mpenzi

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu amepoteza mvuto

    Heshima kwenu washikadau Nina mpenzi wangu ambae tupo kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka mmoja na nusu, huyu binti wakati naanza nae mahusiano alikua na mwili ambao ni standard lakini kwa siku za hivi karibuni amekua tukunyema sababu ya kupenda kufakamia misosi. Yani huwa haipiti siku bila...
  2. John Gregory

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri unahitajika, mpenzi wangu anawasiliana na wanaume wengine

    Habarini wandugu Kabla ya yote naomba nitangulize shukrani zangu kwa ukarimu upendo na undugu uliopo baina yetu japo wengi wetu hatufahamiani lakini tumekuwa tukisaidiana hususan kwa ushauri mzuri. Moja kwa moja niende kwenye kile kilichonileta hapa, nimekuwa nikiishi na mpenzi wangu ambaye...
  3. Chris wood

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chunga sana rafiki yako akipata nafasi atatembea na shemeji yake

    Usishangae sana sii kwa ubaya huyo huyo best friend wako wa damu damu, ambae muda mwingi unapoteza nae, huyo huyo ambae shida zako nyingi anakusaidia kutatua kwa moyo wake wote. Huyo huyo ambae ukibahatika kupata pisi kali au danga unakuwa wa kwanza kumpelekea umbea .Huyo huyo ambae ambae...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Yanga hii bado sana kiushindani

    Mimi ni mpenzi wa Yanga lakini msema ukweli ni mpenzi wa Mungu. Mchezo waliouonyesha Yanga dhidi ya Mwadui imeonyesha kwa kweli Yanga bado sana. Naishauri Klabu ya Yanga isajili wachezaji wenye viwango kama Simba. Yanga sasa wamepangwa kukutana na Biashara united ya Mara kwenye Kombe la FA...
  5. tompoo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najilazimisha kumpenda lakini moyo unagoma. Je, ni sahihi kumwambia ukweli?

    Habari ya asubuh wakulungwa? Natumai mnaendelea vema na ujenzi wa taifa...!! Niende kwenye mada sasa, iko wazi kwamba neno mapenzi lina tafsiri ndefu sana viumbe wenzangu na haipingwi. Sasa bhana kuna manzi mmoja tupo kwenye mahusiano na nilimpiga sound mimi mwenywe lakini bad lucky n kwamba...
  6. Slowly

    JamiiForums Tanzania Rayvanny ampost mpenzi wake Paula wa Kajala wakila bata

    Wakati sintofahamu ya uanafunzi wa mtoto mzur Paula bado ikiwa imepamba Moto , nyota wa Bongo Fleva anayeikamatilia YouTube. Kwa sasa Rayvanny mnyakyusa kupitia ukurasa wake wa Instagram amempost mpenzi wake huyo wakila bata maeneo ya watu wazito ....
  7. Linguistic

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nachukia sana mwanamke ambaye umekaa naye mahali akiwa amefunika simu yake

    Jamani Kuliko kuendelea kuficha simu yako wakati ukiwa na bae wako, kwanini usidate na huyo anaekufanya unaficha simu yako?
  8. Mtu Kwao

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna maumivu ya kuachwa, lakini pia kuna maumivu ya kuachwa bila kula tunda

    Wakuu salam! Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Kiukweli unapoachwa na mtu uliekuwa unampenda sana maumivu yake ni makali mnoo. Lakini pia kuna maumivu yale umeachwa halafu hukuwahi kula tunda na ulikuwa unahudumia kila kitu. Ila kwenye swala la kula tunda bado ulikuwa unazungushwa mpaka...
  9. Binadamu Mtakatifu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu hana majibu mazuri, nimeamua kuachana naye

    Yaaan naandika huu uzi huku niki fikiria hawa viumbe sijui wakoje kwa kweli wanawake hawanifikirii mara mbili mbili midomo yao ndio inawaomgoza. Yaan kuna dem alionesha kuvutiwa na mimi nikasema sio mbaya wacha nimtokee maaan mimi sio mtu wa totoz saan kweli mambo yakatiki ni mwaka sasa ila...
  10. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu anaficha meseji kwenye simu yake, nahisi anawasiliana na wanaume wengine

    .
  11. j_h_kirigini

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wanashindwa kufanya haya matano?

