Mkasa wa Jirani: Mwanaume Asiyeonekana

Mkasa wa Jirani: Mwanaume Asiyeonekana

bless on

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2026
Posts
883
Reaction score
2,137
Hii Dunia Kuna watu wanapitia matatizo makubwa sana hasa wanawake. Kuna jirani yangu mmoja aliwahi kunihadithia mkasa mmoja hivi..


Yeye alikutana na mwanaume wa kiarabu akatongozwa akamkubali, Sasa Yule mwanaume akamwambia atakuwa anakwenda kumtembelea kwake Ila asimwambie mtu yeyote yule dada akamkubali, basi huyo mwanaume akawa anaenda mpaka nje ya nyumba anapaki gari anaingia ndani wanafanya mapenzi weee, wakimaliza anaondoka zake.

Sasa Kitu cha kushangaza ni kwamba sisi majirani hatukuwahi kuiona hata iyo gari si gari tu hata huyo mwanaume hatukuwahi kumuona.

Kilichoniogopesha zaidi Kuna ustadh aliniambia pale kariakoo Kuna watu wengi sana mchana huwa wanatembea uchi Ila huwezi kuwaona.

Unamuona dada ana nyashi na dela lake kumbe yupo uchi wa mnyama kabisa. Njiani tunapishana na vitu vya ajabu sana.
 
Nigeria kuna madhehebu kila kona, unaweza ukakuta road junction kuna vibao vinaonyesha mwelekeo hata wa madhehebu 10, lakn nchi ya ajabu sana ile, hayo ya kariakoo ni cha mtoto!
Jiji la lagos shikamoo
 
Nigeria kuna madhehebu kila kona, unaweza ukakuta road junction kuna vibao vinaonyesha mwelekeo hata wa madhehebu 10, lakn nchi ya ajabu sana ile, hayo ya kariakoo ni cha mtoto!
Jiji la lagos shikamoo
Wewe umeona
 
Katika harakati zako za kutafuta mkate wa kila siku, utafutaji wako ukakufkisha nigeria..basi tembelea eneo linaitwa lekki lipo ndani ya jiji la lagos, then pale lekki kuna jengo linaitwa lagos garnet plazza, fika humo halafu urudi kukomenti kwenye huu uzi.
Sasa mkuu wewe si ungesema uliyokutana nayo
 
Hii Dunia Kuna watu wanapitia matatizo makubwa sana hasa wanawake. Kuna jirani yangu mmoja aliwahi kunihadithia mkasa mmoja ivi.. yeye alikutana na mwanaume wa kiarabu akatongozwa akamkubali, Sasa Yule mwanaume akamwambia atakuwa anakwenda kumtembelea kwake Ila asimwambie mtu yeyote Yule dada akamkubali, basi huyo mwanaume akawa anaenda mpaka nje ya nyumba anapaki gari anaingia ndani wanafanya mapenzi weee, wakimaliza anaondoka zake. Sasa Kitu cha kushangaza ni kwamba sisi majirani hatukuwahi kuiona hata iyo gari si gari tu hata huyo mwanaume hatukuwahi kumuona.
Kilichoniogopesha zaidi Kuna ustadh aliniambia pale kariakoo Kuna watu wengi sana mchana huwa wanatembea uchi Ila huwezi kuwaona. Unamuona dada ana nyashi na dela lake kumbe yupo uchi wa mnyama kabisa. Njiani tunapishana na vitu vya ajabu sana.

Hii Dunia Kuna watu wanapitia matatizo makubwa sana hasa wanawake. Kuna jirani yangu mmoja aliwahi kunihadithia mkasa mmoja ivi.. yeye alikutana na mwanaume wa kiarabu akatongozwa akamkubali, Sasa Yule mwanaume akamwambia atakuwa anakwenda kumtembelea kwake Ila asimwambie mtu yeyote Yule dada akamkubali, basi huyo mwanaume akawa anaenda mpaka nje ya nyumba anapaki gari anaingia ndani wanafanya mapenzi weee, wakimaliza anaondoka zake. Sasa Kitu cha kushangaza ni kwamba sisi majirani hatukuwahi kuiona hata iyo gari si gari tu hata huyo mwanaume hatukuwahi kumuona.
Kilichoniogopesha zaidi Kuna ustadh aliniambia pale kariakoo Kuna watu wengi sana mchana huwa wanatembea uchi Ila huwezi kuwaona. Unamuona dada ana nyashi na dela lake kumbe yupo uchi wa mnyama kabisa. Njiani tunapishana na vitu vya ajabu sana.
Birthday Boy Mshana Jr unaitwa huku
ShesRise_1
 
Duh mm ndo huyo muarabu, naona mshanishtukia Ngoja nibadili mbwinu
 
Ni watu wajinga pekee wanaoamini mambo ya giza au uchawi karne ya 21......ambayo lila swali lina jibu lake kisayansi na lina uthibitisho wake kisayansi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom