mpya

  1. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Ina maana aliwadanganya Watanzania kuwa ndani ya siku 100 suala la katiba mpya litaanza kushughuliliwa? Alikuwa na wenge baada ya matukio ya Oktoba 29

    Ahadi ni deni. Tena ahadi inayohusu masuala ya msingi ya kitaifa. Taifa linahitaji katiba mpya. Alitambumbua kabisa moja ya sababu zilizosababisha vurugu ni wananchi kutaka katiba mpya. Sasa hiyo ahadi imeyeyuka mithiri ya barafu. Siku 100 zimekuwa siku 4000.
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira Mpya Tandahimba: Hatujapata Fedha za kujikimu

    Halmashauri ya Wilaya Tandahimba Ajira Mpya wengi wetu hatujapewa fedha zetu za kujikimu tangu tu report kazini Mwezi January 2026. Tunapouliza jibu huwa ni moja kuwa “Tunalishughulikia” bila matokeo yeyote.
  3. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Tunaomba LATRA kutoa rasmi waraka wa nauli mpya ili Waajiri wafanye mabadiliko katika malipo ya Watumishi

    Kumekuwa na ongezeko la nauli za mabasi ya mikoani katika miaka ya hivi karibuni, lakini hadi sasa LATRA haijaweka hadharani waraka au PDF mpya ya viwango vya nauli. Hati inayopatikana kwa urahisi ni ile ya mwaka 2023. Kutokana na hali hiyo, waajiri wengi wanaendelea kutumia viwango vya nauli...
  4. F

    JamiiForums Tanzania Rs mpya za Samia

    Recklessness, Revulsion, Reticence, and Reasonless.
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ushirikiano wa ICT Tanzania-Urusi: Fursa Mpya

    Sekta ya teknolojia ya habari na mawasiliano Tanzania inakua kwa kasi ya ajabu. Uwekezaji wa Kirusi katika miundombinu ya kidijitali, setilaiti na mawasiliano unaweza kusaidia Tanzania kuharakisha mabadiliko yake ya kidijitali. Hii inafungua fursa mpya za biashara ya kidijitali kati ya nchi hizi...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira Mpya 2026 USHETU DC hali ni tete. Hatujapewa PESA ZA KUJIKIMU

    Mkeka wa ajira ulitoka Januari 19 mwaka 2026. Hadi kufikia februari 10 mwaka huu waajiriwa wapya wote walikuwa wameripoti kazini. Halmashauri ya Ushetu mpaka sasa haijalipa posho ya kujikimu kwa kada zote na kumekuwa na taarifa mbalimbali kuhusu hilo. Jibu la awali lilikuwa kwamba pesa...
  7. bless on

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sheria Mpya EU: Betri za Simu Zibadilishwe na mtumiaji.

    Kuanzia mwaka 2027, Ulaya inashinikiza watengenezaji wa simu na kompyuta mpakato (tablets) kubuni vifaa vyenye betri ambazo watumiaji wanaweza kuzibadilisha kwa urahisi zaidi. Kanuni hii ni sehemu ya juhudi pana zaidi za kufanya vifaa vya kielektroniki vidumu kwa muda mrefu na kupunguza taka...
  8. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Roman Gofman awa kiongozi mpya wa Mossad!!! Iran wajipange!!

    Roman Gofman anakuwa mkuu mpya wa Mossad; katika sherehe, Netanyahu asema Israeli 'itasaidia' utawala wa Iran kuanguka Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu asema utawala wa Iran "umekusudiwa kupita" na anaapa kwamba Israeli itaisaidia kufanya hivyo, huku akizungumza katika sherehe ya kumkaribisha...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira Mpya Halmashauri ya Itigi tunafanya kazi Mazingira Magumu

    Tumeajiriwa toka Januari 2026 wenzetu wachache wamepata mshahara wa Januari na Februari wengine malipo yetu bila ya sababu za msingi hatujapata chochote hadi sasa hivi. Wengine wetu walijitolea kufanya kazi toka muda huo hadi sasa lakini mazingira yamekuwa magumu. Halmashauri hakuna jibu la...
  10. gonya

    JamiiForums Tanzania DATA SCIENCE: NGUZO MPYA YA MAENDELEO YA KIUCHUMI TANZANIA NA DUNIANI

    Katika karne ya 21, dunia imeingia katika enzi mpya ya kidijitali ambapo kila kitu kinategemea taarifa (data). Kila unapotumia simu yako, kufanya malipo ya kidijitali, kuvinjari mitandao ya kijamii, au hata kutazama video mtandaoni, unazalisha data. Data hii, ikiwa itachambuliwa vizuri, inaweza...
  11. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Magari ya Toyota generation mpya mpya zinafanana sana kimuonekano. Unaweza usijue ni model gani ukiona picha kwa mbele

