mwanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    JamiiForums Tanzania Je, njia ya kufunga uzazi kwa Mwanaume inapunguza nguvu za kiume?

    Hii dhana umekuwepo kwa Watu wengi sana, wapo wanaoamini kuwa Mwanaume akifunga uzazi basi inamaanisha nguvu zake za kiume nazo zinapungua. Wataalam wa Afya hawa hapa wanasema dhana hiyo siyo ya kweli. Wataalam wanasema “Njia ya kufunga uzazi kwa mwanaume (Vasectomy) haithiri nguvu za kiume...
  2. Tundusami

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume anayejielewa hawezi kula mbususu ya elfu 5

    Asilimia kubwa ya demu anayegawa uroda kwa elfu 5 kushuka chini uyo mbususu yake aitunzi vizuri ,ni lahisi kukuta mbususu inanuka,lahisi kupata magonjwa ya zinaa gono uti sugu Lakini kula mbususu kuanzia elfu 50 uyu ni nadra sana kukuta haijali mbususu yake kwanza ata hicho kifuniko cha asali...
  3. Tundusami

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume ni kiumbe wa thamani sana! Mwanaume anayelilia mapenzi ni mpumbavu

    Kuzaliwa mwanaume ni balaka kubwa sana inabidi umepewa thamani kubwa sana umepewa hazi ya kiongozi umepewa hazi ya mamlaka Mwanaume ata akikaa siku tatu bila kuoga hanuki ila mwanamke siku 1 tu akishinda bila kuoga ni kimbembe Mwanaume kukaa bila mwanamke anatoboa vizuri ila mwanamke hawezi ata...
  4. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Orodha ya vitu kadhaa ambavyo Wewe Mwanaume Mkeo hapaswi kujua kabisa kuhusu Wewe

    List ni ndefu ila nitataja vichache vingine wataongezea wengine hapo chini. 1. Mshahara Wako. Mkeo hapaswi kujua wewe unapokea Mshahara kiasi gani. Fanya unavyofanya usije ukathubutu ukamwambia mkeo napokea kiasi fulani sijui nini hivi na vile, imekula kwako. Nakusanua. 2. Kazi unayofanya...
  5. Think2

    JamiiForums Tanzania Ni mwanamke anayemfanya mwanaume afanikiwe vilevile kufeli

    we men mwanamke unamchango mkubwa sana kwenye kufanikiwa au kufeli kwako, hapa nazungumzia wanaume sio wavulana anyway kama hujaoa wewe ni mvulana sio mwanamume Iko ivi, kuna baadhi ya wanawake ukiwa nao kwenye ndoa mambo yako yatanyooka sana riziki utapata sana na hawa wanawake wa namna hio ni...
  6. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Tujadili; Mwanaume kamili unaruhusuje kupigwa na mkeo/mpenzi wako

    Kwa wanaome wanaopigwa na wake au wapenzi wao. Nini kinatokea mpaka mpaka mwanamke anakuwa na mamlaka ya kutoa kichapo? Mwanaume anakula mpole sana, hana nguvu wala uwezo wa kuhimili piga nikupige au ana huruma? Au anazingatia sana sheria hataki kufanya violence?! Naona ni kitu cha kushangaza sana.
  7. Mhaya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi ya kumshika mwanaume kwenye mahusiano

    Mwanaume ni kiumbe ambaye ni raising kumteka kimapenzi. Na ndio maana matukio ya Wanaume kupotea na kukutwa kafungiwa ndani kwa mwanamke fulani ni mengi, ilibidi hata Mbosso aandike nyimbo ya "Amepotea" kuonesha ni namna gani mwanaume ni rahisi kuuiba mutima wake. Ni tofauti na kuuteka moyo wa...
  8. jamaikatz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania JamiiForums usipokuwa makini, utajikuta unatongoza mwanaume mwenzako🤔

    JamiiForums usipokuwa makini utajikuta unatongoza mwanaume mwenzako ni kuwa makini sana Sasa hivi wanawake unawatafuta kwa tochi hawapatikani kirahisi, now days JF wanaume ni wengi kuliko wanawake. Na kuna baadhi ya members wa kiume wanafungua ID fake wakijifanya ni wanawake Kuweni makini sana.
  9. Intelligent businessman

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume mmoja akamatwa na polisi, kwa tuhuma ya kumbaka mbuzi hadi kumsababishia kifo

    Mwanamume mmoja anayeaminika kuwa na umri wa miaka 40 aliyetambulika kama Mitchell Dopoh amedaiwa kumlawiti Mbuzi na kusababisha kifo cha mnyama huyo. Kulingana na ripoti, uchunguzi wa awali unaendelea kwa sasa, kwani maafisa wa sheria waliopewa eneo hilo bado hawajatoa matokeo rasmi kuhusiana...
  10. Natafuta Ajira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ewe kijana/baba/mzee, kama una nafasi moja ya kutoa msaada. Msaidie mwanaume

    Dunia haijali chochote kuhusu mwanaume mpaka unapokufa, ukiwa tajiri au kuna namna walimwengu wananufaika nawe. Jamii imeshakua programmed kuwaonea huruma wanawake lakini mwanaume anapoanguka anaanguka peke yake. A woman cries and the while world comes running, a man cries and they call him...
  11. Ibn Unuq

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, Mwanamke anahitaji nini kutoka kwa Mwanaume?

