Caroline Nassoro
Vyombo vingi vya habari vya nchi za Magharibi pamoja na baadhi ya wanasiasa katika nchi hizo wanadai kuwa, China inaibebesha Afrika mzigo wa madeni, na kwamba inaendeleza ukoloni mamboleo kwa nchi hizo.
Tukiangalia kwa undani, uhusiano wa China na nchi za Afrika ni wa...