#COVID19 Mungu ni mwema sana, sasa tunawafahamu waliokuwa wakimpotosha Hayati Magufuli kuhusu Corona

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,329
12,626
Askofu Gwajima anaonesha kuwa ni mmojawapo waliokuwa wanamshauri vibaya Rais JPM (rip).

Hizi chanjo hata Ulaya na Marekani wanachanja kwa wingi sana. Inamaana wao watakuwa mazombi ili Gwajima akazoe Dola zao kwenye mabenki watakapogeuka kuwa mazombi kama anavyosema Gwajima kuwa chanjo hizi zitageuza watu kuwa mazombi.

Ni vema Gwajima akatumia demokrasia yake kukataa kuchangiwa kama yeye badala ya kushawishi waumini wake wakatae kuchanjwa. Anasahau kuwa waumini wake ni watanzania. Enzi za JPM mtu anaepingana na maagizo na mipango ya serikali angeshakamatwa au kutumbuliwa kama ni mtumishi.

Gwajima anapima kina Cha maji kwa miguu yake.

Tanzania ikiacha kuchanja itageuka kisiwa, Kuna siku dunia itakuja na maazimio ya asiyechanja asipewe VISA, asipande ndege, asiingie kwao, asiwauzie bidhaa zao, wasiende nchi ambayo Kuna maambukizi (hawakuchanja).
 
Gagula Hilo ni hatari Sana, kutwa, kuchwa ni kudanganya tu. Mara nina hela kwenye mfuko was shati ya kununua treni.

Mara ninanunua ndege iko bandarini.

Mara ntawapeleka Wana Kawe wote Ulaya na Marekani, yaani muongo sana na hajawahi kutimiza ahadi zake.

Hivi zile boti za uvuvi alizosema ziko njiani mwezi February zitafika lini?
 
Huko Ufaransa.

Hupati baadhi ya huduma za KIJAMII bila ya hizo chanjo.

Sijui hawa akina Gwajima wanafikiri kwa upana?

Leo kuna waislam wanakwenda Hijja Makka.....je kuchanjwa hakutakuwa ni lazima?

Leo Kuna wakristo wanakwenda Hijja Bethlehem....je kuchanjwa hakutakuwa Ni lazima?

Cha ajabu maeneo matakatifu yalipoanzia hizo dini mbili kubwa yote. Makkah na Jerusalem kote tawala zao ZIMEWATAKA RAIA KUCHANJWA HIZO CHANJO.

Halafu wanatokea watu huku Afrika...."wanapiga tu makelele" khaa 😲😲🤣

It's really terrible.

#TujiandaeKuchanjwa
#ChanjoNiMuhimu
#KaziIendelee
#NchiKwanza
 
Huko Ufaransa.....

Hupati baadhi ya huduma za KIJAMII bila ya hizo chanjo....

Sijui hawa akina Gwajima wanafikiri kwa upana?!!!

Leo kuna waislam wanakwenda Hijja Makka.....je kuchanjwa hakutakuwa ni lazima?!!!

Leo Kuna wakristo wanakwenda Hijja Bethlehem....je kuchanjwa hakutakuwa Ni lazima?!!!

Cha ajabu maeneo matakatifu yalipoanzia hizo dini mbili kubwa yote....Makkah na Jerusalem kote tawala zao ZIMEWATAKA RAIA KUCHANJWA HIZO CHANJO.....

Halafu wanatokea watu huku Afrika...."wanapiga tu makelele" khaa 😲😲🤣

It's really terrible.....

#TujiandaeKuchanjwa
#ChanjoNiMuhimu
#KaziIendelee
#NchiKwanzay
Huko Ufaransa.....

Hupati baadhi ya huduma za KIJAMII bila ya hizo chanjo....

Sijui hawa akina Gwajima wanafikiri kwa upana?!!!

Leo kuna waislam wanakwenda Hijja Makka.....je kuchanjwa hakutakuwa ni lazima?!!!

