Unaijua bithday party wewe ? magari zaidi ya 300 unahisi watu walioalikwa walikuwa wangapi ? unaambiwa msongamano wake kuelekea nyumbani kwa Breezy maeneo ya Tarzana California ulikuwa balaa ikabidi majirani na watu wanaoishi ameneo karibu na Breezy waite polisi.
Ilianza kwa sauti kubwa...
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ambaye pia ni mbunge wa Mbeya Mjini ametangaza kusitisha ziara mbalimbali bungeni.
Bunge limekuwa likipokea ziara za mafunzo kwa wanafunzi na makundi mengine, Naibu Spika amesitisha ili kuepuka msongamano wakati huu wa bunge la Bajeti.
Mawazo yamenijia leo aliokuwa mzee wangu akisema dunia ni msongamano wa watu wenye akili tofauti.
Ukitaka kuishi vema fikiri kabla ya kujibu jifunze kwa walimwengu walimwengu wajifunze kwako dunia ni kuona mambo halafu kuyasahau.
Mateso nimeshayapata matatizo mengi yamenikuta furaha nyingi...
Ndiyo mahakama inayoongoza kukatisha tamaa, siyo kwa kutotoa haki, hapana.
Court of Appeal ni mabingwa wa kutoa haki. Tabu yao ni kwamba ukiwa na kesi pale lazima uhesabu miaka miwili ndipo usikilizwe.
Matokeo yake baadhi ya majaji Mahakama Kuu (High Court) hulipua maamuzi yao wakitarajia...
Kumekuwa na utaratibu ambao si rafiki sana wa muda ukifika gerezani hapo kwenda kumuona ndugu au jamaa yako mfungwa au mahabusu, kati ya mambo yanayopelekea sanasana uhatibifu wa muda eneo lile kwanza:-
Kuna baadhi ya watu huwa wanapewa masaa mengi zaidi kuonana na kuongea na wapendwa wao mle...
Huu muongozo haulezi wanafunzi watakaaje madarasani na kawaida wanafunzi kubanana ndani ya darasa moja ni hatua gani itachukuliwa kuwalinda wanafunzi hasa upande wa social distance?
Leo Waziri wa Afya ametangaza virusi hatari vya Corona kuwepo nchini mwetu. Mgonjwa mmoja amethibitishwa kwa vipimo vinavyofanywa kwenye maabara moja tu hapa nchini kwetu.
Maana yake kuna uwezekano wa kuwepo wengine wenye virusi hivyo ambao hawajabahatika kufanyiwa vipimo hivyo au ni carriers...
Katibu mkuu wa chama cha wasafirishaji abiria (Taboa) ndugu Mrutu ameiomba Tamisemi kuhakikisha vituoni wanabakia wasafiri tu ili kupunguza msongamano nyakati hizi za majanga ya Corona.
Mrutu amesema hata kwenye vituo vya daladala mfano Makumbusho kuna msongamano mkubwa sana wa watu lakini...
Habari wana jamvi,
Kwa wale wakazi wenzangu wa Mbezi Beach, Kunduchi, Goba na watumiaji wa barabara ya Bagamoyo kwa ujumla
bila shaka Mtakuwa mmekutana na huyu Kamanda wa Jeshi (Chief of Staff) ambaye kuanzia majira ya kila siku Asubuhi 12:30- 1:00 hutugandisha kwenye foleni kwa muda mrefu kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.