mwanamke

  1. G

    JamiiForums Tanzania Nimezisoma sheria za urithi katika Uislam, nikiri kwamba zipo kwa haki

    Kwa mujibu wa Sheria ya Kiislam mgawanyo wa urithi uko kama ifuatavyo: Wajane hurithi 1/8, Wengi huendelea kutunzwa na watoto wao na nimeona kwa huu mgao unalinda wasiwe na tamaa za kutaka mwanaume afe ilinwapate mali, k Wazazi - Wazazi hupewa 1/6 ya salio baada ya kuondoa fungu la...
  2. Infinite_Kiumeni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tambua Dalili 9 Za Wazi, Unaelekea Kufanywa Rafiki Tu Na Mwanamke. (Epuka Friendzone)

    Urafiki na mwanamke unayemtaka kimapenzi sio mzuri. Aitha utaishia kuchunwa au kuumizwa. Huwa inauma pale unamfikiria mwanamke kimapenzi lakini anaishia kukufikiria kama rafiki au ndugu. Japo unaweza kuambiwa kuwa ili umpate anza kuwa rafiki yake kwanza, lakini je, hilo ndo lengo lako? Mwanamke...
  3. Hemedy Jr Junior

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa ni utumwa

    Kuna kijana kaniuliza kwani we uliyejiajiri unaingiza zaidi ya 5M au upo chini ya hapo. Na mjibu kama ifuatavyo 👇 Tatizo sio kuingiza kiasi gani we utakuwa mbumbu na unatetea upuuzi bora kuingiza buku yangu kuliko kutumia akili yangu kumuingizia million mwajiri wangu. Hapa kinachozungumziwa ni...
  4. Internet-Money

    JamiiForums Tanzania Nikki wa Pili alishawahi kumdhihaki MUNGU kisa Mwanamke

    Malipo ni hapa hapa. Ulimbukeni wa kupata mwanamke mzuri, ulimfanya Nikki wa Pilli kusema, "Mwanadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni mwanamke, na sio mwanaume kama Biblia inavyosema" - hio ilikuwa ni 2019. Watu wengi walijaribu kumkanya afute kauli yake -akiwemo Bill Nas na Pastor Mmoja hivi...
  5. Brain Kingdom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Moyo wa mwanamke pacha wake kuku, wote tiba yao ni vitu

    Hello mambo JF! Muda mchache mambo ni mengi, usisumbuke asili ya tamaa ni vitu kama ilivyo kwa mwanamke na kuku, wote tamaa yao huvutwa na mvuto vitu kama afanyavyo kuku. Hata angeona hatari gani, uchu wake mrushie mchele ndio utajua nguvu ya mchele kwake kuku, vivyo vivyo hivyo mwanamke...
  6. Infinite_Kiumeni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwongozo rahisi wa Kumtongoza Mwanamke unayekutana naye mara kwa mara

    Utapata urahisi zaidi ukiwa wa thamani katika jumuiya uliyopo. Jumuiya uliyopo inaweza kuwa ni kazini, shuleni, mtaani, kanisani au sehemu ambayo unakutana na mwanamke mara kwa mara. Hakikisha unajulikana na watu, ongea na watu wengi kadri uwezavyo. Hili litaongeza thamani yako kama...
  7. Hemedy Jr Junior

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke anajihisi yuko Paradiso ukifanya mambo haya

    1. kichwani Pitisha mkono kwa nywele zake papasa sio umkune papasa. 2. Sikio Kidole chako fulani hivi pitisha shikioni au vizuri zaidi ukitumia ulimi kulamba sikioni. 3. Shingo/Kisogoni Nayo lamba kama unalamba koni... au papasa. 4. Kwenye nyayo za miguu Huku jamani kuna hatari aisee...sema...
  8. Nakadori

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanga: Mwanaume anyanyaswa na mwanamke kwa miaka 7

    Bwana Saidi mkazi wa Jijini Tanga anaelezea alivyonyanyasika na mkewe ambaye kwa sasa amemuacha na kuivunja ndoa yao kwa Kadhi. Huku bado manyanyaso hayo yakiendelea baada ya mkewe kutaka nyumba waliokuwa wakiishi iuzwe wagawane mali. Majirani wamesema mwanaume huyo alikuwa akimpenda mkewe hadi...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna raha kama kuwa na Mwanamke mzuri, mwenye Elimu na Pesa halafu awe anakupenda

    HAKUNA RAHA KAMA KUWA NA MWANAMKE MZURI, MWENYE ELIMU NA PESA ALAFU AWE ANAKUPENDA. Anaandika, Robert Heriel Ooh! Sitaki Mwanamke mwenye Elimu, Ooh! Sitaki Mwanamke anayejiweza kiuchumi, Hivi mmelogwa? Au hamjiamini! Hakuna kazi ngumu kama kuishi na Mwanamke asiye na Elimu yaani mjinga. Na...
  10. Hemedy Jr Junior

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mwanamke tajiri anayemiliki pesa nyingi duniani kuzidi matajiri wa kiume?