    Kama umefuatilia, generations mpya za Toyota kuanzia 2023 kuja mbele zimekua kama zinashare design language moja kwa mbele. Mfano: Toyota Crown 2025 Lexus ES 350h 2025 Camry 2025 Prius 2025 Ata ukicheki baadhi ya crossovers/SUV kama nazo kwa mbele zinafanana design. Angalia mifano...
  12. MRWINNER

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwanachama mpya, naomba mnipokee

    Habari wana JamiiForums, mimi ni mwananchama mpya naomba mnipokee
  13. R

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi Jacob Oboth-Oboth aapishwa kuwa Spika wa Bunge Uganda

    Aliyekuwa waziri wa ulinzi wa Uganda Jacob Oboth-Oboth ameapishwa kuwa spika wa Bunge la 12 la nchi hiyo. Oboth aliteuliwa na chama tawala cha NRM, kuwania nafasi ya spika iliyokuwa na wagombea watatu na alipata kura nyingi kati ya kura 519 za wabunge waliopiga kura. Anachukua nafasi hiyo...
  14. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Ni wakati gani hasa utakua muafaka zaidi kwa Joseph Selasini kuanza kupewa heshima na kutambuliwa kama mwenyekiti mpya wa Chadema Taifa?

    Tusibiri vikao vya Chama vya kumsimika rasmi au tusibiri mapinduzi tukufu halafu tukutane mahakamani? Kuna haja ya kukumbushana kidogo juu ya katiba ya chadema kuhusu nafasi ya mwenyekiti wa taifa au baada ya nafasi kujazwa? haiwezekani mtu awekeze pesa, muda wake meingi na maisha yake yote...
  15. The ghost writer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Behind the Beat: Jinsi G-Funk Ilivyozaliwa Katika Wimbo Wangu.

    " I say it " ni ngoma niliyoitengeneza kwa msaada wa google Gemini kwa upande wa beat. But mashairi na ,lyrics its all about me made it. Mwanzo wa utengenezaji wa beat nilianza na hizi code. "Uh uh uh uh uh uh uumh Uh uh uh uh uh' u' umh Uh uh uh uh uh uh uumh" start with my mouth Kick- "uh"...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira Mpya Wilaya ya Chemba (Afya) tuna mwaka hatujapewa pesa ya kujikimu na hali ya maisha inazidi kuwa ngumu

    Ajira mpya wilaya ya chemba afya tuna mwaka sasa hatujapewa pesa ya kujikimu na hali ya maisha inazidi kuwa ngumu
  17. ngara23

    JamiiForums Tanzania Pori la Mbweni ndo jehanamu mpya?

    Pori la Mbweni na Ununio ambayo ni sehemu Moja kijiogrofia au yanapakana yameukuwa tishio Kwa maisha ya watu Mfano 1. Mzee Ali Kibao alitekwa na baadae mwili wake ukakutwa umetupwa kwenye pori hili 2. Makaburi ya halaiki CNN ilihabarisha ulimwengu kuwepo Kwa makaburi ya halaiki kutokana na...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya si mali ya Chama chochote cha Siasa bali ni mali ya Wananchi

    Ambagile anasema kuwa anaona itakuwa ngumu sana kupata katiba mpya kwa sababu anaona vyama vya siasa vimeanza kugombea agenda kuwa hiyo agenda ya Katiba ni ya chama fulani, anasema Katiba mpya ni ya Watanzania na Si ya CCM, CHADEMA, Waislam, Wakristo, Simba au Yanga. Anasema ni kama tunaanza...
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Madai ya Ajira Mpya VETA walioitwa Dodoma ‘kutelekezwa’, VETA yasema “Wanaandaliwa mafunzo elekezi 21-22 Mei 2026”

    Baada ya andiko lililowekwa na Mdau kupitia Fichua Uovu ndani ya JamiiForums.com, alipoandika “Watu 178 tulipata ajira VETA, tukaenda kuripoti Dodoma, ni mwezi wa tatu huu hatujapangiwa kituo, wametusahau?” Meneja Uhusiano kwa Umma na Masoko wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi...
  20. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raisi Mpya wa Botswana: Kama umeshawahi kuiba mali ya Serikali anza kukimbia sasa hivi

    Rais Duma Gideon Boko wa Botswana ametoa onyo kali kwa watu wanaotuhumiwa kufuja rasilimali za umma, akitangaza kuwa serikali yake itafuatilia urejeshaji wa fedha zilizoibiwa bila kujali ni lini wizi huo unaodaiwa ulitokea. "Ikiwa umewahi kuiba kutoka kwa serikali, anza kukimbia sasa hivi!"...
Back
Top Bottom