Ungewapa taarifa mapema wangewahi Nyegezi stand..Wakiondoka sasa hivi kesho saa mbili watakuwa hapa.
OkWako nyegezi mda sasa lakini hawajapata Ndio maana nikaja hapa jukwaani
Wajisachi waende airport ili wawahi otherwise ngumu.Wako Nyegezi mda sasa lakini hawajapata ndio maana nikaja hapa jukwaani
Wasogee mpaka Tinde ni rahisi pale'kuunganisha hata bus toka karagwe.Msaada Kama Kuna mtu yuko Mwanza anakuja Dar jioni hii kwa gari nijulishe . Kuna ndugu zangu wanatakiwa Dar kesho asubuhi.
Mkuu hizi dhararu jikite kwenye ni gari kwani yy hajui kama kuna ndege.Kuna ndege ya jioni.
Kwenye mida ya saa mbili ivi ipo Taqwa toka KamparaWasogee mpaka Tinde ni rahisi pale'kuunganisha hata bus toka karagwe.