g vizy
JF-Expert Member
- Jan 5, 2016
- 896
- 977
Unapokuwa na mwenza mwenye tabia ya kuchukia chukia kila wakati yaani jambo dogo ameshakasirika wakati mwingine ni jambo la kawaida tu lakini yeye amechukia/amenuna hataki umsemeshe kuvimba yaani ni taflani.
Na sio mara moja yaani mara kwa mara tabia hiyo amekua nayo mpaka kuna wakati ladha ya maisha inapotea kabisa yaani ndani hakuna amani.
Nyie wenzangu mnavumilia vipi hii hali binafsi kwangu naona ni kama mateso kusema kweli.
Na sio mara moja yaani mara kwa mara tabia hiyo amekua nayo mpaka kuna wakati ladha ya maisha inapotea kabisa yaani ndani hakuna amani.
Nyie wenzangu mnavumilia vipi hii hali binafsi kwangu naona ni kama mateso kusema kweli.