mwanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siamini Mwanaume wa 30+ and succesful kama yupo single

    Wakuu habari, Nimekuwa nikijadili hili jambo na rafiki yangu mmoja hadi akaniita 'Toxic' kwamba sifai Wakati nipo kwenye umri wa 20+ ilikuwa nikitongozwa na mwanaume wa umri wa 30+ na ameshafanikiwa yaani ka-settle tayari ana kila kitu kinachoitajika kwenye maisha ikiwa ni nyumba, gari...
  2. kyagata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi inakuaje mwanaume umelala na mwanamke X lkn unaota unamla mate mwanamke Y?

    Hamjambo watu wa Mungu? Hapa nimeshtuka toka usingizini,nimelala na mwanamke X lkn nimeota niko namla mate mwanamke Y. Hii imekaaje wakuu?
  3. Natafuta Ajira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna faida nyingi kiuchumi kwa mwanaume kuchepuka

    Naungana na ndugu yangu Equation x .Mwanaume kuchepuka kuna faida nyingi sana kiuchumi. Embu fikiria leo hii wanaume kwa umoja tukakubaliana hakuna kuchepuka kila mmoja atulie na mpenzi/mke wake, nini kitatokea. - Wanawake wengi sana watashindwa kuendelea na masomo ya chuo kikuu - Wanawake...
  4. Intelligent businessman

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume mmoja aibiwa nyeti zake mchana kweupe, huko kahama.

    Mwanaume mmoja mkazi wa kahama ame ibiwa sehemu zake za siri huko kahama. Wazee hiki sio kitisho au utani mambo yamesha kuwa mabaya, aisee tutaisha aisee.
  5. Pakome

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke anamtafsiri Mwanaume kawaida kisia ndiyo sababu anaweza kuishi zaidi ya miaka 40 bila kushiriki mapenzi

    Mwanamke ni kiumbe mwenye uwezo wa kuishi zaidi ya miaka 20-40 pasipokushiriki mapenzi kwasababu anamtafsiri Mwanaume kama mtu wa kawaida kihisia na wala hashawishiki na uchi wa Mwanaume ikiwa anakubali basi ni kwa mapenzi ya kumhurumia Mwanaume anayemshawishi Mwanamke anaweza kumpa Mwanaume...
  6. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Snoop Doggy: Kama ni Mwanaume na una Uwezo wa kumwacha Mke wako Nyumbani na wewe utafute hela, basi Fanya hivyo

    Mfalme wa HipHop Mziki wa kizazi kipya Nchini Marekani Mzee Snoop Doggy ametoa ushauri kwa Sisi kizazi kipya yaani Vijana wa leo. Mheshimiwa huyo amesema kama wewe ni Mwanaume na una Uwezo au uko ktk position ya kumwacha Mke wako Fanya shughuli za Nyumbani( Family matters) basi hakikisha...
  7. Pakome

    JamiiForums Tanzania Simu nzuri ya kifahari kwa Mwanaume ni Samsung

    Kampuni ya Samsung inajua kumpa Mwanaume bidhaa anayotaka sio kama wale jamaa flani wanaotengeneza simu zilizopambwa kama za kike Simu ina shine nje na ndani utafkiri imepakwa siagi Mwanaume na viatu vinavyowaka taa wanaelewana vipi Samsung watazidi kula kihalali hela za Wanaume Hata...
  8. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadau unaoa mwanamke ambae unafahamu anawanaume wengine, Tena na wewe umemkuta anamwanaume halafu unataka asichepuke braza kuwa mpole tu

    Wadau Mimi huwa nawashangaa watu humu ndani ambao wanataka wake zao wawe waaminifu na kujifanya wamesahau huyo mwanamke ulivyompata, kama ulimkuta anadanga uwezekano wa huyo mwanamke kutulia ni mdogo sana, wewe une mkuta mwanamke tayari kesha tembea na wanaume zaidi ya kumi kifupi alishazoea...
  9. BarakaMkekusi

    JamiiForums Tanzania Aliyefanikiwa kutumia Dawa za kuongeza Uume, nahitaji msaada

    Aliyewahi tumia dawa za kuongeza uume na kufanikiwa nahitaji anipe recommendation. Kama hutaki kucomment unaweza kuja PM Kama hujawahi tumia tafadhali achana na hii thread 🤣🤣 Ushauri wa kipuuzi sihitaji. Side effects nazijua kwahyo sitaki comment zakijinga
  10. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Mwanaume wa sasa Bongo ukiwa huna kazi na biashara imefeli utashambuliwa kwa uvivu na maneno makali na nchi nzima

    Mazungumzo ya wachungaji, mashehe, wanasiasa ni kana kwamba mwanaume kukoswa pesa ni jambo la kujitakia na uzembe. Mtu wa namna hii hupuuzwa na kushambuliwa kama ni mvivu hata kama ni kipindi cha mpito anapitia. Hii tabia inawaweka wanaume wenye changamoto za kiuchumi katika hali ngumu sana...
  11. Alloyce PR

