msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. E

    JamiiForums Tanzania MSAADA SHERIA ZA BARAZA LA MICHEZO

    Ndugu zangu naomba mwenye sheria za baraza la michezo anisaidie. Namaanisha zinazotumika kusajili na kuendesha vyama vya michezo
  2. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Hii nchi ina matahira wa kutosha. Inakuwaje mtu ajivunie pesa za msaada wa COVID-19?

    Hello! Miaka 2, 3 iliyopita tulipata billions and billions kutoka kwa Wazungu ili tukabiliane na athari za COVID-19. Pesa zile nyingi zilikwenda kwenye elimu. Zilijenga vyoo vya shule na kujenga madarasa mengi hapa nchini. Wachache tuliona ni jambo jema lakini tulitoa kasoro. Inamaana bila...
  3. Ritz

    JamiiForums Tanzania Israel waomba msaada wa kimataifa kwa Israel dhidi ya Iran na Hezbollah

    Wanaukumbi. Hezbollah wanaendelea kushambulia maeneo muhimu ya jeshi ndani ya Israel. 🚨🇱🇧🇮🇱 FM KATZ AWATAKA MSAADA WA KIMATAIFA KWA ISRAEL DHIDI YA IRAN NA HEZBOLLAH Waziri wa mambo ya nje Israel Katz amewaandikia makumi ya mawaziri wa mambo ya nje akitaka kuungwa mkono na hatua za Israel...
  4. Msela Wa Kitaa

    JamiiForums Tanzania Msaada Wa Jinsi Ya Kuwasha Data kwenye simu ya Sony SOV39

    Msaada tutani wakuu nimsaidie jamaa yangu Sehemu ya data ipo on lakini kwenye screen haionekani kuwa on, hata ukiingia mtandaoni hapafunguki
  5. Dr Matola PhD

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kurestore App store

    Wakuu nimepoteza simu ninayotumia sasa nina kimeo cha Oppo A57 imebidi kinistiri kwa muda lakini sioni app store ili niweze kuziupdate apps kama Whattsapp na mimi si mtundu kwenye angle hiyo naomba muongozo.
  6. Bijang

    JamiiForums Tanzania Msaada wa mawazo kwa hili jambo

    Amesimuliwa wife akiniomba ushauri nikaona nami nililete humu nipate msaada wa MAWAZO Kwan JF ni kisima cha maarifa HATUSHINDWII Wife anafanya Kaz kwenye taasisi moja inayoshughulika na watoto, Sasa Kuna mtoto wa kike mmoja kamsimulia yanayomsibu ipo hivi huyo mtoto wa kike tumuite Jane(sio...
  7. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Msaada: Tofauti na Bugando ni hospitali ipi nzuri kwa ajili ya matibabu ya sikio mkoani Mwanza?

    Karibuni wana Rock city mnielekeze.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kiwanda Cha cello plastic kipo Dar sehemu gani

    Habari wakuu nimerudi kwenu kutaka msaada kwa anaejua mahala kilipo kiwanda Cha cello plastic, kipo Dar sehemu gani?
  9. Amaizing Mimi

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Binance

    Bila shaka mu wazima na mnaendelea na majukumu. Moja kwa moja niende kwenye mada,naomba kufahamishwa kuhusu binance. Kwanza binance ni nini? Inafanyaje kazi? Faida zake? Hasara kama zipo. Nimeingia mjini X (twitter)nimeona kuna mdau kauliza ni app gani za kutengeneza pesa ulizonazo kwenye simu...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kwa anayefahamu bei za RAM za pc za dell lattitude anisaidie

    Naomba kufahamishwa bei za ram za dell kwa sababu nataka niongezee pc yangu . Nitashukuru sana wakuu
  11. A

    JamiiForums Tanzania Cyber crime: Msaada wa ushauri wa Kisheria na Hatua za Kuchukua

    Kuna utapeli unaoendelea mitandaoni, unaohusisha baadhi ya watu fungua kurasa/pages/Accounts za Instagram kwa kutumia picha za watu wengine (innocent) huku pages hizo zikiwa na maudhui ya kudhalilisha. Kama kuna yeyote ambaye anaweza kushauri njia nzuri ya kisheria ya kuchukua against watu kama...
  12. John kirua

