Mwita Waitara anusurika kipigo cha mbwa mwizi Mwanza

wazunguwawili

JF-Expert Member
May 29, 2019
3,984
4,131
Mwita.jpg

Naibu waziri wa Tamisemi anausurika kupokea kichapo kutoka kwa wafuasi wa Bwana Bwire Meya ( mkurugenzi wa shule za Alliance) wa huko jijini Mwanza.

Hii migogoro ya Ardhi wamuachie Lukuvi.

Chanzo: ITV Habari
 
Mwita Waitara alikwenda kukagua ujenzi wa Zahanati ya maina na wananchi wakamlalamikia mkurugenzi wa Allience ambaye ni diwani mh Bwire.

Mwita Waitara alijaribu kumtetea Bwire kuhusu kuvamia kiwanja cha wazi ndipo wananchi wenye hasira wakaanza kumzomea, kumkejeli na kumtukana na wengine wakaanza kumsogelea ili wampe kichapo ndipo Naibu waziri akatoka mkuku huku akisindikizwa na mayowe ya huyo...... huyo...... huyoooooooo.

Chanz: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
 
Mwita Waitara alikwenda kukagua ujenzi wa Zahanati ya maina na wananchi wakamlalamikia mkurugenzi wa Allience ambaye ni diwani mh Bwire.

Mwita Waitara alijaribu kumtetea Bwire kuhusu kuvamia kiwanja cha wazi ndipo wananchi wenye hasira wakaanza kumxomea, kumkejeli na kumtukana na wengine wakaanxa kumsogelea ili wampe kichapo ndipo Naibu waziri akatoka mkuku huku akisindikizwa na mayowe ya huyo...... huyo...... huyoooooooo.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Video tafadhali
 
Salaam.

Taarifa nilizozipata kupitia chanzo changu kinasema Naibu Waziri wa Tamisemi Mh. Mwita Waitara amenusurika kupokea kipigo kutoka kwa wananchi wenye hasira.

Tunaendelea kufuatilia sababu ya Mh. Waziri kunusurika kipigo.
C0ojBBZP1Yn73M4Q.jpg
 
Hiyo ni rasharasha, masika inaenda kunyesha October.

Mwananchi mmoja amesikika akisema: "tunajua kilichomleta, ametumwa kuja kuvuruga na hatovuruga"

Watanzania wameshachoka kuchezewa akili na hawa watu.
 
Mwita Waitara alikwenda kukagua ujenzi wa Zahanati ya maina na wananchi wakamlalamikia mkurugenzi wa Allience ambaye ni diwani mh Bwire.

Mwita Waitara alijaribu kumtetea Bwire kuhusu kuvamia kiwanja cha wazi ndipo wananchi wenye hasira wakaanza kumxomea, kumkejeli na kumtukana na wengine wakaanxa kumsogelea ili wampe kichapo ndipo Naibu waziri akatoka mkuku huku akisindikizwa na mayowe ya huyo...... huyo...... huyoooooooo.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

Hiyo ni rasha rasha tu. Wananchi wamewachoka hawa viongozi wanaojipendekeza pendekeza kwa mkuu
 
Back
Top Bottom