Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,813
- 4,545
Salaam Wakuu,
Serikali kupitia Wizara ya Afya imeanza mchakato wa kusambaza chanjo ya Uviko katika mikoa mbalimbali nchini, ugawaji wa chanjo hizi utazingatia taarifa za visa mbalimbali vya kuwapo kwa wagonjwa katika maeneo husika.
My Take
Tujitokezr kuchanja
Serikali kupitia Wizara ya Afya imeanza mchakato wa kusambaza chanjo ya Uviko katika mikoa mbalimbali nchini, ugawaji wa chanjo hizi utazingatia taarifa za visa mbalimbali vya kuwapo kwa wagonjwa katika maeneo husika.
My Take
Tujitokezr kuchanja