    JamiiForums Tanzania Msaada: Naombeni ushari kuhusu ujenzi

    Mzee wangu amenipa eneo la kujenga.. Mm ni kijana na mtt wa kwanza miaka 28. Nimepata kazi ya kujitolea katika taasisi ya umma lakini kwenye suala la malipo yanachelewa hata miezi 3 ila wakilipa wanatoa pesa yote ya miez 3 Kuna pesa nilipata nikawekeza kwa bi mkubwa wangu lengo ni nunue...
  13. Melki Wamatukio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Sioni tena umuhimu wa kuishi na kiumbe anayeitwa mwanamke

    Na sio tu mwanamke, bali sioni kabisa umuhimu wa kujihusisha kwenye suala zima linaloitwa ngono, iwe ya aina yoyote ile Mwaka jana nilianza kama masihara hivi, nilikuwa kataa ndoa tena mwanachama kindaki ndaki, baada ya hapo nikasajiliwa kwenye chama cha kataa genye, hapo nikaamua rasmi...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimezindua Ripoti ya Msaada wa Kisheria-2023

    Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) leo, tarehe 20 Agosti 2024, kimezindua Ripoti yake ya Taarifa ya utoaji msaada wa kisheria kwa mwaka 2023. Uzinduzi wa Ripoti hiyo itaambatana na mjadala, ambapo kati ya wazungumzaji ni Dr. Helen Kijo-Bisimba, Dr.Anna Henga ambaye ni Mkurugenzi...
  15. L

    JamiiForums Tanzania MSAADA TAFADHALI

    Wapendwa katika Bwana.amani itawale.ndugu zangu naamini katika Dunia hii hatupo sawa kabisa.na sisi sote ni waja wa mwenyezi Mungu.naamini pia Kuna watu Wana hela kiasi kwamba wao wanachotumia kwa siku Mimi nakitafita mwezi Moja.na huenda nisikipate.ndugu zangu naomba mwenye ana nafasi ya pesa...
  16. kindikinyer leborosier

    JamiiForums Tanzania Ushauri nifanye biashara gani kwa mtaji wa Milioni 3?

    Asalaam wanajamii wenzangu! Mimi ni mhitimu wa chuo, nimehitimu miaka kadhaa iliyopita, kwa hali zetu kwa sasa ni ngumu kupata ajira, nimejipiga sana nikasave sh. Mil 3 kwenye harakati za mtaani! Nawaza kwa mtaji wangu huu nifanye biashara gani? nipo mwanza kaa utafutaji! asante!!
  17. Alfred Daud Pigangoma

    JamiiForums Tanzania Msaada: Maharagwe yanayostawi mwaka mzima.

    Salaam wadau! Nimefanikiwa kukusanya mbegu za maharagwe makubwa yanayostawi mwaka mzima na huwa yanaota kwa kuzunguka kwenye mti (kama ilivyo kwa mazao ya passion) na hutoa maharagwe mengi kila mche wastani wa kilo mbili kwa mvuno mmoja. Naomba mwenye kujua jina lake anihabarishe kwani...
  18. kindikinyer leborosier

    JamiiForums Tanzania Msaada, je Kuna mobile app inayoweza kudetect kifaa kinachorecord sauti?

    Assalam Wana jukwaa, nauliza Kuna application ya simu inayoweza kudetect kifaa kinachorecord sauti maeneo yanayonizunguka. Kwa mfano tupo kwenye mazungumzo, mtu mmoja akawa anarecord sauti kwa kutumia simu, je naweza kuwa na application ya kugundua uwepo wa simu hiyo au kifaa hicho? Shukran!!
  19. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe nimeugua UTI

    Habar wakuu naomba msaada wenu kwa mara yakwanza tangu nizaliwe Leo usiku huu ghafla kichwa kimeniuma sanaaa katikati ya utosi. Nimekimbilia dispensary nimepimwa Sukari Iko 4.7,presha 125/76pr 65, damu14.6, nkakutwa na UTI 25 na typhoid. Je, nauliza UTI huweza sababisha kichwa kuuma hivi...
  20. J

    JamiiForums Tanzania Kadogosa: Nauli ya Treni ya Mchongoko Dar - Dodoma itakuwa tsh 100,000 - 120,000

    Mkurugenzi wa TRC Kadogosa amesema nauli ya Treni ya Mchongoko( Mjusi) itakuwa Kati ya tsh 100,000 - 120,000 Source: Swahili Times Mlale Unono 😃😃 ========= Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema bei za treni za mchongoko zitakuwa Tsh. 100,000 hadi...
Back
Top Bottom