msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Msaada wenu wakuu

    Wakuu naombeni msaada wenu kuna kiwanja niliachiwa na baba yangu miaka ya nyuma kipo Tanga wilaya ya Lushoto nahitaji kuuza hilo eneo sasa kwa bahatimbaya hatimiliki Sina sasa nawezaje kuuza naombeni ushauri
  2. K

    Nimepoteza case ya Oraimo Freepod 4..mwenye case anaye uza msaada tafadhali..

    Pods ninazo ila case ndo imepotea. Nipo Mwanza. Kwa ambaye anayo case tutafutane tafadhali.
  3. Uwesutanzania

    Manguli wa mapenzi msaada wa haraka unahitajika kwangu naomba njooni mnisaidie

    Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mfupi mweusi mnene kidogo wa wastani,. Changamoto yangu ambayo ninahitaji msaada wenu ni kuwa, Nina wapenzi wawili ambao wate kwa pamoja wanaonyesha kunipenda sana, wananipenda mpaka nimekuwa nashindwa kuelewa niingie na yupi kwenye ndoa na wote wanahitaji...
  4. John kirua

    Msaada: Ugonjwa huu unaitwaje? Unatibika kwa dawa gan?

    Mtoto anaumwa kama ivyo ni ugonjwa gani na unatika kwa dawa gan?
  5. P

    Msaada tutani wataalam wa IT

    Mwenye uelewa naomba msaada kwenye simu yangu kuna wakati naona Ina anatoa ujumbe huu"sms sent" wakati huo sijaandika wala kutuma sms yoyote na hiyo sms siioni zaidi ya huo ujumbe. Nimejaribu kuzuia pamission zote za App ya kuwa na uwezo wa ku access simu yangu lakini bado sms hiyo inajitokea...
  6. Kaka Kapo

    Msaada: Fundi wa Smart Watch.

    Wasalaam Jamani. Nina saa yangu Huawei Smart Watch GT2e imeingia maji inamissbehave naomba anayefahamu fundi wa aina hii ya saa anielekeze.. Asanteni
  7. kavulata

    Simba inahitaji msaada wa kuambiwa ukweli, wataacha 5 dirisha dogo

    Kuwaambia kuwa walicheza vizuri dhidi ya Yanga ni kuendelea kuwadanganya. Walistahili kufungwa 4 kama Kila kitu kingekwenda vizuri. Kama Kapomne, Zimbwe na mzamiru bado wanapata namba Simba kwenye mechi ngumu kama Ile ya derby ujue kuwa waliosajiliwa ni wabovu zaidi, dirisha dogo wataachwa...
  8. rajiih

    Msaada: Hivi U.T.I inatibika?

    Habari wana Jf poleni na majukumu ya kazi. Naomba niende kwenye Maada yangu direct. Kwa kitambo Sasa nmekuwa muhanga wa Ugonjwa huu ninao uona ni wa Ajabu kwangu.., Mwanzo wa mwaka huu nilipata Homa Kali sana kiasi nilikaa ndani takribani week zaidi bila kwenda Kazini na wakati huu nilipoenda...
  9. L

    Nchi 10 bora Zinazoongoza kwa Kutegemea Misaada ya Kigeni Dunia

    1. Afghanistan Msaada: Kulingana na ripoti za Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Afghanistan inategemea msaada wa kigeni kwa zaidi ya asilimia 70 ya bajeti yake ya maendeleo (UNDP, 2021). Hali ya usalama duni na migogoro inaendelea kuathiri utegemezi huu. 2. Haiti Msaada...
  10. Zee la madawa

    Niko njia panda msaada

    NJIAPANDA: Mke wangu alileta mchepuko wake kwangu wiki mbili wakitafuta mtoto, sasa anakaribia kujifungua! Sina kawaida ya kushika simu ya mke wangu kwani nilikuwa namuamini kiasi kwamba sijawahi hata kufikiria kama atakuja kunisaliti. Nimeoa na ndoa yangu ina miaka 3 sasa, na Mungu ametujalia...
  11. Y

    Nina Uhitaji na mashine hii,naomba msaada.