Leo Kuna wakristo wanakwenda Hijja Bethlehem....je kuchanjwa hakutakuwa Ni lazima?!!!

Cha ajabu maeneo matakatifu yalipoanzia hizo dini mbili kubwa yote....Makkah na Jerusalem kote tawala zao ZIMEWATAKA RAIA KUCHANJWA HIZO CHANJO.....

Halafu wanatokea watu huku Afrika...."wanapiga tu makelele" khaa 😲😲🤣

It's really terrible.....

#TujiandaeKuchanjwa
#ChanjoNiMuhimu
#KaziIendelee
#NchiKwanll

Huko Ufaransa.

Hupati baadhi ya huduma za KIJAMII bila ya hizo chanjo.

Sijui hawa akina Gwajima wanafikiri kwa upana?

Leo kuna waislam wanakwenda Hijja Makka.....je kuchanjwa hakutakuwa ni lazima?

Leo Kuna wakristo wanakwenda Hijja Bethlehem....je kuchanjwa hakutakuwa Ni lazima?

Cha ajabu maeneo matakatifu yalipoanzia hizo dini mbili kubwa yote. Makkah na Jerusalem kote tawala zao ZIMEWATAKA RAIA KUCHANJWA HIZO CHANJO.

Halafu wanatokea watu huku Afrika...."wanapiga tu makelele" khaa 😲😲🤣

It's really terrible.

#TujiandaeKuchanjwa
#ChanjoNiMuhimu
#KaziIendelee
#NchiKwanza
Mpaka leo kaka Tanzania hatutengenzi chanjo yoyote ya binadamu, kama nia yao ni kumdhuru Gwajima kwa kutumia chanjo ya covid kama tukikataa kuchanja hii ya covid basi watatumia chanjo zingine za polio, tetanus, kifaduro, donda koo, surua, tuberculosis, mafua, kichaa cha mbwa, homa ya ini, homa ya manjano, nk, ambazo hata Gwajima na familia yake wamechanja na wataendelea kuchanja. Hivyo kama lengo ni kutufanya tuwe mazombi hawatatukosa maadam dawa na chanjo za magonjwa mengine bado zinatoka kwao.

Askofu Gwajima asichokielewa ni kwamba kazi kubwa ya WHO na watumishi wa afya wote duniani ni kuboresha afya na kuahirisha kifo, na sio kuzuia kifo. Kukisogeza kifo mbele hata kwa saa moja ni ushindi kwa mtumishi wa afya. Kama chanjo hii ya covid inaweza kumzuia mtu asife leo ili afe miaka 10 mbele huo ni ushindi mkubwa dhidi ya kifo. Ndiyo maana zamani wakati tuko wadogo kulikuwa na DAWA KALI ya minyoo, yaani minyoo inalewa na kuachia tumboni na wewe mgonjwa unalewa pia, dawa hizo hazipo tena sokoni kutokana na ugunduzi na maendeleo ya science na technologia zikagunduliwa dawa mpya nzuri ambazo hazina madhara ya dawa kali, pia hata hizi mpya zinaendelea kuchunguzwa, kwakuwa dawa nzuri leo kesho inawezakuonekana sio nzuri, lakini maisha yanaendelea.

Tunahitaji watu wetu wafe wangapi na nani na nani ili tukubali kuchanja?

Science imeendelea sana, kama HIV ingekuwa inawaua wazungu wengi hapohapo kama inavyofanya corona wangeshagundua chanjo na tiba ya HIV. Makampuni ya utafiti yanatumia fedha nyingi sana kugundua dawa, mataifa yenye wagonjwa wengi wa HIV hayawezi kurudisha gharama za utafiti wao na kupata faida, ndio maana chanjo za malaria na HIV zinasuasua.