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna kundi linajitokeza kudhoofisha Mamlaka ya Mwanaume

  12. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Dar es Salaam: Mwanaume adai kuibiwa sehemu zake za siri

    Jeshi la Polisi limelazimika kuwahi eneo la tukio na kuingilia kati taharuki iliyoibuka Kimara Mwisho, Wilayani Ubungo Mkoani Dar es salaam jioni hii baada ya Wananchi wa eneo hilo kumpiga Mwanaume mmoja anayedaiwa kupoteza sehemu za siri za Mkazi mmoja wa Kimara baada ya kumshika begani...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kimara: Polisi walingilia kati kumuokoa aliyepigwa na Wananchi kwa kudaiwa kupoteza nyeti za mtu Mwanaume mmoja

    Jeshi la Polisi limelazimika kuwahi eneo la tukio na kuingilia kati taharuki iliyojibuka Kimara Mwisho, Wilayani Ubungo Mkoani Dar es salaam jioni hii baada ya Wananchi wa eneo hilo kumpiga Mwanaume mmoja anayedaiwa kupoteza sehemu za siri za Mkazi mmoja wa Kimara baada ya kumshika begani...
  14. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Kichoitwa kikao cha wanaume chini ya nabii feki IPM kinashusha hadhi ya mwanaume

    Tangu lini wanaume tukawa na kikao kinachotutaka tushone sare? Hili ni jambo la hovyo mno. Haina tofauti na Kitchen party galla. Mbaya zaidi kikao kilikuwa cha kuchambana na kusemana vibaya wanaume. Ikumbukwe huyu nabii feki ndo alisema ni aibu mtu kufika miaka 50 bila nyumba wala gari...
  15. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume wa kweli, na ukweli juu ya kuyaishi maumivu

    Salaam jamiiforum. Mwanaume unataka raha? Mwanaume unadeka? Mwanaume unasound kike kabisa,na ukipewa zawadi unalia,yaani kuna mshipa wa hisia unaokuteka na kuuharibu uanaume wako? Hii si sawa,Leo ni siku ya mwisho wa Mwezi wa tatu mwaka 2026. Karne ya 21 uliyobeba taswira nyingine ya...
  16. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Vipaumbele vikuu vya mwanaume mwenye umri wa miaka 30+

    VIPAOMBELE VIKUU VYA MWANAUME MWENYE UMRI WA MIAKA 30+ Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Kila umri unavipaombele vyake. Umaana wa maisha unauleta wewe kupitia vipaombele vyako. 2. Ili ufanikiwe utahitaji kuzingatia vipaombele kulingana na umri wako, fursa zinazokuzunguka, mbinu, uwezo na...
  17. Intelligent businessman

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana nisikilizeni, mwanaume wa ukweli hakai ukweni.

    sijajua imekua trend au ndio ulofa wa zama hizi, mtoto wa kiume una toa wapi nguvu ya kulala na kukoroma ukweni? Sifa ya mwanaume ni kupambana uwe na himaya yako, hata kama umepanga still ni kwako. una maamuzi na uchaguzi wa kufanya hili au lile, sasa huko ukweni uta amrisha uchemshiwe maji ya...
  18. Think2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna mwanaume mwenye stress kama aliepata ajali ya kondomu kupasuka 😂

    Afu demu awe mcharuko asee unaweza kupungua kilo 2 kwa kila saa. 28 huna mke hujaoa unasubiri nini? Malaya wengi wameongua na hao hao wa mtaani ndio wanaojipanga ikifika usiku. Kwanini usiende zako kagera ukachukua zako mtoto wa kitutsi ukaenjoy bila stress Mwisho, wito kwa serikali wazuie...
  19. Stroke

    JamiiForums Tanzania Leo nimeshuhudia mwanaume akipigwa makofi na mwanamke

    Tatizo jamaa alijifanya kidume saana, Kaingia mahali kaanza kuamrisha watu kumbe watu wanamchora tu. Mhudumu akazidisha bili, Si akabisha. Jamaa akala makofi. Haha, wakuu sio vyema kujutumua kila mahali.
  20. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Wanaume tutafute hela, ni aibu kwa mwanaume kuishi kwa kuombaomba kwa watu ili uhudumie familia Yako ujue unatengeza kizazi cha laana

    Mwanaume popote ulipo ujue kuwa unatakiwa u - hustle kutafuta hela bila kuchagua Kazi ya kufanya as long as itakuingizia kipato. Acheni ubishoo! Hela za kuomba omba kwa watu hazijawahi kuwa na baraka, ujue hiyo laana inahamia kwenye ukoo wako na vizazi vyako vyote wataishi maisha ya kutembeza...
Back
Top Bottom