    Nina Uhitaji wa mashine hii. Nina uhitaji wa mashine ya kusagia vitu vigumu (Multpurpose grain grinders.Ikipatikana used au mpya nitachukua. Nina uhitaji wa mashine hii yenye kuzaga kilo 2,3 hadi 5. Mawasiliano yangu, 0621436829 Dsm
  12. G

    Nahitaji msaada wenu haraka sana, Ni kampuni gani nzuri ya kubeti simba vs Yanga mechi ya leo kwa matokeo ya ataeshinda

    habari zenu wazee wa kuweka mizigo Nataka nibeti nusu fainali ya leo Yanga vs Simba, timu itayofuzu kucheza fainali nichague option ipi na kampuni ipi nzuri ? nipo karibu na jengo la gal sports betting, niliwahi kufungua account ya meridian bet na sporty bet
  13. Ustadh tongwe

    Msaada nnataka kusoma online university vya nje nahitaji kujua jinsi ya kutambua vyuo vinavyotambulika

    Habari zenu wataalamu wa IT shida yangu km nilivyoandika hapo kwenye heading msaada please sihitaji cheti Mimi nnataka ujuzi wa IT ethical hacker nna diploma ya ict
  14. R

    Naomba msaada kuhusu uwekezaji wangu katika mfuko wa Ukwasi wa UTT

    Nimewekeza jana kwenye mfuko wa ukwasi ( liquid fund) nimeweka milion 7 hasa leo nimeangalia salio hapa inanionesha hivi naombeni msaada kwa wazoefu. Mimi nilikuwa nafikiri nitaikuta hela yangu yote na maongezeko kidogo, naombeni msaada wa elimu kidogo kwa wazoefu mbona haioneshi hela yangu...
  15. D

    Msaada: Kibaka/bodaboda ameniibia simu yangu asubuhi hii

    Nilikuwa pale mnazi mmoja(Dar) nikawa narequest Bolt ili niwahi mzigoni, bodaboda akapita kama mshale akapokonya simu. Inaonekana alishaona kuwa pale karibu hamna bodaboda mwingine amesimama muda ule ndio maana hata nikashindwa kumkimbiza, watu waliokuwa arround waliona ila hawakuwa na msaada...
  16. B

    KERO Ajira Portal wapo kweli ofisini? Dawati la msaada ambalo halisaidii kitu

    Habari wana JF, kumekuwa na malalamiko ya watu wengi sana kuhusu system ya ajira portal na hata pale unapokuwa na changamoto fulani na kuhitaji msaada kutoka kwao kupitia "help desk" numbers imekuwa changamoto kuwapata. Utapiga simu muda wote zinatumika, labda wanakuwa very busy kuwahudumia...
  17. S

    Msaada namna ya kutatua changamoto hapo kwenye circuit breaker

    Hello habari! Naomba msaada hapo kwenye hiyo circuit breaker maana umeme umepata hitilafu kidogo ukajizima.
  18. Trayvess Daniel

    Msaada uzoefu wa watumiaji wa unlimited Internet ya Airtel Mwanza mjini

    Kama kichwa kinavyojieleza, nimekua mtumiaji wa voda unlimited kifurushi cha 115K miaka miwili sasa, lakini huu mwaka kimekua na usumbufu wa hali ya juu as if ni msaada..... Nataka nihame chimbo, option pekee ni airtel, TTCL wameniwekea mkwamo, tigo nilipo ni mtihani mkubwa...... Kama unatumia...
  19. IBRA wa PILI

    Msaada wakuu

    Ni hivi nna mwezi Natumia samsung hapa alinipa bro, ila nimegundua hii simu ali root baada ya ku downlod app ya halopes na mpes sasa natak niondoe je nikiondoa hiz file nilizo nazo zitafutika? Mfano nyimbo, pc n.k. ni hilo tu Chief-Mkwawa
  20. Han Solo

    Msaada TV ya LG

    Siku za nyuma nilinunua Smart TV ya LG yenye ukubwa wa inch 55 model number 55SM90. Katika Katika kui unbox nikabandua karatasi la plastiki lililokuwa kwenye kioo nikidhani ni yale makaratasi kama kwenye simu kumbe ni sehemu ya kioo, nimeshtuka nimeshabandua mpaka katikati nikawasha TV nusu...
Back
Top Bottom