Hivi hii Hali ni kwangu tu? Maana kuna muda kichwa kinapata moto

Hivi hii Hali ni kwangu tu? Maana kuna muda kichwa kinapata moto

Godoro la kioo

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2025
Posts
388
Reaction score
811
Wakuu Kuna muda nakaa nafikiria mpaka naanza kujiuliza aliependekeza Mimi nizaliwe aliwaza Nini

Picha linaanza mpaka Sasa Nina umri wa miaka 23

Lakini Hali yangu haieleweki pangu pakavu tia mchuzi

Nipo nipo tu Sina mke,Sina mtoto,Sina kiwanja,Sina nyumba hata kazi ya kueleweka sina

Mwaka wa Tano huu Toka nimetoka kijijini lakini Cha maana nilichofanya hamna

Vijana wenzangu Wameoa Wana watoto, wengine wamejenga lakini Mimi niko mjini nimebumbwa tu

Ukiachilia mbali hilo
Toka nikiwa mdogo ni mtu flani mkimya mno mno mara nyingi napenda kujitenga

Ingawa Huwa tukizoeana nakuwa mchangamfu sana

Muda wangu mwingi nautumia kukaa ndani naweza kukaa ndani Toka asubuh mpaka jioni

Hali hii inanipa wakati mgumu kuzoeana na watoto wa kike

Kutongoza mwanamke mpaka tuzoeane na nijihakikishie kuwa nampenda kweli

Sasa hili ni tatizo kwa sababu nishapigwa matukio kiasi kwamba ni kama moyo ushakufa ganzi

Njia pekee ambayo ingekuwa inanisaidia kuondoa msongo wa mawazi ni Kununua malaya lakini kununua malaya naona kinyaa

Kuna muda nawaza nianze kunywa pombe labda kupunguza mawazo na presha ya maisha niliyonayo lakini nikifikiria naona huko ndo nitakuwa nimepotea zaidi

Njia pekee ambayo nimekuwa nikiitumia hasa ninapozidiwa na msongo wa mawazo ni kujichua

Hali hii imepelekea nimekuwa mraibu wa punyeto

Familia,jamii ,na marafiki Kila muda Kila wakati swali ni Moja unaoa lini

Kuoa Pengine ikawa si tatizo lakini Kuna muda naona kama nikioa ndoto zang ndo nitakuwa nimezizika mazima

Daah kichwa kinawaka moto mpaka nahisi kuchanganyikiwa

N.B: Mnisamehe kwa muandiko mbovu nimejaribu kufupisha
 
Miaka 23 au 32???

Mbona una haraka sana na maisha mdogo etu? Yani hapo badooo!! Sijui unaelewa? Mpaka useme!! Miaka 23 ushaanza kununua malaya!? Unasikitisha sana!

Eniweii, toka nje katafute shughuli za kukufanya uwe busy usipate muda wa kuwaza huu ushenzi uloandika hapa!kama unatamani kujenga achana na akili hizi hapo! Tuliza fahamu waza unapataje pesa! Acha kukaa ndani mtoto wa kiume!!

Miaka 23 unamuoa nani? Ujinga!!
 
Miaka 23 au 32???

Mbona una haraka sana na maisha mdogo etu? Yani hapo badooo!! Sijui unaelewa? Mpaka useme!! Miaka 23 ushaanza kununua malaya!? Unasikitisha sana!

Eniweii, toka nje katafute shughuli za kukufanya uwe busy usipate muda wa kuwaza huu ushenzi uloandika hapa!kama unatamani kujenga achana na akili hizi hapo! Tuliza fahamu waza unapataje pesa! Acha kukaa ndani mtoto wa kiume!!

Miaka 23 unamuoa nani? Ujinga!!
Usimfokee mtoto muelekeze taratibu 😁
 
Kama umri wako ndio huu acha kunung’unika mara moja halafu anza kuishi maisha ya kweli

Umri wako unaruhusu kujaribu mengi hata ukikataliwa au kukosa bado zitakuja nafasi nyengine nyingi zaidi
Na akiendelea hivi kuna ushenzi ataujaribu nakwambia! Kukaa ndani unaishia kushinda mitandaoni unakutana na anko t kashusha v8? Lazma udate..!
 
Wakuu Kuna muda nakaa nafikiria mpaka naanza kujiuliza aliependekeza Mimi nizaliwe aliwaza Nini

Picha linaanza mpaka Sasa Nina umri wa miaka 23

Lakini Hali yangu haieleweki pangu pakavu tia mchuzi

Nipo nipo tu Sina mke,Sina mtoto,Sina kiwanja,Sina nyumba hata kazi ya kueleweka sina

Mwaka wa Tano huu Toka nimetoka kijijini lakini Cha maana nilichofanya hamna

Vijana wenzangu Wameoa Wana watoto, wengine wamejenga lakini Mimi niko mjini nimebumbwa tu

Ukiachilia mbali hilo
Toka nikiwa mdogo ni mtu flani mkimya mno mno mara nyingi napenda kujitenga

Ingawa Huwa tukizoeana nakuwa mchangamfu sana

Muda wangu mwingi nautumia kukaa ndani naweza kukaa ndani Toka asubuh mpaka jioni

Hali hii inanipa wakati mgumu kuzoeana na watoto wa kike

Kutongoza mwanamke mpaka tuzoeane na nijihakikishie kuwa nampenda kweli

Sasa hili ni tatizo kwa sababu nishapigwa matukio kiasi kwamba ni kama moyo ushakufa ganzi

Njia pekee ambayo ingekuwa inanisaidia kuondoa msongo wa mawazi ni Kununua malaya lakini kununua malaya naona kinyaa

Kuna muda nawaza nianze kunywa pombe labda kupunguza mawazo na presha ya maisha niliyonayo lakini nikifikiria naona huko ndo nitakuwa nimepotea zaidi

Njia pekee ambayo nimekuwa nikiitumia hasa ninapozidiwa na msongo wa mawazo ni kujichua

Hali hii imepelekea nimekuwa mraibu wa punyeto

Familia,jamii ,na marafiki Kila muda Kila wakati swali ni Moja unaoa lini

Kuoa Pengine ikawa si tatizo lakini Kuna muda naona kama nikioa ndoto zang ndo nitakuwa nimezizika mazima

Daah kichwa kinawaka moto mpaka nahisi kuchanganyikiwa

N.B: Mnisamehe kwa muandiko mbovu nimejaribu kufupisha
duh! apo kwanza epuka kukaa ndani peke yako mara nyingi huathir kujiamini na kufikiri pia!
 
Back
Top Bottom