Tusijazane ujinga kwenye hili, kama dunia yote inachanja sisi ni nani tusichanje? Tuihesabu chanjo ya corona sawa na DAWA KALI ili tusogeze maisha ya watu wetu, hata ufanye nini kizazi hiki kitatoweka siku moja. Tusisahau kuwa ugonjwa wa tauni (plague) uliuaga karibia nusu ya watu wa bara la Ulaya, na covid-19 inaelekea hukohuko, tuache porojo za kihuni na za kijinga.
 
Gagula Hilo ni hatari Sana, kutwa, kuchwa ni kudanganya tu. Mara nina hela kwenye mfuko was shati ya kununua treni.

Mara ninanunua ndege iko bandarini.

Mara ntawapeleka Wana Kawe wote Ulaya na Marekani, yaani muongo sana na hajawahi kutimiza ahadi zake.

Hivi zile boti za uvuvi alizosema ziko njiani mwezi February zitafika lini?
February bado usiwe na haraka mkuu.
 
Askofu Gwajima anaonesha kuwa ni mmojawapo waliokuwa wanamshauri vibaya Rais JPM (rip).

Hizi chanjo hata Ulaya na Marekani wanachanja kwa wingi sana. Inamaana wao watakuwa mazombi ili Gwajima akazoe Dola zao kwenye mabenki watakapogeuka kuwa mazombi kama anavyosema Gwajima kuwa chanjo hizi zitageuza watu kuwa mazombi.

Ni vema Gwajima akatumia demokrasia yake kukataa kuchangiwa kama yeye badala ya kushawishi waumini wake wakatae kuchanjwa. Anasahau kuwa waumini wake ni watanzania. Enzi za JPM mtu anaepingana na maagizo na mipango ya serikali angeshakamatwa au kutumbuliwa kama ni mtumishi.

Gwajima anapima kina Cha maji kwa miguu yake.

Tanzania ikiacha kuchanja itageuka kisiwa, Kuna siku dunia itakuja na maazimio ya asiyechanja asipewe VISA, asipande ndege, asiingie kwao, asiwauzie bidhaa zao, wasiende nchi ambayo Kuna maambukizi (hawakuchanja).
Acha ujinga Gwajima ni mshauri wa Rais? Ni wapi kwenye katiba ilipoandikwa Rais anatakiwa kuchukua ushauri aliopewa?
 
Mpuuzi huyo aliwahi kuntembeza Kwa Mguu MWENGE - KAWE kwenda kuangalia anavomfufua AC
Gagula Hilo ni hatari Sana, kutwa, kuchwa ni kudanganya tu. Mara nina hela kwenye mfuko was shati ya kununua treni.

Mara ninanunua ndege iko bandarini.

Mara ntawapeleka Wana Kawe wote Ulaya na Marekani, yaani muongo sana na hajawahi kutimiza ahadi zake.

Hivi zile boti za uvuvi alizosema ziko njiani mwezi February zitafika lini?

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Acha ujinga Gwajima ni mshauri wa Rais? Ni wapi kwenye katiba ilipoandikwa Rais anatakiwa kuchukua ushauri aliopewa?



Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Serikali haiwezi kukaa kimya inapoona watu wanaowapotosha watu wake, watu wote ni mali ya serikali, serikali ina maslahi kutoka kwa watu wake, serikali inapata kodi na watumishi kutoka kwa watu wake, katika hali ya kawaida serikali haiwezi kuvumilia kuona mlipa kodi na mtumishi wake anakufa kwa corona. Gwajima anapata wapi nguvu ya kuingilia serikali isifanyekazi yake ya kuwazuia walipa kodi na watumishi wake wasife kwa corona? Gwajima amefika mbali sana na kusema wanaosema watu wachanjwe wamehongwa na wenye chanjo yao. Ukiangalia msimamo kama huo alikuwa nao JPM rip pia, ni kama mwendelezo tu. yaani alistahili kuswekwa ndani, hana tofauti na Askofu Kibwetere.
 
Askofu Rashid Gwajima ameishika CCM na Serikali yake pabaya wamebakia kubweka bweka tu lakini hawana cha kumfanya. Gwajima ana'watu'
 
Askofu Gwajima anaonesha kuwa ni mmojawapo waliokuwa wanamshauri vibaya Rais JPM (rip).

