Kwanini mtu huogopa? Hasa kufa kwa nini?

Kwanini mtu huogopa? Hasa kufa kwa nini?

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
10,855
Reaction score
21,543
Jamani tuachane na maelezo ya kawaida I need genuine explanation. Kuna jitu litajibu Kikawaida, nataka psychological, cultural, biological and scientific reasons

What causes fear, na why do we fear to die... Na wengine hata huogopa kuwa wao na kufanya vitu watakavyo.. Mfano mtu anaweza kusikia mziki unapiga mbele Za watu akaogopa kucheza, ila akiwa mwenyewe ndani anakata mauno.

Naombeni nijue wataalam
 
Jamani tuachane na maelezo ya kawaida I need genuine explanation. Kuna jitu litajibu Kikawaida, nataka psychological, cultural, biological and scientific reasons

What causes fear, na why do we fear to die... Na wengine hata huogopa kuwa wao na kufanya vitu watakavyo.. Mfano mtu anaweza kusikia mziki unapiga mbele Za watu akaogopa kucheza, ila akiwa mwenyewe ndani anakata mauno.

Naombeni nijue wataalam
Fear is your brain's built-in alarm system designed to keep you alive. It is a natural and healthy emotion that helps you react quickly to danger.
 
Kwa sababu huwa hatujui ni nini kinafuata baada ya kifo.
So unataka kusema uncertainty is the cause of fear? Je mbona mtu kwa mfano imetokea mtoto wake kavamiwa au anahitajika a risk maisha yake kwa ajili ya survival ya mtoto. Kwanini hisahau kuhusu kifo kwa muda na kuface ile fear?
 
Hofu inakuja sababu ya matendo afanyiwayo mt aliekufa yanatisha mf maiti kuchomwa,maiti kuwekwa kwenye box then kufukiwa shimon,mait kutupwa na kuliwa na wanya,wadudu au ndege na ata nyimbo zitumikazo wakat wa msiba si rafik kwa mt alie hai maana zinafanya mt uone kifo ni mateso mwisho kabisa yaonekana kifo kinatoa mateso na maumivu makali sana kwa mt anaekalibia kufa ivyo walio wengi twaogopa maumivu ayo ya mwil,roho na akili
 
Jamani tuachane na maelezo ya kawaida I need genuine explanation. Kuna jitu litajibu Kikawaida, nataka psychological, cultural, biological and scientific reasons

What causes fear, na why do we fear to die... Na wengine hata huogopa kuwa wao na kufanya vitu watakavyo.. Mfano mtu anaweza kusikia mziki unapiga mbele Za watu akaogopa kucheza, ila akiwa mwenyewe ndani anakata mauno.

Naombeni nijue wataalam
Fear of unknown
 
So unataka kusema uncertainty is the cause of fear? Je mbona mtu kwa mfano imetokea mtoto wake kavamiwa au anahitajika a risk maisha yake kwa ajili ya survival ya mtoto. Kwanini hisahau kuhusu kifo kwa muda na kuface ile fear?
Kinachotokea hapo kitaalamu ni biological override yani ubongo unatambua kuwa kumpoteza mtoto ni kifo cha aina nyingine hivyo unajenga priority mpya.

Hofu ya kumpoteza mtoto inakuwa ni kubwa kuliko ile hofu uliyo kuwa nayo juu ya kifo chako mwenyewe.
 
Kinachotokea hapo kitaalamu ni biological override yani ubongo unatambua kuwa kumpoteza mtoto ni kifo cha aina nyingine hivyo unajenga priority mpya.

Hofu ya kumpoteza mtoto inakuwa ni kubwa kuliko ile hofu uliyo kuwa nayo juu ya kifo chako mwenyewe.
Nimeipata concept thanks for reminder..

So unataka kusema uncertainty is what causes it.. Periodt..? Na it's intentionally ingrained for survival?
 
Back
Top Bottom