ya kujitetea ndio wananyanyswa na wenye madaraka na silaha za kila aina
Zaidi tunashuhudia Mheshimiwa Mbowe na vijana wake wakiwa gerezani kwa marisa yasiyoeleweka. Duniani tunapita, ila hawa watesi, Watengeneza kesi, wanaotetea hizi kesi za uonevu watapukutika mmoja baada ya mmoja. Hata kama ni kwa kulinda madaraka waliyo nayo, hawa ndugu zetu hawaweza kuishi kuijua kitu kiitwacho amani. Kama siyo wao, familia zoo zitaishi kwa mateso makubwa
Tunafika sehemu Mbowe anawekwa jela kwamba ni Ghaidi. Tusimchezee mtu aitwaye Mungu. Hawa watu hawataweza kuishi kuiona amani kutokana na uonevu wao. Magufuli, Makonda, Sabaya, Ndungai ni mfano hai...... Watch the space !
Karma is a BITCH!!