    Naomba kufahamu maana kila siku naona list za wanaume tu. Sasa mbona wanapambana sana, hela zao wanawekeza wapi?
  11. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri, huyu ni mwanamke sahihi kwangu?

    Habari ndugu na jamaa wa JF? Nimekua nikifatilia humu JF kwa muda kuhusu ndoa, naamini humu kuna watu wana uzoefu mkubwa sana kuhusu ndoa tunaweza kushauriana mambo kadhaa. Mimi ni kijana amabe nipo below 30 age nimeoa mke ambae ninamzidi mwaka 1, mimi na mke wangu wote tunalingana elimu ila...
  12. Infinite_Kiumeni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mada 4 muhimu za kuongea na mwanamke ili kujuana zaidi

    Hivi ni vitu vitakavyowafanya nyote muone mmepata muda mzuri na kujuana. Mada hizi zitakusaidia kuepuka mada ambazo zitapunguza kasi ya mwanamke kukupenda. Mfano, kumuambia kuwa unampenda mapema sana hata kabla hujamjua vizuri tabia yake na kuamua kama unaweza kuishi naye. Na kwa wale wanaojiona...
  13. nashukuru mzima

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke akiweza kumiliki vitu hivi ni ngumu ndoa Kudumu

    Habari za jioni, tunashukuru Mungu kwa uzima aliotupa. Katika ulimwengu huu tunaoishi katika dunia ya utandawazi ambayo imeonekana imejitosheleza katika kila sekta, ila kuna taasisi moja kubwa sana ambayo ni Nndoa, taasisi hii inaundwa na mwanamke na mwanaume matokeo ya muda mrefu hadi mfupi...
  14. Chance ndoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Anapata kinyaa kufanya mapenzi na mwanamke anayenyonyesha

    Ndugu zangu wakati huu nahitajika nitoe majibu kwa kijana wangu, anapitia wakati mgumu. Ana mpenzi wake anampenda kwa dhati, wamebarikiwa kupata mtoto. Tatizo lilipo sasa, anashindwa kufanya mapenzi na huyu binti maana yupo kipindi cha kunyonyesha. Binti anahitaji mapenzi ila kijana...
  15. Phobia

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume mzima unaendeshwa kihisia na mwanamke? Huo ni ujinga wa kiwango cha lami.

    Hivi mwanaume mzima halafu ukiwa kwa masela unajiita wewe ni mwanaume shababu halafu kutwa mapenzi yanakuendesha balaa huo si umbumbu? na ujinga? na ukichaa wa hali ya juu yaani mimi nikiona wanaume wa type hiyo natamani hata kuwapiga makofi hivi unaacha kuwaza pesa unawaza hawa ma slay queen...
  16. Infinite_Kiumeni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chanzo Cha Mwanamke Kuonesha Kiburi Kwa Mwanaume Wake. Cha Kufanya

    Hapa naongelea mwanamke ambaye ulikua naye vizuri lakini sasa analeta jeuri. Ila kama mwanamke ana hulka ya ujeuri, huyo hakuna haja ya kupasua kichwa. . Mwanaume kuwa dhaifu baada ya muda. Mara chache mwanamke atakuambia umekua dhaifu, hivyo njia rahisi kwao ni kuleta ujeuri wakiwa na matumaini...
  17. kwetumasoko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwanamke wa kuoa

    Wana MMU, heshima kwenu. Nahitaji mwanamke wa kufunga nae pingu za maisha (Ndoa) mwenye kujiheshimu na kumcha Mungu. Awe na umri usiopungua miaka 40 mwenye kazi halali inayomuingizia kipato, kabila lolote na awe mkristo. Itapendeza asiwe na mtoto zaidi ya mmoja. Awe tayari kupima afya. Umri...
  18. Infinite_Kiumeni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukizingatia haya hautapata shida kuongea na mwanamke

    Usipate shida kuhusu uongee nini na mwanamke, sababu wanawake wanajali unavowafanya wajisikie ukiwa nao zaidi ya maneno unayoongea. Kadri unavyojiamini ndivyo mwanamke anakuamini pia. Hivyo cha muhimu kufanyia kazi ni kuboresha hali yako ya ujasiri wa kiume na kuzingatia haya wakati unaongea na...
  19. Carlos The Jackal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiona mwanamke anakutreat vibaya, ujue wewe ndo umeruhusu akutendee hayo.. Hata ivo usiogope kumuacha mara moja ..... Huo ndio ukweli

    If a woman mistreats her man, it is only because he lets her....YES ITS BECAUSE OF YOU MAN !!. Mnatia Hasira sana nyie wasenge, haiwezekani, haiwezekan ... Na ndio Sababu mmekuja na makampeni yenu uchwara ya "Kataa Ndoa, Ndoa ni Utapeli". Wanaume mmekua wa hovyo sana, mmetanguliza upole...
  20. Superbug

    JamiiForums Tanzania Mwanamke anaanza kutema mate baada ya mimba kuingia?

    Kuna mwanamke hapa naona kama ameanza kutematema mate na nimekutana nae wiki hiihii na ofkoz ndio alikuwa kwenye tarehe za kutiwa mimba sasa hapa nisaidieni kinadada.
Back
Top Bottom