mwanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Chibike

    Mwanaume wa kweli

    Mwanaume wa kweli, amka nenda kapambane kwa ajili ya familia yako, wale, wanywe na wavae, then hawa ambao uanaume umekuwa mgumu kwao achana nao wakae kwenye pages za udaku na wanaharakati kutukana asubuhi mpaka jioni. Jukumu la maisha yako ni jukumu lako..sio la mange, maria, hilda ama Larry...
  2. Jokajeusi

    Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

    Bikra ni alama ya uaminifu na baraka kwa kizazi chako Habarini Wakuu, Naweza kuwa tofauti na wengi, naweza nisiungwe mkono na wengi hasa wale waliooa na walioolewa, lakini ninachojaribu kueleza hapa ni suala lenye manufaa kwa familia, jamii, taifa na dunia kwa ujumla. Ni suala litakalo iweka...
  3. The unpaid Seller

    SWALI: Wanawake huwa mnajisikiaje wanaume wakiomba namba mbele za watu

    Peace be with you all, Nianze na ka kisa fulani kalitokea majuzi. Nilikua restaurant fulani hapa A town ghafla nikanuona mwanamke mmoja mrembo sana na alikua nadhifu sana. (Navutiwa na wanawake nadhifu) Alikua amekaa jirani wanawake wengine kama watatu wanapiga story zao, alinivutia sana...
  4. McLaren

    PostGE2025 Mke wa mwanaume aliyeachiwa kwa kesi ya Uhaini: Mume wangu usiandamane tena. SMS zozote usitume

    Wakuu Hii video imenisikitisha sana. Nisiongee sana Baadhi ya vijana 47 kati ya 48 waliokuwa wakiandamana tarehe 29 Oktoba mwaka huu katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam na kushtakiwa kwa kosa la uhaini, wameachiwa huru baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kuiondoa kesi hiyo...
  5. Mwachiluwi

    Mwanaume hili swali una jibuje?

    Ile una pewa namba au umetafuta namba ya manzi ulie muelewa ile una mtafuta tu una anza ulizwa namba umepata wapi hili swali una jibuje Mimi huwa najieleza vizuri simtaji muhusika ila nikiona kichwa ngumu basi nasema niliomba namba ya malaya wa karibu nime pewa hii Wewe una jibuje au ndio...
  6. N

    Mwanaume Anatakiwa Awe Anajua Kupika au Kupika ni Suala la Wanawake Tu?

    Habari wakuu, Leo nataka tuzungumze kidogo kuhusu hili suala ambalo limekuwa kama mjadala wa kitaifa — je, mwanaume anatakiwa kujua kupika, au kupika ni kazi ya wanawake pekee? Kuna hawa wanaume ambao hawajui kabisa kupika. Sijui kwa kweli wanaishije! Ila kwa uzoefu wangu, wengi wao ni wale...
  7. Godoro la kioo

    Ni rahisi kuitwa mwanaume Ila ni ngumu kuwa mwanaume

    Neno mwanaume siyo suala la kuvaa vizuri na kufuga ndevu Neno mwanaume linamkataa yule ambae akiachwa na mpenzi wake anaigeukia pombe Neno mwanaume linamkataa yule ambae akifukuzwa kazi anaanza kutafuta wa kumlaumu Mwanaume ni yule ambae hata Kama hakuna njia anakwambia songa mbele Yule...
  8. Mad Max

    Wazee wa Mitindo, Tupeane dress code za Beach

    Wakuu. Tupeane dress code za beach leo. Kwa wanaume na wanawake. Na wapi unaweza pata izo dress. Kuna wakina sisi kila sehemu tunavaa jezi ya Arsenal, angalau tuweze shine mara moja moja. Pamoja. PS: Tupo jukwaa la Lifestyle, nisikaripiwe.
  9. Samson Ernest

    Kupewa Ujauzito kisha mwanaume kukimbia au kukukataa maumivu yake yataongezwa zaidi na mikesha hii

    Nasikia niseme jambo moja muhimu kuhusu mtoto anayezaliwa, jambo hili ninalisema kwa unyenyekevu mkubwa na upendo mkubwa kwenu dada zangu. Najua si wote walipenda kuwa na hali walizonazo sasa za kupewa mimba au ujauzito kisha wakaachiwa watoto hapo na wanaume waliowapa ujauzito. Ukiangalia...
  10. upupu255

    SI KWELI Kuanika korodani kwenye mwanga wa jua kunasaidia kuimarisha afya ya uzazi kwa mwanaume

    Wakuu, kiusema kweli hii imenishangaza sana siku hizi huko Instagram na TikTok kila mmoja ni daktari huyu anasema wanaume wanatakiwa kuanika korodani zao ili kuimarisha mbegu za kiume. JamiiCheck na wataalamu wa maswala ya afya msaada wa hili tafadhali.
  11. kyagata

