moto

Grand Prix motorcycle racing is the premier class of motorcycle road racing events held on road circuits sanctioned by the Fédération Internationale de Motocyclisme (FIM). Independent motorcycle racing events have been held since the start of the twentieth century and large national events were often given the title Grand Prix. The foundation of the Fédération Internationale de Motocyclisme as the international governing body for motorcycle sport in 1949 provided the opportunity to coordinate rules and regulations in order that selected events could count towards official World Championships. It is the oldest established motorsport world championship.Grand Prix motorcycles are purpose-built racing machines that are unavailable for purchase by the general public and unable to be ridden legally on public roads. This contrasts with the various production-based categories of racing, such as the Superbike World Championship and the Isle of Man TT Races that feature modified versions of road-going motorcycles available to the public. The current top division is known as MotoGP since 2002 when the four-stroke era began. Prior to that, the largest class was 500cc, both of which form a historical continuum as the official World Championship, although all classes have official status.
The championship is currently divided into four classes: Moto Grand Prix, Moto2, Moto3 and MotoE. The first three classes use four-stroke engines, while the MotoE class (new in 2019) uses electric motorcycles. The 2019 MotoGP season comprises 19 Grands Prix, with 12 held in Europe, three in Asia, two in the Americas, and one each in Australia and the Middle East.
The most successful rider in Grand Prix history is Giacomo Agostini with 15 titles and 122 race wins. In the top-flight series, Agostini holds the title record with eight, followed by active riders Valentino Rossi with seven and Marc Márquez with six. As of 2019, Rossi holds the record for most top-flight race wins with 89.

View More On Wikipedia.org
  1. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Kila upande moto unashuka,hivyo tuseme haina maana kuwa na vipangua makombora??

    Miaka mingi tulikuwa tukihabarisha kwamba kila mtu ana mitambo ya kujilinda,wapo waliotolea mfano nchi ya ahadi hata ukitupa jiwe haliwezi kufika kwenye ardhi yao,yaan linapanguliwa juu kwa juu. Huku baba wa dunia akisema yeye ndio kiboko wa mitambo ya kudungulia takataka zote zinazoelekezwa...
  2. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Kimbunga cha moto kinaelekea Israel, raia wa Jordan, Saudia na Israel wamejifungia majumbani.

    Niaje waungwana Habari ndio hii wakuu, dakika 20 from now, Tel Aviv, Jerusalem na miji mingine ya Israel inakwenda kugeuzwa takataka na majivu. Update: Tel Aviv ameanza kuwaka moto. Inasemekana Netanyahu ashatorosha familia yake kabisa. Na bado asuburi wamalize kufuturu, leo hakuna mtu...
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi Yageuka Moto – Valentine’s Eve Shock

    On the eve of Valentine’s Day, a 3rd year student alichomwa na girlfriend wake kwa hot water after she suspected him of talking to his ex. Msichana huyo amekimbia na KSh 318,000, akiacha mwanafunzi huyo akiwa na majeraha. Tukio hili linaonyesha hatari za toxic relationships na kwanini safety...
  4. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Moto mkali unawaka muda huu maeneo ya keko Furniture/Njiapanda toroli

    Moto mkali mpaka sasa umeunguza nyumba 3 na godown moja ambalo lilikuwa limejaa magodoro. hadi sasa vikosi vya ulinzi vipo hapa fire ilikuja moja ikazidiwa ikabidi badala ya kuzma chanzo wapambane kuzuia moto usendelee kwa sasa zimefika nyingine mbili so zoezi la uokozi linaendelea.
  5. A

    JamiiForums Tanzania Naomba dawa ya miguu kuwaka moto

    Habari wakuu kwa anaejua naomba anisaidie dawa ya miguu kuwaka moto baadhi ya muda miguu yangu inawaka moto anaejua dawa anisaidie tafadhal
  6. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Zahir Zorro moto wa Allah hauzimiki kwa fire extinguisher, ni wa milele

    OOOH ZAHIR ZORO MOTO WA ALLAH HAUZULIKI Mzee Zahir Ali Zoro — Mmanyema wa kabila, mzaliwa wa Uislamu — kwa bahati mbaya aliteleza katika mtego wa anasa za dunia. Akauacha Uislamu, dini aliyozaliwa nayo, dini aliyojua haki yake, mwisho wake na uzito wa kuigeuka. Si hilo tu; aliwavuta pia...
  7. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Zahir Zorro: Nizikwe na fire extinguisher saba za kuzima moto kwani najua niendako

    Mwanamuziki mkongwe nchini Mzee Zahir Ally Zoro ambaye pia ni baba mzazi wa Banana Zoro, amepost picha hii kwenye ukurasa wake wa Facebook na kuandika maneno haya "Chilling at Kisota. Marafiki wameniombea Toba Leo hii, ili nisiende na Fire Extinguisher 7" Mzee Zahir Zoro amesumbuliwa na maradhi...
  8. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mazishi kwa kuchoma moto mwili wa marehemu( cremation)

    Wiki iliyopita niliongoza ibada fupi na zoezi la kuchoma mwili wa raia mmoja wa nje pale Makumbusho Zoezi lile lilinikumbusha mbali sana enzi za ujana wangu huko ughaibuni nilipokuwa nalifanya kwa raha zangu Japo kwasasa inachukuliwa kama njia ya kuokoa nafasi lakini haya ni mazishi ya kimapokeo...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ni kweli mbinu ya pulse and glide, kukanyaga moto kisha uliache gari free kunasaidia kupunguza ulaji wa mafuta ?

