Natafuta mwanamke wa kuoa

Ahadi ya kweli2017

New Member
Oct 12, 2017
4
4
Habari,

Natafuta mwanamke wa kuoa, mwenye umr 32-39, mwenye mapenzi ya kweli, mvumilivu, mcheshi, mwenye hekima na busara.

Sifa zangu
Umri-37
Dini -Mkristu
Kaz-mfanyabiashara wa mazao
Kimo-mrefu wastani.

Karibu pm tuyajenge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom