Fikiria mtoto mzuri anajipoat, anafollowers kibao, hajaona picha yangu, na hajaomba ila anajibu text zangu kwa haraka na amekubari kukutana na mimi.
Najiuliza huyu atakua wakawaida kweli? Mana wanawema “when the deal is too good, be Think twice i.e be cautious “
Asijekua dume jike huyu wadau...