Nanukuu,
Eti, oh, imenyesha juzi tu Maji sio mengi, nisubirini kule
lishindikana vipi kuyapima maji kwa mti, ndio mkawaambia watu wavuke?
Mjomba, binadamu ni kama ganda la kitabu, mpaka umfungue maandishi ndio uweze kumuelewa
Eti, lililotokea mbali tufanye limepita tunaomba samahani, na...