Hizi chanjo hata Ulaya na Marekani wanachanja kwa wingi sana. Inamaana wao watakuwa mazombi ili Gwajima akazoe Dola zao kwenye mabenki watakapogeuka kuwa mazombi kama anavyosema Gwajima kuwa chanjo hizi zitageuza watu kuwa mazombi.

Ni vema Gwajima akatumia demokrasia yake kukataa kuchangiwa kama yeye badala ya kushawishi waumini wake wakatae kuchanjwa. Anasahau kuwa waumini wake ni watanzania. Enzi za JPM mtu anaepingana na maagizo na mipango ya serikali angeshakamatwa au kutumbuliwa kama ni mtumishi.

Gwajima anapima kina Cha maji kwa miguu yake.

Tanzania ikiacha kuchanja itageuka kisiwa, Kuna siku dunia itakuja na maazimio ya asiyechanja asipewe VISA, asipande ndege, asiingie kwao, asiwauzie bidhaa zao, wasiende nchi ambayo Kuna maambukizi (hawakuchanja).
Hakuna Aliweza KUMSHAURI YULE MUNGU
 
Mpaka leo kaka Tanzania hatutengenzi chanjo yoyote ya binadamu, kama nia yao ni kumdhuru Gwajima kwa kutumia chanjo ya covid kama tukikataa kuchanja hii ya covid basi watatumia chanjo zingine za polio, tetanus, kifaduro, donda koo, surua, tuberculosis, mafua, kichaa cha mbwa, homa ya ini, homa ya manjano, nk, ambazo hata Gwajima na familia yake wamechanja na wataendelea kuchanja. Hivyo kama lengo ni kutufanya tuwe mazombi hawatukosa maadam dawa na chanjo bado zinatoka kwao.

Askofu Gwajima asichokielewa ni kwamba kazi kubwa ya WHO na watumishi wa afya wote duniani ni kuboresha afya na kuahirisha kifo, na sio kuzuia kifo. Kukisogeza kifo mbele hata kwa saa moja ni ushindi kwa mtumishi wa afya. Kama chanjo hii ya covid inaweza kumzuia mtu asife leo ili afe miaka 10 mbele huo ni ushindi mkubwa dhidi ya kifo. Ndiyo maana zamani wakati tuko wadogo kulikuwa na DAWA KALI ya minyoo, yaani minyoo inalewa na kuachia tumboni na wewe mgonjwa unalewa pia, dawa hizo hazipo tena sokoni kutokana na ugunduzi na maendeleo ya science na technologia zikagunduliwa dawa mpya nzuri ambazo hazina madhara ya dawa kali, pia hata hizi mpya zinaendelea kuchunguzwa, kwakuwa dawa nzuri leo kesho inawezakuonekana sio nzuri, lakini maisha yanaendelea.

Tunahitaji watu wetu wafe wangapi na nani na nani ili tukubali kuchanja?

Science imeendelea sana, kama HIV ingekuwa inawaua wazungu wengi hapohapo kama inavyofanya corona wangeshagundua chanjo na tiba ya HIV. Makampuni ya utafiti yanatumia fedha nyingi sana kugundua dawa, mataifa yenye wagonjwa wengi wa HIV hayawezi kurudisha gharama za utafiti wao na kupata faida, ndio maana chanjo za malaria na HIV zinasuasua.

Tusijazane ujinga kwenye hili, kama dunia yote inachanja sisi ni nani tusichanje? Tuihesabu chanjo ya corona sawa na DAWA KALI ili tusogeze maisha ya watu wetu, hata ufanye nini kizazi hiki kitatoweka siku moja. Tusisahau kuwa ugonjwa wa tauni (plague) uliuaga karibia nusu ya watu wa bara la Ulaya, na covid-19 inaelekea hukohuko, tuache porojo za kihuni na za kijinga.
Exquisite 👊👊

Komredi Umeelezea vyema Sana....👍
 
Kuwa mchungaji ni jambo la kwanza, na kuwa na akili na kuelimika ni jambo la pili.


