mtu

  1. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Viongozi Wanajiita Wanasheria "Siyo Mawakili" Tanzania hawajui tofauti ya Wakili na mtu aliyesoma sheria!

    Lowasaa alisema Elimu Elimu Elimu! Waziri mmoja amesema ana mamlaka kikatiba, akaulizwa tutajie kifungu , akakimbia kusema watakutana mahakamani. Ifahamike, Watu waliosoma Sheria kwa hapa Tanzani mpaka sasa ni zaidi ya Laki tano 500,000 lakini mawakili ni 14,000 tu Tangu waanze kusajiliwa...
  2. Elevenn

    JamiiForums Tanzania Hivi mnawezaje kumfuta mtu katika fikra na hisia zenu? Mimi haikuwezekana

    This is one of the most secretful things nimekaa nayo for years, na sijui kama kuna mtu atanielewa humu.. Nianze kwa kuuliza je, kuna mtu alishawahi kuwa connected to someone katika namna isiyo ya kawaida? Yaani unakuwa unahisi like huyu mtu ni kama kuna cord flani invisible na instinctually...
  3. Nusratt

    JamiiForums Tanzania Ukweli Humuweka Mtu Huru: Nimechoka Kujiuza, Nimechoka.

    Kuna wakati inabidi ukweli uwe wazi ili upate amani ya Moyo. Mimi Nusratt Mohamed, Nimechoka kuwa muuzaji. Nimechoka na hii kazi, Nimechoka kuwa dada poa, Nimechoka kudhalilika kwenye jamii, Nimechoka kunyooshewa vidole mtaani, Nimechoka kuingiliwa na kila aina ya dhakari. Inafikia mahali...
  4. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Tahadhari: Mtu Anayejitambulisha Kama Afisa wa Ajira TAMISEMI anawatapeli wanaotafuta Ajira

    Mimi ni mmoja wa watu waliowahi kupigiwa simu na mtu anayejitambulisha kwa jina la Joseph Kichele, akidai anatokea Ofisi ya Ajira ya TAMISEMI jijini Dodoma. Kutokana na uzoefu wangu na taarifa nilizopata kutoka kwa wengine, naomba mamlaka husika zifuatilie suala hili kwa haraka ili kuwalinda...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wastaafu Rorya Wanamizwa na Mikopo Umiza ya Mtu Anayeitwa 'Adriano', Serikali Ingilieni Kati!

    Kuna unyanyasaji mkubwa na wa kutisha unaoendelea katika Wilaya ya Rorya dhidi ya wazee wetu wastaafu, hususan walimu waliolitumikia taifa hili kwa uaminifu. Kuna mtu mmoja anaitwa Adriano, amekuwa akitumia mwanya wa kutoa mikopo isiyo rasmi (mikopo umiza) ili kupora mafao ya wastaafu kwa nguvu...
  6. MFALME WETU

    JamiiForums Tanzania Ni maneno gani ukikuta mtu kakomenti humu jukwaani unajua kabisa huyu kavurugwa na maisha?

    Ciao, Kuna baadhi ya watu humu jukwaani wamevurugwa na maisha kwa iyo wasikusumbue akili. Utawajua kwa hizi komenti 👇 "Jiandae urudi shule" "Kwan shule zimefungwa?" "Hama apo kwa shemeji yako 😁" "Unahitaji kumeza dawa zako" "Tafuta hela" "Njoo pm" "Mwanaume mzima unawaza mapenzi?"...
  7. Fbn

    JamiiForums Tanzania Nani mwemye mamlaka ya kuthibitisha wamekamatwa na ushaidi wanatumika au kufanya makosa.Maana kila mtu kawa kambale kuwa msemaji.

    Nikama uwezi kuelewa yupi IGP,RPC,OCD,Mwanajeshi,polisi,RC,DC, Mwaipopo, mwenyekiti wa kikundi cha bra bra mpaka raisi na waziri wake. kila mtu anakuja itelenjesia zake na uthibitisho wake. Huyu alishasema wageni,pesa zimetumwa,watu wamelipwa,mtu kapewa usd milion 1,mwaka jana kasahau sinema...
  8. Eunice selin

    JamiiForums Tanzania Usijipoteze ukijaribu kumfurahisha mtu ambaye hajali thamani yako

    Kuna watu wanajitoa kwa asilimia 100, wanatoa muda, upendo, na juhudi zote wakiamini siku moja watathaminiwa. Lakini ukweli ni kwamba si kila anayepokea juhudi zako anazithamini. Mahusiano mazuri hayahitaji ujipoteze ili ukubalike. Mtu anayekupenda kwa dhati atakuheshimu, atathamini uwepo wako...
  9. U

    JamiiForums Tanzania Mtu mwenye diploma ya forensic science asome kozi gani degree

    Habari za muda huu wakuu Naomba ushauri, mtu mwenye diploma ya forensic science anaweza kusoma degree ipi hasa kama anataka kujikita kwenye uchunguzi wa maiti
  10. MIXOLOGIST

    JamiiForums Tanzania Kila mtu ashikamane na kile alichokifuata kwenye ndoa

    Iko hivi, kuna mchungaji mmoja ambaye pengine ni mke wa mtu ameelezea vizuri kabisa kwamba hajasoma degree nne ili aje kufua boksa chafu za mume wake. Kimsingi, yuko sahihi, kila mtu ashikamane na kile alichokifuata kwenye ndoa. Ieleweke kwamba ndoa ni scam na ubabaishaji mwingi wenye lengo la...
  11. Etwege

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wanaowacheka watu waliojenga nyumba badala ya kufanya biashara

    Tangu zamani watu waliojenga nyumba kabla ya biashara wamekuwa wakiulizwa maswali ya kwa nini wasijenge biashara kubwa kwanza alafu ndio baadae wajenge nyumba, wanaouliza hayo maswali wanadai kujenga ni kuzika pesa! Dhana ya kwamba ukijenga unazika pesa siku hizi imeshika kasi baada ya...
  12. Elevenn

    JamiiForums Tanzania Kwanini mtu huogopa? Hasa kufa kwa nini?