    Pulse (Ongeza kasi): Kanyaga accelerator kidogo hadi gari lifikie mfano 50 km/h. (mizunguko ya mjini) Glide (Teleza): Toa mguu kwenye accelerator, acha gari liende taratibu lenyewe Wakati gari limepungua kasi mfano 20 km/h rudia hatua ya kwanza
  10. M

    JamiiForums Tanzania Chadema wanaenda kuokolezi moto wa hasira za wananchi

    Kwa mda mwingi wananchi walifungwa mdomo wa kuwasemea baada ya Tundu Lissu kufungwa,Chadema kusimamishwa wasifanye mikutano,Heche naye kufungwa na wapendwa wetu kuuwa kama mbwa,sasa moto unaenda kuwaka mpaka kibibi akimbie
  11. M

    JamiiForums Tanzania Sababu ya za Nissan Dualis kuwaka moto… Sio tatizo la kiwandani bali uzoefu mdogo wa mafundi wetu kwenye magari ya Nissan hata ukizingatia service

    Sio kwamba Nissan Dualis zina kasoro ya kiwandani hadi zote ziungue moto. Tatizo kubwa ni service duni na mafundi wasio wataalam wa Nissan. 1. Kuna Plastiki ya kuzuia joto (heat shield/insulation) nyuma ya engine na lipo karibu sana na bomba la moshi, loki za plastiki, zikipata joto kali...
  12. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Sawa Mungu akatuchoma moto wa Milele. Je ninyi watakatifu mtakao Baki mtakuwa na furaha Gani wapendwa wenu wakiwa wanachomwa moto wa Milele??

    Mods Uzi huu uachwe ujitegemee tafadhari.🫷 Awali ya yote Mimi mpango wa kwenda mbinguni ni kama haupo maana kila nikipiga tathimini Bado najiona Sina sifa hizo Kwanza Zaka sitoi,sadaka nishakataa kuipeleka kanisani. Ukija namna ya kuishi napo Bado na pwaya maana uko zako unawaza kuchuma...
  13. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Manchester United gari imekolea moto au gesi ya presha cooker?

    Hawa jamaa wanatembeza kipigo sahivi EPL pale hadi unaogopa.
  14. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ustadh: Makaburini maiti wanatembeleana

    Ni rahisi sana kucheza na akili ya mwafrika.
  15. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Kuliko kuchomwa moto wa Milele ni Vyema na haki Mungu akatufanya watumwa. Tuwatumikie watakatifu huko mbinguni

    Mimi kila nikitazama mbele sioni kama nitatoboa na hatimae kuingia paradiso. Nimekaa nikafikiria na kuwaza sana Mungu atakuwa na faida Gani iwapo atatuchoma moto wa Milele? Na vipi tulio tiyari kufanywa watumwa tuwatumikie tu hao watakatifu wake? Kwakweli kutuchoma moto hapana manabii...
  16. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Wananchi Arusha wauwausha moto!, wafunga Barabara wataka 'Bamsi'

    Ni katika mtaa wa Sokoni One, kata ya Sinoni jijini Arusha, ambapo asubuhi ya leo Februari 1, 2026, wananchi wa eneo hilo wameandamana na kufunga barabara inayotoka Sinoni kuelekea Ngusero kwa takribani masaa matatu. Wananchi hao wanapaza sauti wakiiomba Serikali na mamlaka husika kuweka bamsi...
  17. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Hadi sasa katika harakati zako za ujana maji ya moto, ni kitendo kati ya hivi haujawahi kugusa kabisa?

    1: punyeto 2: clubbing/pub 3: unywaji wa pombe/liqour/whiskey/wine/visungura/gongo 4: mihadarati (bangi, heroin, meth, cocaine) 5: utumiaji wa makahaba 6: kuwa na sponsor/mshangazi 7: kuangalia pornography 8: betting 9: kuwa na mchepuko 10: group/party sex 11: threesome 12: kutoa...
  18. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Polisi auwawa kwa kuchomwa Moto na baadhi ya wananchi baada ya kubainika kushiriki kwenye mauaji ya October 29

    Auwawa kwa kuchomwa Moto na baadhi ya wananchi baada ya kubainika kushiriki kwenye mauaji ya October 29
  19. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Struggle ya kumiliki chombo cha moto na huna basic knowledge ya chombo hicho

    Umestruggle kulima mpunga Igurusi Mungu kakubariki umevuna umepata visenti vyako ukaona ununue zako gari la kurahisisha harakati zako unaweka rekodi ya kuwa mtu wa kwanza kwenye ukoo wa Mwakalinga kumiliki gari Struggle zinaanza kimsingi utajifunza mengi but in hardway bahati mbaya upate fundi...
  20. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Confirmed, Nyumba ya Stevin Wassira ilichomwa moto kwenye MO29

    Mzee wasira alikua na mdomo aswaaa, kwenye kampeini alikuwa anaongea Kwa dharau, kebehi na majivuno. Mungu si Abdul Wala Mchengerwa kwenye MO29, vijana walipiga kiberiti nyumba ya Wasirra. Hii habari nilileta humu watu wakabisha Leo Mzee Butiku amedhibitisha kuwa nyumba ya Wassira ilipigwa...
Back
Top Bottom