    Haya ninayoyashuhudia hapa Tanga sioni kama kuna mwanaume wa mkoa huu atajitokeza tarehe 29 kuandamana

    Nipo Tanga kwenye shughuli flani. Kwanza huu mkoa wao kila siku ni burudani tu,hawana stress za maisha kabisa. Kilichonivunja nguvu kabisa ni hiki,huku Tanga mziki wao mkubwa ni taarabu. Sasa nimeshangaa nimeenda sehemu flani nikakuta kuna shughuli na mziki unaopigwa ni taarabu,nimeshuhudia...
  12. GoLC

    Heshima kwa nyumba inapaswa kusimamiwa na mwanaume kwanza

    Habari za asubuhi wana MMU Naleta kwenu mada. Tujadili tafadhali. Mwanaume afanye nini katika himaya yake ili kauli yake ndio iwe hitimisho la mijadala? Mfano mdogo ni kwamba nimelumbana na wife jana kuhusu kugawa vitu bila ridhaa yangu (au niseme bila maridhiano kwanza kwamba nataka kufanya...
  13. Beira Boy

    GE2025 Sijaona maandamano ila nimemwona mwanaume mmoja amekuwa Rais

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Imekuwa ni kitu ya kujiridia sana sana mara kwa mara katika maono, nimekuwa nikiona kiongoz mpya nchini Tanzania Leo nimeona mwanaume mmoja ndo amekuwa rais na baada ya huyo kuwa rais sikuona tena maandamano SAYUNI BOY
  14. R

    Mbunge wa Narok atoa kauli Kuhusiana na Video iliyosambaa Mtandaoni ya ndugu watatu kumshambulia Dada yao Mjamzito kumkataa mwanaume waliyemchagulia

    Video inayosambaa mitandaoni imeibua hasira kubwa baada ya kuonyesha mwanamke mjamzito akishambuliwa vikali na wanaume watatu wenye fimbo katika Nkareta, Narok Kaskazini. Taarifa zinaonyesha kuwa mwanamke huyo, anayejulikana kama Lepeita, alishambuliwa na ndugu zake wa kiume baada ya kuchagua...
  15. Think2

    Mwanaume kama hutengenezi kuanzia Elfu 10,000 kwa siku usioe

    Mke sio demu kama unaona kabisa kipato chako nichakuunga unga huna uhakika wa kumake elfu kumi kwa siku usioe usijekuwatesa watoto na mkeo bure.
  16. ERTUGRUL BEY

    Nyakati Hizi Mbili Mwanaume Unatakiwa Umjali Sana Mwanamke

    Kuna nyakati mbili mwanamke akipitia basi mwanaume unatakiwa uwe mpole sana na ujue kujali sana Yani hapa ile haiba ya mamlaka na ushapavu wa kiume unaupunguza kidogo ili uende sambamba na nyakati hizo Sehemu ya kwanza ni pale mwanamke anapokuwa mjamzito,huwa anapitia mabadiliko makubwa ya...
  17. ELI COHEN

    Mwanaume akilalamika kuhusu mwanamke anaambiwa "TAFUTA HELA WEWE", ila mwanamke akilalamika kuhusu mwanaume anaandaliwa hadi kipindi maalum kwenye TV

    Mi nafikiri uduni uliopo katika jamii yetu umetengeneza ulimbukeni katika fikra na reasoning za watu katika maswala ya maendeleo ya mahusiano. Kuna watu wanadhani kuwa mtoto wa kiume ni kuwa robot alie auto-matic katika kukidhi kila kitu kilichopo mbele yake. Ndio maana wanaojinyonga , walio...
  18. upupu255

    Unapokumbatiana na mwanamke, mwanaume hakikisha unazingatia hili

    Wakuu bila kuzingatia haka kautaratibu ladha ya kumbato inapotea kabisa, bila shaka huwa unakazingatia vyema:):)
  19. W

    Ni kweli Upendo na tabia ya mwanaume utaijua akipata pesa?

    Baada ya kumsikiliza huyu jamaa nimeelewa vitu vingi sana. Mwenye bebi wake aje kumchukua huku
  20. ERTUGRUL BEY

    Mwanaume unakuwaje muongo muongo halafu hujipangi?

    My people hope mko poa kabisa ni mwendo wa VPN tu nikisomeka hapa France. Kuna kisa kimoja nimekipata leo asubuhi nikiwa ndani ya public transport kuelekea job, ni mwanamama ambaye anaongea kwenye line baada ya kupigiwa call kutoka kwa ndugu zake Bimkubwa huyu analalamika kwamba mumewe daily...
Back
Top Bottom