Huwa natatizwa sana. Unakuta mtu ana kila kitu nyumbani. Kama ni pombe aina zote zipo. Kama ni chakula kila kitu kipo, nyama za kila aina mpaka za porini.
Kama ni nguo, ndio usiseme kabisa, maana kuna mashati hayajavaliwa sasa huu mwaka wa pili. Usafiri ndio usiseme kabisa. Gari tatu zote full...