msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyarupala

    Msaada kwenye professional qualifications tunaweka nini?

    Natumai hamjambo! Naomba kujua mimi ni mwalimu kwenye kipengele cha professional qualifications tunaweka vitu gani?
  2. William Mshumbusi

    Kibu Denis mamilion ya Simba yamemchanganya anahiyaji msaada wavushauri nasaha mapema yasimkute ya Mwisho Mwampamba au Idrisa Sultan

    Huwezi kumwekea milion 200 kijana aliyekulia kambi ya wakimbizi bila kumuongoza. Kibu anahitaji washauri kabla ya kuwekewa mzigo kama ilivyo kwa Aziz ki au kijana yoyote kama Feitoto. Wote mnamuita Mama au Baba mnamshauri nini afanye. Madhara ya starehe na kilakitu ndio mnaweka mzigo...
  3. The bump

    Msaada wa Connection Ma Friji ya Kampuni

    Naomba msaada kwa mwenye kujua watu wanao husika na utoaji wa haya mafriji ya vinywajk ya kampuni. COCACOLA PEPSI BEER Nayahitaji kwa hali na Mali naomba msaada ili niweze fungua biashara ninayoitamani kwa kuanza nayo hayo kisha baadae nitaweka yangu binafsi. Kuna wengine wanatoa ma Freezer...
  4. Mwafrika mmoja

    Msaada kuhusu NSSF

    Habarini wakuu, niko hapa kuomba msaada kwa yoyote ambaye ana mtu anamfahamu anafanya kazi NSSF anaweza kuniunganisha naye. Nina maswali mengi nataka kufahamu kabla sijaanza kufuatilia pesa zangu, yeye atakuwa ananisaidia kwenye kila hatua hadi mwisho. Nawasilisha
  5. R

    Msaada wa kimawazo

    Habari yako mwana jf Baba yangu alibahatika kuwa na mali nyingi sana na kwetu tumezaliwa wachache watu wa nne tu, Sasa mzee ili kuondoka utata ameamua kugawa mali ingali yupo hai Mimi nimepata mgao wa nyumba ya kuishi pamoja na kiasi kama million 50 Kwa upane wa elimu nina degree ya...
  6. B

    Msaada nyimbo za caribean

    Kama kuna member anaweza nisaidia kupata nyimbo za soca rhumba calypso zilizovuma enzi za miaka ya 1980 naomba msaada
  7. Kisesetusese

    Msaada wenu PSRS

    Mimi nimeomba ajira lkn nashangaa nimeappy somo moja mkoa mmoja.. Zote zinanionesha nishaapply wakati nimeomba moja tu Physics inaniambia nimesha apply wakt nimeomba sehem moja..hata somo la pili sijaomba
  8. Mjanja M1

    Msaada: Alitembea na Mkwe mtarajiwa

  9. Burapaa

    Msaada: Kati ya kozi hizi, nikasome kozi gani?

    Waungwana naombeni ushauri mimi ni muhitimu wa diploma ya Business administration . Nlishindwa kuendelea pindi tu nlivyomaliza kwasababu ya changamoto za matokeo (Nacte) nina mpango wa kufanya application ya kusoma Bachelor degree katika vyuo vifuatavyo: 1. Bachelor degree in Banking and...
  10. kinda la baba

    Msaada: Nimepata changamoto ya Kupata Mkopo kutoka Benki ya NMB

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, kwanza mimi sio muandishi mzuri, mtanisamehe kwa uandishi wangu. Tatizo lipo mwezi uliopita nilichukua mkopo kwenye Benki ya NMB kutokana na matatizo niliokuwa nayo. Baada ya mwezi mmoja, nikarudisha deni lote. Baada ya hapo, nilitaka kuchukua...
  11. Mariam Aliko

    Naomba msaada wa mawazo yenu mimi niko mwanza nina mtaji wa Mil 2

    Habari wapendwa naomba msaada wa mawazo yenu mimi niko mwanza nina mtaji wa Mil 2 sijui nifungue biashara gan kwa huu mtaji wangu mawazo yenu wadau
  12. frank mkweli

    Wanasheria masuala ya kazi msaada tafadhali

    Habari wakuu vipi wazima? Mimi mzima nina swali naomba nikuulize. Hivi kuna Sheria ya kumshitaki mwajiri kama alikuwa haweki hela za NSSF na loan board ukamshitaki, na lingine kama bima yangu haifanyi kazi. Natakiwa nifanye nini na pia zile hela za helsb ambazo zimekatwa kwangu hazijaenda...
  13. B

    Msaada nifanye biashara gani?

    Habari mimi ni muajiriwa wa sekta binafsi na natamani nipate msaada wa wazo la kibiashara litakalonikwamua na kunitoa kwenye kuajiriwa.. Wazo langu nilitamani nifanye house floor plan na kuziuza hizo ramani kwa watu tafadhari mwenyew idea na uelewa wa hii biashara naomba ushauri nitatoka? Na...
  14. chibe dayo

    Msaada bei ya vitunguu

    Habari wana jamvi Naomba kuuliza bei ya vitunguu kutoka shambani napatikana mkoa wa Arusha. Ahsante
  15. KUKU_UFUGAJI

    Huu ugonjwa wa Gastritis sasa unanitesa mno

    Habarini wapendwa, bila kupoteza muda, naomba niende kwenye mada moja kwa moja. Mwaka jana mwezi wa 2, nilienda hospitali ya Regency sababu nilikuwa nina sumbuliwa sana na tumbo. Niliishiwa nguvu, mikono na miguu kufa ganzi, kuhisi kiwewe au kuchanganyikiwa, kichefuchefu, kuchoka sana, na kuhisi...
  16. MKANDAHARI

    Naombeni msaada wa mawazo

    Amemaliza form 4 na kapasi vizuri tu ana one, ni Ke. Anataka kwenda diploma kwenye kozi ya sekta ya afya. Anaomba ushauri wa kozi gani nzuri kati ya hizi Ordinary Diploma in clinical medicine Ordinary Diploma in Pharmaceutical sciences Ordinary Diploma in medical laboratory sciences Ordinary...
  17. T

    Msaada wakuu, Chuo kizuri kozi za afya ngazi ya diploma

    Habari Wakuu, Naombeni mnisaidie ni chuo gani kizuri cha private ngazi ya diploma kwa fani ya nursing na clinical medicine ambacho kina hostel za bei rahisi au hostel za bure? Chuo kisiwe kanda ya ziwa wala kusini mwa Tanzania. Naombeni msaada pls!
  18. jitwangabalogi

    Msaada, natafuta kazi yoyote halali

    Kwema ndugu zangu, mwenye connection ya kazi yeyote hata ya mda mfupi naomba anisaidie! Elimu, Diploma (education) Makazi, Dar es Salaam Tel no, 0748786954 Shukran!
  19. Scared

    Naombeni msaada wa maoni yenu

    Kwa anaejua je supu Kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo ni sawa au itamletea madhara naombeni mnifahamisge wanajamvi.
  20. Bukayo Saka

    Msaada wa utofauti wa lactogen

    Habari wana jukwaa ; Naomba msaada wa wataalamu na wazoefu , nina mtoto anaetumia maziwa ya lactogen ila leo nimeenda kununua muuzaji akanambia number 1 iko ya Kenya na kuna ya South Africa. Ya kenya anauza 35,000 na ya SA anauza 26,000. Nimesoma makopo kila kitu kipo sawa kwa upande wangu...
Back
Top Bottom