AJIRA SASA
Member
- Sep 5, 2018
- 5
- 5
Habari,
Nilijiandikisha na nida mwaka kati ya mwaka 2020-2022 nikapatan namba vizuri tu lakini baada ya hapo sijawahi kupata kitambulisho changu mpaka leo.
Licha ya juhudi zangu kufuatilia katika ofisi mbalimbali niliambiwa ya kuwa kitambulisho kipo hatua ya mwisho kwenye mchakato wa kuprintiwa.
Inapita miezi na miezi lakini kila ukipiga simu jibu lao ni hilo hilo. Naomba muwaulize nida ni lini hizi card zitaprintiwa maana imekuwa wimbo wa kila siku na hakuna majibu ya kueleweka.
Kwa kukosa vitambulishp vya nida tunakosa huduma za msingi na kukosa fursa nyingi sana.
Swali langu kuna shida gani Huko nida?
Nilijiandikisha na nida mwaka kati ya mwaka 2020-2022 nikapatan namba vizuri tu lakini baada ya hapo sijawahi kupata kitambulisho changu mpaka leo.
Licha ya juhudi zangu kufuatilia katika ofisi mbalimbali niliambiwa ya kuwa kitambulisho kipo hatua ya mwisho kwenye mchakato wa kuprintiwa.
Inapita miezi na miezi lakini kila ukipiga simu jibu lao ni hilo hilo. Naomba muwaulize nida ni lini hizi card zitaprintiwa maana imekuwa wimbo wa kila siku na hakuna majibu ya kueleweka.
Kwa kukosa vitambulishp vya nida tunakosa huduma za msingi na kukosa fursa nyingi sana.
Swali langu kuna shida gani Huko nida?