Je akili yako au wewe unaweza link mambo haya 2 kwa wakati mmoja kutatua changamoto za jamii yako?
 
Mpaka leo kaka Tanzania hatutengenzi chanjo yoyote ya binadamu, kama nia yao ni kumdhuru Gwajima kwa kutumia chanjo ya covid kama tukikataa kuchanja hii ya covid basi watatumia chanjo zingine za polio, tetanus, kifaduro, donda koo, surua, tuberculosis, mafua, kichaa cha mbwa, homa ya ini, homa ya manjano, nk, ambazo hata Gwajima na familia yake wamechanja na wataendelea kuchanja. Hivyo kama lengo ni kutufanya tuwe mazombi hawatukosa maadam dawa na chanjo bado zinatoka kwao.

Askofu Gwajima asichokielewa ni kwamba kazi kubwa ya WHO na watumishi wa afya wote duniani ni kuboresha afya na kuahirisha kifo, na sio kuzuia kifo. Kukisogeza kifo mbele hata kwa saa moja ni ushindi kwa mtumishi wa afya. Kama chanjo hii ya covid inaweza kumzuia mtu asife leo ili afe miaka 10 mbele huo ni ushindi mkubwa dhidi ya kifo. Ndiyo maana zamani wakati tuko wadogo kulikuwa na DAWA KALI ya minyoo, yaani minyoo inalewa na kuachia tumboni na wewe mgonjwa unalewa pia, dawa hizo hazipo tena sokoni kutokana na ugunduzi na maendeleo ya science na technologia zikagunduliwa dawa mpya nzuri ambazo hazina madhara ya dawa kali, pia hata hizi mpya zinaendelea kuchunguzwa, kwakuwa dawa nzuri leo kesho inawezakuonekana sio nzuri, lakini maisha yanaendelea.

Tunahitaji watu wetu wafe wangapi na nani na nani ili tukubali kuchanja?

Science imeendelea sana, kama HIV ingekuwa inawaua wazungu wengi hapohapo kama inavyofanya corona wangeshagundua chanjo na tiba ya HIV. Makampuni ya utafiti yanatumia fedha nyingi sana kugundua dawa, mataifa yenye wagonjwa wengi wa HIV hayawezi kurudisha gharama za utafiti wao na kupata faida, ndio maana chanjo za malaria na HIV zinasuasua.

Tusijazane ujinga kwenye hili, kama dunia yote inachanja sisi ni nani tusichanje? Tuihesabu chanjo ya corona sawa na DAWA KALI ili tusogeze maisha ya watu wetu, hata ufanye nini kizazi hiki kitatoweka siku moja. Tusisahau kuwa ugonjwa wa tauni (plague) uliuaga karibia nusu ya watu wa bara la Ulaya, na covid-19 inaelekea hukohuko, tuache porojo za kihuni na za kijinga.
acha porojo, maelezo mengi no facts.
 
Ndomaana jana nilisema angelikuwa kanda wa upinzani, tiyari angelikuwa mkononi mwa polisi . huyu gwajima??
 
Kama wanakupenda si wangekuletea dozi milioni 50, hizo zinazobaki utazitoa wapi.
kila nchi lazima itenge bajeti kwaajili ya nchi yake, kuna tutakazopewa na tutakazonunua wenyewe, hata barabara ziko za msaada na tunazojenga wenyewe kwa pesa zetu.
 
Ndomaana jana nilisema angelikuwa kanda wa upinzani, tiyari angelikuwa mkononi mwa polisi . huyu gwajima??
Askofu anachanganya madesa, enzi za nyungu, malimao, pilipili na covido zimepita. Watu waliumia sana kwa kula malimao na pilipili.
 
Back
Top Bottom