Usafiri wa Mwanza to Dar Jioni hii

JF Member

JF-Expert Member
Dec 14, 2014
7,393
9,668
Msaada Kama Kuna mtu yuko Mwanza anakuja Dar jioni hii kwa gari nijulishe . Kuna ndugu zangu wanatakiwa Dar kesho asubuhi.
 
Inawezekana kweli kufika dar asubuhi wakitoka mwanza jioni?
Maybe..
 
Nakushauri wasubirie Basi kesho asubuhi waanze safari, hata kama ni dharura kiasi gani, bora wasubiri tu Kesho siyo mbali.
 
Wakae kwa juu ya stand hapo panaitwa Kumalija hotel,kuna private car zinapitia watu hapo nyingi tu kuelekea Nzega,Singida mpaka Dom..waunge unge wanaweza kufika hata saa kumi za alfajiri,inawezekana waambie wakae kwa juu ya stand hapo barabara kuu
 
Past No.12 ndiyo inafaa kufanyia kazi.

Ila watafika Dar majira ya saa 4-5 asubuhi.
 
Back
Top Bottom