    1. Lala nae (muhimu kuliko yote) 2. Mlishe ashibe 3. Muheshimu 4. Mwache awe na amani 5. Usimuingilie katika mambo yake. Ni ajabu sana wanawake hawawezi kuyafanya haya matano kwa waume zao, ni kwanini?
  12. U

    JamiiForums Tanzania Huyu Mwamba Naona Sasa Ameamua Kuwa Mpenzi wa Klabu ya Chelsea

    Sura maarufu sana na iliyozoeleka Nimeikuta hiyo picha sehemu nikaona itapendeza nikiwaletea na nyie muione japo sina uhakika na usahihi wa sura na hiyo jezi Naambiwa huyu mwamba kumbe asili yake ni Mahuta Newala Mkoani Mtwara
  13. kidawisee

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuchunguza simu ya mpenzi wangu mwisho ilikuwa 2017, siwezi na sirudii

    Nakumbuka nilikuwa sina sana iyo tabia kiivo na ilipelekea kila mmoja wetu kutokuwa na password katika Simu. Iyo siku shetani alipitia na ndio uhusiano wangu ulivunjika ambao nliuamini ntazeeka nao, Tulitoka kuzika sasa si unajua ukifiwa pole nyingi na unakuwa bize kuzijibu, Tukafika home...
  14. SEASON 5

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukosea meseji ya kwenda kwa mchepuko ikaenda kwa mpenzi wako/mke wako? Ulifanyaje?

    Umeshawahi kujikuta unatamani kuvunja simu au kupotea duniani kwa dk kadhaa ukirudi duniani ukute ilikua n ndoto si kweli? basi mimi ilishawahi nitokea siku 1 nilichepuka nikadakwa na mpenzi wangu tukaongea yakaisha nikamuomba msamaha akaelewa. Baada ya siku 1 tu ugomvi hata haujasahaulika...
  15. kyagata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu kanipa ultimatum kuwa nisipomuoa mwaka huu, atachukua maamuzi magumu

    Habari za leo watanzania wenzangu? Nimeshangaa tu jana usiku mpenzi wangu from nowhere kanitumia ujumbe kwenye simu kuwa, mwaka huu ukiisha kama sijamuoa, basi yeye atafanya maamuzi magumu na nisimlaumu kwa lolote. Hapa nawaza, huyu ni kwamba sasa hivi ana mtu mwingine ndio maana ananipa hii...
  16. Mboka man

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kutumia nguvu kumuonesha mpenzi unampenda sana lakini yeye hata ajali?

    Kuna msemao mpende akupendae asiyekupenda achana naye Je, ulishawahi kutumia nguvu na bidii kumuonesha mpenzi wako unampenda sana na unamjali sana lakini yeye akawa hana habari na wewe?
  17. Deejay nasmile

    JamiiForums Tanzania Mmekutana baa na ex wako..je utamshukuru dj kwa wimbo gani

    Imetokea tu..mmekutana baa Wewe meza hii na yeye meza ya pembeni...dj akipiga wimbo gan utamshukuru sana..tena ikiwezekana utaimba kwa sauti/au kucheza kwa madoido
  18. sassy girl

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nifanye nini niweze kumsahau mpenzi wangu tuliyeachana?

    Wapendwa naombeni sijui ushauri au sijui niseme faraja mana hata sielewi mimi ni mdada umri 27 mwaka jana December nilifungua mtandao unaitwa Badoo huko ili nipate marafiki wa kuniliwa kama vile kuchat ikibidi kuonana sikuuchulia seriously Sana'a kwakuwa watu wengi niliobahatika kuchat nao...
  19. the numb 1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo

    Ndugu zangu kwa miaka ya sasa hivi ukihitaj mwanamke wa maisha(future) hakikisha inakupasa umshirikishe Mola wako. Kwasababu sikuhizi wanawake wengi wameharibika wengi wanafanywa kinyume na maumbile mwanamke ameshakaa geto na mchizi zaidi ya mwezi magetoni jamaa anajilia vyombo na nyumbani kwao...
  20. Mboka man

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mara ya mwisho mpenzi wako kukutamkia anakupenda lini?

    Upande wangu Mimi miezi tangu miwili iliyopita hadi Leo sijamsikia mpenzi wangu akinitamkia ananipenda wala kuniita darling Bby love zaidi zaidi ya kuniiita jina langu sijui kwanini? Je, wewe Mara ya mwisho mpenzi wako kukutamkia anakupenda ilikuwa lini?
Back
Top Bottom