Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,075
Tangia mabadiliko yafanyike ya pesa ya shilingi mia tano mwanzo ilikuwa ni noti lakini sasa ni sarafu, changamoto tunayoipata wananchi ni kwamba hii pesa imekuwa ni kero hasa zikiwa nyingi wenye maduka ya jumla wengi hawataki kupokea.
Hivyo kusababisha kutokuingiza kwenye mzunguko; Mfano mimi hapa ninazo elfu 50 lakini nashindwa kufanya manunuzi ya msingi kutokana na changamoto hiyo.
Hivyo kusababisha kutokuingiza kwenye mzunguko; Mfano mimi hapa ninazo elfu 50 lakini nashindwa kufanya manunuzi ya msingi kutokana na changamoto hiyo.