ThisisDenis
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 149
- 129
Habari za wakati huu wakuu, naomba nitoe kidogo duku duku langu na kujifunza juu ya mapenzi na udhaifu wa mwanamke uko wapi,
Duku duku langu linaanzia pale tu unapotaka kutongoza au kumuoa mwanamke, walio wengi tunawakosea sana hawa wenzetu wa kike kwa sababu zifuatazo, Mwanamke ni mtoto anaehitaji uangalizi wa hali ya juu, ni mama zetu, bibi zetu na viongozi wetu pia dada zetu lakini tunawakosea sehemu moja.
Tunapo watongoza:-
Pindi ambapo unaupiru umekujaa na unatamani mwanamke only for sex hua tunajichanganya sana na tunasahau tulio ya ahidi na kujali kipindi kifupi cha kupewa penzi, Hawa wenzetu haijalishi unamfikisha kileleni, haijalishi anakufanyia kila kitu ikiwemo unyonyaji wa 🍆 kila wakati lakini hua hawajali wanatazama kile tu ulicho ahidi wakati unatongoza.
Hapa mwisho wa siku tunabaki tunajuta na kuhisi tumeonewa kumbe hawa viumbe wamesha jua kwamba kazi yao ni kuzaa lakini sio kuishi kwa tabu.
Ndoa na ahadi zake.
Unapo mpenda mwanamke na unatamani kumuoa plz usimwambie mipango yako, wengi wetu tunajua kabisa hawa viumbe wanapenda mali na si kutupenda sisi sasa kwanini kuwaambia maendeleo yako na mipango yako mbeleni. Tunakosea sana.
Lawama,
Ukiangalia kiundani mwanamke hadi afike kileleni ni hadi pale ambapo ataondoa 🍑 kwako tena kwa msisimko wa hali ya juu kama pale mwanaume anapo mwaga, Swali ni je umewahi mfikisha kileleni mwenza wako au mke wako ipasavyooooo ?
Kuwahi kufika kileleni maranyingi hua wanajiongeza baada ya tendo la ndo kwa wakati wake anatafuta chimbo zuri anajichua kumaliza haja yake. Swala linakuja kwako unadhani kama wewe mwanaume usipo fika kileleni kwa namna yoyoye ile utapandisha suluale na kusema inatosha au utatafuta njia mbadala ili umalize haja yako. Majibu unayo wewe.
Suluhisho.
Tusiwapende kupitiliza tujua kabisa wanavyovitaka kwetu hawavipati hata kwa uchache wake, kwahiyo basi jitahidi kutengeneza mahusiano ambayo hayatakuumiza na wala hayata muumiza mpenzi wako kwa kuachiana muda na uhuru.
Sawa mnapendana lakini kuna wakati wanahitaji muda na nafasi wajue ni namna gani ya kuishi na wewe.
Nitaendelea kesho .............
Duku duku langu linaanzia pale tu unapotaka kutongoza au kumuoa mwanamke, walio wengi tunawakosea sana hawa wenzetu wa kike kwa sababu zifuatazo, Mwanamke ni mtoto anaehitaji uangalizi wa hali ya juu, ni mama zetu, bibi zetu na viongozi wetu pia dada zetu lakini tunawakosea sehemu moja.
Tunapo watongoza:-
Pindi ambapo unaupiru umekujaa na unatamani mwanamke only for sex hua tunajichanganya sana na tunasahau tulio ya ahidi na kujali kipindi kifupi cha kupewa penzi, Hawa wenzetu haijalishi unamfikisha kileleni, haijalishi anakufanyia kila kitu ikiwemo unyonyaji wa 🍆 kila wakati lakini hua hawajali wanatazama kile tu ulicho ahidi wakati unatongoza.
Hapa mwisho wa siku tunabaki tunajuta na kuhisi tumeonewa kumbe hawa viumbe wamesha jua kwamba kazi yao ni kuzaa lakini sio kuishi kwa tabu.
Ndoa na ahadi zake.
Unapo mpenda mwanamke na unatamani kumuoa plz usimwambie mipango yako, wengi wetu tunajua kabisa hawa viumbe wanapenda mali na si kutupenda sisi sasa kwanini kuwaambia maendeleo yako na mipango yako mbeleni. Tunakosea sana.
Lawama,
Ukiangalia kiundani mwanamke hadi afike kileleni ni hadi pale ambapo ataondoa 🍑 kwako tena kwa msisimko wa hali ya juu kama pale mwanaume anapo mwaga, Swali ni je umewahi mfikisha kileleni mwenza wako au mke wako ipasavyooooo ?
Kuwahi kufika kileleni maranyingi hua wanajiongeza baada ya tendo la ndo kwa wakati wake anatafuta chimbo zuri anajichua kumaliza haja yake. Swala linakuja kwako unadhani kama wewe mwanaume usipo fika kileleni kwa namna yoyoye ile utapandisha suluale na kusema inatosha au utatafuta njia mbadala ili umalize haja yako. Majibu unayo wewe.
Suluhisho.
Tusiwapende kupitiliza tujua kabisa wanavyovitaka kwetu hawavipati hata kwa uchache wake, kwahiyo basi jitahidi kutengeneza mahusiano ambayo hayatakuumiza na wala hayata muumiza mpenzi wako kwa kuachiana muda na uhuru.
Sawa mnapendana lakini kuna wakati wanahitaji muda na nafasi wajue ni namna gani ya kuishi na wewe.
Nitaendelea kesho .............