Mwanaume wa kweli, amka nenda kapambane kwa ajili ya familia yako, wale, wanywe na wavae, then hawa ambao uanaume umekuwa mgumu kwao achana nao wakae kwenye pages za udaku na wanaharakati kutukana asubuhi mpaka jioni.
Jukumu la maisha yako ni jukumu lako..sio la mange, maria, hilda ama Larry...