msongamano

  1. Shadow7

    Marekani: Polisi waeleza kuisambaratisha birthday party ya Chris Brown kisa msongamano mkubwa wa magari

    Unaijua bithday party wewe ? magari zaidi ya 300 unahisi watu walioalikwa walikuwa wangapi ? unaambiwa msongamano wake kuelekea nyumbani kwa Breezy maeneo ya Tarzana California ulikuwa balaa ikabidi majirani na watu wanaoishi ameneo karibu na Breezy waite polisi. Ilianza kwa sauti kubwa...
  2. Analogia Malenga

    Bungeni: Ziara za makundi mbalimbali zasitishwa ili kuepuka msongamano

    Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ambaye pia ni mbunge wa Mbeya Mjini ametangaza kusitisha ziara mbalimbali bungeni. Bunge limekuwa likipokea ziara za mafunzo kwa wanafunzi na makundi mengine, Naibu Spika amesitisha ili kuepuka msongamano wakati huu wa bunge la Bajeti.
  3. Ophonso

    Wimbo wa Ndala Kasheba Dunia Msongamano umezungumzia kabisa tabia ya Watanzania

    Mawazo yamenijia leo aliokuwa mzee wangu akisema dunia ni msongamano wa watu wenye akili tofauti. Ukitaka kuishi vema fikiri kabla ya kujibu jifunze kwa walimwengu walimwengu wajifunze kwako dunia ni kuona mambo halafu kuyasahau. Mateso nimeshayapata matatizo mengi yamenikuta furaha nyingi...
  4. D

    Hofu ya kugonganisha magari inavyozuia wengi kutohudhuria maeneo ya starehe au msongamano

    Wadau! Sikukuu ndo hizo zinaanza, weekend ndefu ndefu kama zote! Tupeane mbinu za namna ya kukwepa kugonganisha magari chimbo na sehemu za starehe!!!
  5. S

    Msongamano Court of Appeal utaisha vipi na lini?

    Ndiyo mahakama inayoongoza kukatisha tamaa, siyo kwa kutotoa haki, hapana. Court of Appeal ni mabingwa wa kutoa haki. Tabu yao ni kwamba ukiwa na kesi pale lazima uhesabu miaka miwili ndipo usikilizwe. Matokeo yake baadhi ya majaji Mahakama Kuu (High Court) hulipua maamuzi yao wakitarajia...
  6. Uwesutanzania

    Gereza la Segerea kuweni na utaratibu mzuri ili kupunguza msongamano wa watu

    Kumekuwa na utaratibu ambao si rafiki sana wa muda ukifika gerezani hapo kwenda kumuona ndugu au jamaa yako mfungwa au mahabusu, kati ya mambo yanayopelekea sanasana uhatibifu wa muda eneo lile kwanza:- Kuna baadhi ya watu huwa wanapewa masaa mengi zaidi kuonana na kuongea na wapendwa wao mle...
  7. Return Of Undertaker

    Mashuleni wanafunzi madarasani watakaaje na msongamano huwa ni mkubwa?

    Huu muongozo haulezi wanafunzi watakaaje madarasani na kawaida wanafunzi kubanana ndani ya darasa moja ni hatua gani itachukuliwa kuwalinda wanafunzi hasa upande wa social distance?
  8. Dr Akili

    Vita dhidi ya Corona: Mikusanyiko ya watu isiyo lazima isitishwe, misongamano idhibitiwe ili kuepusha madhara makubwa zaidi

    Leo Waziri wa Afya ametangaza virusi hatari vya Corona kuwepo nchini mwetu. Mgonjwa mmoja amethibitishwa kwa vipimo vinavyofanywa kwenye maabara moja tu hapa nchini kwetu. Maana yake kuna uwezekano wa kuwepo wengine wenye virusi hivyo ambao hawajabahatika kufanyiwa vipimo hivyo au ni carriers...
  9. J

    TABOA: Stendi za mabasi ya mkoa na daladala wawepo wasafiri pekee wafanyabiashara waondolewe kupunguza msongamano

    Katibu mkuu wa chama cha wasafirishaji abiria (Taboa) ndugu Mrutu ameiomba Tamisemi kuhakikisha vituoni wanabakia wasafiri tu ili kupunguza msongamano nyakati hizi za majanga ya Corona. Mrutu amesema hata kwenye vituo vya daladala mfano Makumbusho kuna msongamano mkubwa sana wa watu lakini...
  10. Kaka Pekee

    Huyu Kamanda wa Jeshi anatukera sana wakazi wa Mbezi

    Habari wana jamvi, Kwa wale wakazi wenzangu wa Mbezi Beach, Kunduchi, Goba na watumiaji wa barabara ya Bagamoyo kwa ujumla bila shaka Mtakuwa mmekutana na huyu Kamanda wa Jeshi (Chief of Staff) ambaye kuanzia majira ya kila siku Asubuhi 12:30- 1:00 hutugandisha kwenye foleni kwa muda mrefu kila...
Back
Top Bottom