    Mtafiti mmoja alinunua kitabu chenye kichwa "Wanawake Wanahitaji Nini?" Akakutana na vitu 2.000, Akatabasamu, Kisha akakichoma. Kwa nini? Kwa sababu katika asili, Jike halina orodha ya vitu linavyovihitaji. Ndege, Wanyama, Viumbe wote wa jamii ya kike huwa hawachagui kwa huruma au kwa...
  12. Godoro la kioo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kati ya mwanaume na mwanamke nani mwenye akili zaidi

    Upi mtazamo wako kati ya mwanaume na mwanamke nani ana akili zaidi Kwangu Mimi naona kama wenzetu Kuna sehem wametupiga gape kwa sababu zifuatazo 1)Mwanamke akipata Hela anawaza namna ya kujiimarisha, na kama ameolewa anawaza namna ya kuwa peke yake Hali ni tofauti kwa mwanaume yeye...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Naombeni kujua ni tatizo au ni kawaida kwa mwanaume

    Wakuu nina hali ambayo hunitokea sana nyakati za usiku nikilala nikashituka hata kama ni saa 6 usiku basi uume (mashine) husimama mazima hata nilale tena na nikashituka tena nakuta hali iko hivyohivyo tena. kwahyo kulala kifudifudi inakuwa shida siwezi.na hata asubhi nikiamka inakuwa hivyo...
  14. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Huwa inakuwaje pale mwanaume kujihusisha kingono ovyo ovyo hadi kupelekea kuharibu ufanisi wa maisha yake kiroho.?

    Tumesikia stori kuwa inaweza tokea mwanaume kulala na mwanamke huyo mmoja wa kukutana nae mtaani (mchepuko, kahaba, etc) ikapelekea kuvuta energy hasi zilizomo ndani yake au sijui ni nini haswa kinatokea katika ile exchange hadi kupelekea kuharibu aura yake. Wale wajuzi wa hili swala...
  15. haszu

    JamiiForums Tanzania Kuna mwanaume mida hii kalala na boxer aliyoshinda nayo mchana…

    Boxer umezunguuka nayo wee, usiku unaoga, unarudia boxer hiyo hiyo, mkiulizwa mnasema mwanaume unakuaje na boxer nyingi, je hicho sio kichaa? nyie ndio mnaumwa fungus kisha mkikutana na wadada mnawaambukiza. Mwanaume usafi, kua na boxer za kutosha and keep your closed parts clean and dry...
  16. Bawabu wa pili

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aliamua kujioa baada ya kusubiri mwanaume sahihi kwa miaka 20

    Septemba 2017, mwanamke Laura Mesi, mwalimu wa mazoezi ya viungo wa Italia mwenye umri wa miaka 40, alifanya jambo ambalo lilivutia dunia: alijioa yeye mwenyewe kwenye sherehe ya harusi kamili, akivaa nguo nyeupe, akiwa na wapambe wa harusi na wageni 70 walioungana kusherehekea pamoja naye...
  17. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimedumu naye kwenye Mahusiano miaka 3, leo anasema mwanaume atakayenioa ana bahati

    Habari wana JF, Kweli nimeamini kuna wakati tunatakiwa kuheshimu mawazo yetu ya awali hasa wakati tunapojaribu kufikiria jambo fulani linalotutatiza kiuhalisia. Katika maisha yangu niliamini kuwambali na wanaume kunaweza kunipa amani ya moyo na maisha kiujumla nikijikita katika kazi kujikimu...
  18. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Mwaka juzi niliona maiti ya mwanaume ikiwa imesimama nyuma ya muuza chakula kwenye mgahawa fulani

    Mwaka juzi niliona maiti ya mwanaume ikiwa imesimama nyuma ya muuza chakula kwenye mgahawa fulani. Ilikuwa ni mgahawa mmoja huko Tanga nilikuwa nimeenda kula. Rafiki yangu alinishauri kula hiyo sehemu kwa sababu chakula chao ni kitamu sana. Kwa kuwa hoteli niliyokuwa nimefikia ilikuwa karibu...
  19. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Tukiwaambia mnatuita "motiveshini sipika", ila kama mwanaume, 2026 usifanye miadi na mwanamke wa namna hii

    💯 Mnayelingana nae au kukuzidi hatua za kimaendeleo 💯Familia yake inalingana au kuizidi familia yenu mandeleo 💯Ambaye haujamzidi umri kuanzia miaka mitano 💯Anaeshi geto mwenyewe na hana kazi maalum au geto lake na vitu ndani yake haviendani na kazi yake 💯Feminist, anapenda kuongelea sana ni...
  20. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume: Usijaribu kujitoa kafara kwa mambo yafuatayo

    1. Usijaribu kumfia Mwanamke: Usivimbe kichwa kwa jinsi mwanamke anavyokusifia eti unamkuna kisawasawa,eti unajua mapenzi, au akikuambia jinsi unavyojali familia yao, au kwa jinsi unavyomhudumia. Hayo yote ni mbwembwe tu za kuhakikisha anaendelea kula mpunga wako na kujihakikishia security ya...
Back
Top Bottom