    Jamani tuachane na maelezo ya kawaida I need genuine explanation. Kuna jitu litajibu Kikawaida, nataka psychological, cultural, biological and scientific reasons What causes fear, na why do we fear to die... Na wengine hata huogopa kuwa wao na kufanya vitu watakavyo.. Mfano mtu anaweza kusikia...
  13. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Nikikumbuka kauli ya PM kassimu Majaliwa dhidi ya Afya ya Magufuli, nawiwa kusema hata Mwigulu na mtu wa bomu kapigwa fix la sivyo amtaje!

    Nikikumbuka, TAARIFA ya waziri mkuu mstaafu dhidi ya Afya ya Hayati magufuli kwa wananchi wa Tanga, aliwambia naomba kunukuu" Rais WENU ni mzima wa buheri WA afya, yupo imara kama CHUMA na anawasalimia wotee" wananchi heheeeeeeee vicheko na nderemo😚🤣😊😁😂😊🤣 staki niamini km pm hakuwa na TAARIFA...
  14. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Asikudanganye mtu—Maandamano 7/7 yatakuwepo, no matter what!

    Maandamano 7/7 yana potential participants wa aina mbili: 1. Umma wa Watanzania (pro-democracy protesters) 2. Vyombo vya Dola (anti-democracy protesters) Maandamano 7/7 yatakuja katika moja ya sura tatu zifuatazo: ✍️Umma wa Watanzania (pro-democracy protesters) nchi nzima kuandamana huku...
  15. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Mtu kufanya jitihada hadi kuwa Dr au Profesa halazimiki kuwajibika kukusaidia kiuchumi au kukutatulia shida zako.

    Kwanza kabisa niwakumbushe kuwa ELIMU haifananishwi na haina mbadala. Hata Fedha sio mbadala wa elimu. Unaweza cheza kamari ukapata hela ila hakuna kamari ya kupata elimu. Mtu hadi kuwa profesa wa chuo kikuu kajitoa na kupambana sana. Sio rahisi. Ni safari yenye machungu mengi. Kama fedha...
  16. Red black

    JamiiForums Tanzania Malipo ni hapa hapa duniani;Ogopa sana mtu ambae ukimdhulumu au kumtendea ubaya anakaa kimya na kupotezea.

    Tuishi maisha ya amani na furaha bila kuwakwaza wenzetu,kuwafitini,kuwasemea uogo... nk
  17. instinct desire

    JamiiForums Tanzania CHADEMA acheni akili ya kujifariji. Ukweli ni kwamba hamkubaliki na wapiga kura

    Nashangaa kuona wafuasi wa chadema wanatumia mikutano Yao kujifariji kuwa wanakubalika🤣🤣 Hebu pokeeni ukweli huu. chadema hamtakaa mshinde uchaguzi hilo msahau hao watu siyo wapiga KURA wenu wanakuja kuwashangaa tu. wapiga KURA Wapo nyumbani siyo hao mnaotumia nguvu kubwa kuwaita kwenye...
  18. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Takukuru, walioshindwa kumkamata yule fisadi Msama, wanauwezo kukamata corruption live?

    Najiuliza Hawa Hawa takukuru nilio wambia wanitumie buku tu niwatonye Alex Msama alipo siku hiyo na hawakutuma hata ilo buku, wataweza kukamata mtu live anae toa rushwa pamoja na anae POKEA? Sidhaniiii kama wanauwezo uo Hawa watu, Hawa wanachunguza baada ya kutonywa dhidi ya tukio lililojitokeza.
  19. The last don

    JamiiForums Tanzania Kimfaacho Mtu chake, karibuni vifaa vinauzwa kwa ujumla

    Wakuu Njoo uchukue 1. Compressor Air Master 2. Oregon Chain Saw (Petrol) 3. 12v Jumper Starter &Air Compressor 4. 2 Salamander water Pump 3.0bar and 1.5Bar (not working) 5. 2 Angle Grinder (500W and 720W) 6. Rolson Impact Wrench ( Cordless 24V) 7. 3 Impact Drills (400w,500W and 720W) 8...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Professor Kitila: Pato la Taifa ni kwa kila mtu, ikijumuisha yule aliye juu sana hadi ambaye hana chochote

    Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ametoa ufafanuzi wa kina leo Juni 23, 2026 bungeni kuhusu dhana ya Pato la Taifa (GDP) na Pato la Kila Mtu (GDP per capita), kufuatia kile alichokiita kuwa ni mkanganyiko mkubwa na mijadala inayoendelea kwenye jamii na mitandao ya kijamii...
Back
Top Bottom