The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 4,993
- 8,077
Habarini za wakati!
Basi niende kwenye ombi langu, ninaomba kujua kuhusu viatu vya spesho vya wanawake na watoto wadogo husani zile simple tu.
Nahitaji kujua bei zake kwa anaye chukua kwa cartons tu ambapo yeye atauza jumla kwa wale wauza reja reja, natamani nijue bei za hivyo viatu na maduka yanayouza cheap kwa dar ingawa nipo mkoani, mwenye taarifa zaidi tafadhali atoe msaada wa bei na wanapo uza cheap.
Lengo langu ni kuuzia wafanyabiashara jumla wao wauze rejareja uhakika wa masoko upo na uhitaji upo.
Msaada huu utasaidia na wengine.
Idea yangu ni kuuza jumla tu hata faida iwe ndogo wakuu.
Pia makava ya simu na vioo ni idea nyingine nataka ninunue kwa madealers niuze jumla pia wateja wapo.
Najua wengi watasema mtaji kwao ni changamoto mi nataka niaze from scratch, yaani hii ngoma nauza jumla nikiwa sina shola, lakini wateja wangu nawasambazia sample wananiambia leta mzigo. Room yangu store yangu, usimuambie mtu sasa hii ni siri nawapa🤪
Basi niende kwenye ombi langu, ninaomba kujua kuhusu viatu vya spesho vya wanawake na watoto wadogo husani zile simple tu.
Nahitaji kujua bei zake kwa anaye chukua kwa cartons tu ambapo yeye atauza jumla kwa wale wauza reja reja, natamani nijue bei za hivyo viatu na maduka yanayouza cheap kwa dar ingawa nipo mkoani, mwenye taarifa zaidi tafadhali atoe msaada wa bei na wanapo uza cheap.
Lengo langu ni kuuzia wafanyabiashara jumla wao wauze rejareja uhakika wa masoko upo na uhitaji upo.
Msaada huu utasaidia na wengine.
Idea yangu ni kuuza jumla tu hata faida iwe ndogo wakuu.
Pia makava ya simu na vioo ni idea nyingine nataka ninunue kwa madealers niuze jumla pia wateja wapo.
Najua wengi watasema mtaji kwao ni changamoto mi nataka niaze from scratch, yaani hii ngoma nauza jumla nikiwa sina shola, lakini wateja wangu nawasambazia sample wananiambia leta mzigo. Room yangu store yangu, usimuambie mtu sasa hii ni siri nawapa🤪