Mdau jf
Senior Member
- Sep 10, 2020
- 182
- 312
Asalaam aleykum...
Tumsifu yesu kristo...
Mwana kondoo ameshinda...
Ama baada ya salamu
Mimi ni kijana wa kitanzania umri miaka 24 ni Mwajiriwa wa Selikari (Mtumishi wa Umma).
Nimekuja kwenu kuomba ushari kwa umri wangu huu wa miaka 24 ni umri sahihi wa kuingia kwenye ndoa
Yaani naweza kuoa kwa sasa?
NB: Sina mahusiano na mwanamke yeyote kwasasa
Tumsifu yesu kristo...
Mwana kondoo ameshinda...
Ama baada ya salamu
Mimi ni kijana wa kitanzania umri miaka 24 ni Mwajiriwa wa Selikari (Mtumishi wa Umma).
Nimekuja kwenu kuomba ushari kwa umri wangu huu wa miaka 24 ni umri sahihi wa kuingia kwenye ndoa
Yaani naweza kuoa kwa sasa?
NB: Sina mahusiano na mwanamke yeyote kwasasa