Bamileck Member Jul 26, 2021 26 39 Aug 1, 2021 #1 Kila mtu aheshimu imani ya mwenzie. Tubakie na hilo Kuna maswali mengi hayana majibu katika suala zima la imani "USIMTUKANIE MWENZIO MUNGU WAKE WA UONGO MAANA NA YEYE ATAKUTUKANIA MUNGU WAKO WA UKWELI"
Kila mtu aheshimu imani ya mwenzie. Tubakie na hilo Kuna maswali mengi hayana majibu katika suala zima la imani "USIMTUKANIE MWENZIO MUNGU WAKE WA UONGO MAANA NA YEYE ATAKUTUKANIA MUNGU WAKO WA UKWELI"
Chaliifrancisco JF-Expert Member Jan 17, 2015 23,517 70,323 Aug 1, 2021 #2 Sasa hata akimtukana si ni juu yake yeye na huyo alietukanwa? Mimi inanihusu nini?