Kijana wa miaka 29 sina kazi, sina mpenzi ila ninaishi

Kimasikhara

Member
Feb 9, 2021
27
149
Kijana mwenzangu kama title thread ilivyo jinsia ni mwanaume 29 years old, Graduate. Sina kazi rasmi zaidi ya mishe za hapa na pale, wala sina mpenzi ni jukumu ambalo siwezi kulimudu kwa sasa.

Ratiba yangu kwa siku nikuamka na kushukuru Mungu kwa uhai, kwenda kuzurura huko duniani angalau nipate vocha na kula, usiku narudi nyumbani, mzunguko unajirudia.

Kwa kijana mwenzangu ambae upo kama mimi najua mshale umesogea na mishe hazijakaa poa inauma sana, ila ngoja nikuambie kitu "You are never late in success, although kama ukifanikiwa mapema ni bora zaidi". Jua kitu gani cha kukupa furaha mfano mpira (Kama ni shabiki wa Yanga na Arsenal pole). Kama ikiwezekana achana na issue za mahusiano hii itakupunguzia unnecessary stress. Hitimisho usijione na failure wala kuwaza kujiua haupo pekee katika hii hali tupo wengi sana.

"Tobo lipo mbali ila amini utaona mwanga"​
 
Mfumo wa elimu mbovu,mda mwingi unasoma unakuja kumaliza chuo 29yrs kazi huna .
Yule aliyeacha shule drs5 ndo anakupa hela ya k vant ,na anakula pisi kali kitaa.sasa ndo uombe ayo makaratasi yanayoitwa degree yawe hela.so sad mkuu
Ni balaa na nusu ni lazima tukubaliane na hali sisi kwa sisi tupeane moyo hasa vijana wa kiume tunapitia mengi sana. Kuna wana wengi wamekata tamaa wengine washakua walevi kupindukia na wengine wanajiua kabisa.
 
Pole sana ila kwa style ya maisha yalivyo unatakiwa kuwa na option kadhaaa, Oa mtie mimba upate mtoto, yaani kila siku ukimuangalia dogo unapata nguvu ya kwenda kutafuta, unajikuta MUNGU nae anakufungulia milango ya baraka hadi unashangaa. Ndoa zinakuaga na baraka flani au niseme watoto wanakuaga na baraka zao, kwa imani yangu na kwa ushuhuda wangu.

Upande wa pili, tafuta mchumba, demu yoyote kicheche balaa, mpenda pesa kuliko hata delila, yaani akusumbue mwanzo mwisho, akili itakukaa sawa tu, utafanya kila kazi ilmardi upate pesa ya kumpa then you know what? kwa kupitia hili YOU WILL FIND YOUR STRENGHT
 
Wewe na Mimi tuko kwenye ukurasa sawa ila hapo kwenye kuchagua cha kukupa furaha usingeingiza ushabiki wa timu unayopenda

Cha kuongezea ni kwamba maisha ni mapambano halisi yaani kama Vita tu ukibweteka tu adui (ufukara) ushakutia kitanzi
 
Pole sana ila kwa style ya maisha yalivyo unatakiwa kuwa na option kadhaaa, Oa mtie mimba upate mtoto, yaani kila siku ukimuangalia dogo unapata nguvu ya kwenda kutafuta, unajikuta MUNGU nae anakufungulia milango ya baraka hadi unashangaa. Ndoa zinakuaga na baraka flani au niseme watoto wanakuaga na baraka zao, kwa imani yangu na kwa ushuhuda wangu.

Upande wa pili, tafuta mchumba, demu yoyote kicheche balaa, mpenda pesa kuliko hata delila, yaani akusumbue mwanzo mwisho, akili itakukaa sawa tu, utafanya kila kazi ilmardi upate pesa ya kumpa then you know what? kwa kupitia hili YOU WILL FIND YOUR STRENGHT
Ni kweli majukumu ni kipimo tosha cha ukomavu wa akili yanakupa ari, ingawa kwa wengine ndio yanawanyong'onyeza kabisa
 
Ni balaa na nusu ni lazima tukubaliane na hali sisi kwa sisi tupeane moyo hasa vijana wa kiume tunapitia mengi sana. Kuna wana wengi wamekata tamaa wengine washakua walevi kupindukia na wengine wanajiua kabisa.
Mwaka Jana ,nlikuw likizo flan nikasema acha nikachek kaburi la msela wangu wa damu Mana sikuwepo sabab ya majukumu makubwa yaliyonikabili.

Tumesafisha ,mdogo mtu ananiambia bro ayo makaburi mawili mapya ni vijana.mmoja kajinyonga sababu ka graduate 3yrs yupo home familia yake inamuandama kuwa mzigo.Msela siku karudi night yupo nyagi za kutosha ,kajipiga na vidonge Kisha kajipiga kitanzi.
Na wa pili kasema alipiga pombe kali na kunywa dawa kali, sababu ni zilezile
Ni hatari Sana wandugu ,maisha yanachangamoto hasa.walioyapata acha wale Bata hamna namna
 
Mwaka Jana ,nlikuw likizo flan nikasema acha nikachek kaburi la msela wangu wa damu Mana sikuwepo sabab ya majukumu makubwa yaliyonikabili.

Tumesafisha ,mdogo mtu ananiambia bro ayo makaburi mawili mapya ni vijana.mmoja kajinyonga sababu ka graduate 3yrs yupo home familia yake inamuandama kuwa mzigo.Msela siku karudi night yupo nyagi za kutosha ,kajipiga na vidonge Kisha kajipiga kitanzi.
Na wa pili kasema alipiga pombe kali na kunywa dawa kali, sababu ni zilezile
Ni hatari Sana wandugu ,maisha yanachangamoto hasa.walioyapata acha wale Bata hamna namna
Kwa ground changamoto ni nyingi sana
 
Mwaka Jana ,nlikuw likizo flan nikasema acha nikachek kaburi la msela wangu wa damu Mana sikuwepo sabab ya majukumu makubwa yaliyonikabili.

Tumesafisha ,mdogo mtu ananiambia bro ayo makaburi mawili mapya ni vijana.mmoja kajinyonga sababu ka graduate 3yrs yupo home familia yake inamuandama kuwa mzigo.Msela siku karudi night yupo nyagi za kutosha ,kajipiga na vidonge Kisha kajipiga kitanzi.
Na wa pili kasema alipiga pombe kali na kunywa dawa kali, sababu ni zilezile
Ni hatari Sana wandugu ,maisha yanachangamoto hasa.walioyapata acha wale Bata hamna namna
Maisha ya kingese sana.
Mm mwenyewe michongo nyakat fulani zimekataa nikarudisha mpira kwa kipa.
Mzee ananisema kitaa lile jamaa halina akili lipolipo tu nyumbani.
Nikafikiria huyu mzee hajui ground pako vipi yy aliotea kiajira chake cha serikali anavimba.
Nikajitakaa home na kukata home,nipo mtaa napambamnana ila life has been much worse.
 
Back
Top Bottom