mkeka

  1. Mtondoli

    John Mnyika, kuulalia mkeka uliochanika kunahitaji akili nyingi sana na sio nguvu

    Comred Mnyika mdogo wangu na Katibu Mkuu wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA tunataka tuuone utashi na hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu, chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko. Mkeka uliolalia umechanika Sana, usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi. Maneno...
  2. figganigga

    Mkeka unakuja wa kuwaondoa Mawaziri nonsense kwenye Serikali ya Samia

    Salaam Wakuu, Tunashukuru rais Samia kwa kuanza kuwaona Mawaziri wanaotoa Matamko nonsense. Namuunga Mkono kwa kuliona hilo. Hii inamanisha kwamba, Mawaziri Nonsense Bye bye. Mkeka safari hii utakuwa wa moto. Mawaziri wameshindwa kumsaidia rais, wanatoa Matamko bila kumshirikisha rais. Mkeka...
  3. Rapherl

    Police General Orders(PGO) ni nini, nitaipata wapi?

    Wadau, Mwenye softcopy ya mwongozo wa utendaji kazi katika jeshi la polisi (Police General Order) naomba anisaidie kuiweka hapa au anitumie kwenye email theweeknd9911@gmail.com Asante. ==== Police General Orders (PGO) ni nini? Ni kanuni za mwongozo wa utendaji kazi wa Jeshi na Polisi. Ofisa...
  4. Mwalimu wa tuisheni

    Mkeka Bet

    Tangu jioni nimejaribu ku access website yao haifanyi kazi, kwa mnaojua nini tatizo...?
  5. Roving Journalist

    TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

    Rais Samia Suluhu Hassan leo ameachia mkeka wa Wakuu wa Wilaya mbalimbali uliosheheni vijana. Baadhi ya Wakuu wa Wilaya wapya ni pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji, pia yupo Joshua Nassari na Wakili Albert Msando. Wengine ni Mwenyekiti wa UVCCM Kherry James...
  6. S

    Katika mkeka wa DED Rais Samia mkumbuke huyu ndugu Shaban Kissu

    Tayari mikeka kadhaa imeishapita lakini jina la Mc wa serikali Shabani Kissu bado halijatokea, Mama Samia nafasi za MaDED nakuomba umkumbuke huyu kada Shabani kaishatumikia sana chama na ni mtendaji mzuri tu aliyetukuka katika nafasi mbalimbali ndani na nje ya chama. Kazi Iendelee
  7. S

    Rais Samia usimsahau Shaban Kissu kwenye mkeka wa ma-DED

    Tayari mikeka kadhaa imeishapita lakini jina la MC wa Serikali Shabani Kissu bado halijatokea. Mama Samia nafasi za MaDED nakuomba umkumbuke huyu kada Shaban kaishatumikia sana chama na ni Mtendaji mzuri tu aliyetukuka katika nafasi mbalimbali ndani na nje ya chama. KAZI IENDELEEE
  8. Robert Heriel Mtibeli

    Mkeka wa Ma-DC umekaa poa. Muhimu wasisahau Jambo hili

    Kwema Wakuu! Nilikuwa napitia majina ya Ndugu zetu waliopewa nafasi za Ukuu WA wilaya. Kwa kweli mkeka upo vizuri Kwa sehemu kubwa Nawapongeza wote Mliopewa Nafasi hizo. Pia nampongeza Mhe. Rais, Samia Suluhu Kwa kuweza kujitahidi kuwaona hawa. Ila neno moja Kwa wateuliwa; Achaneni na Yale...
  9. GENTAMYCINE

    TMA siku zingine kama hamna uhakika na Hali ya Hewa bora mnyamaze tu kwani mmenichania Mkeka wangu

    Nilibeti sehemu kutokana na Tabiri zenu juu ya Kimbunga Jobo kuwa Mkoa wote wa Dar es Salaam utazama Bahari ya Hindi na Watu wengi tutakufa cha Kushangaza Mimi nipo Hai hadi sasa hivi, Mkoa wa Dar es Salaam mkavu, Watu wanaenda Kuogelea Baharini na Anga la Dar es Salaam liko shwari tu. TMA...
  10. Jackmakundi

    Natafuta vimini (sofa za mkeka)

    Habari wana jamii, natafuta vimini(sofa za mkeka) zinapatikana wapi. na bei zao ni zipi?
  11. Tusker Bariiiidi

    TANZIA: Mkurugenzi wa ICAP Tanzania, Dkt. Fernando Morales afariki Dunia

    Mkurugenzi wa Shirika la Kimataifa linalojishughulisha na masuala ya Afya – ICAP kutoka Chuo Kikuu cha Columbia New York, Dkt. Fernando Morales amefariki dunia Habari zaidi kukujia punde WASIFU WAKE (KWA UFUPI) Dr. Fernando Morales is ICAP’s country director in Tanzania. In this role, he...
  12. YEHODAYA

    Kijana anayeanza maisha usinunue godoro nunua mkeka huo huo kiti huo huo kitanda

    Vijana wengi kuanza maisha hupata shida waanzaje. Tafuta elfu tano nunua mkeka huo huo utautumia Kama kiti Cha kukaaa wewe na wageni wako na hapo hapo ujautumia Kama kitanda kulala usiku.
  13. C

    Ni upi uhalali wa ndoa ya mkeka?

    Kiukweli nashindwa kuelewa uhalali wa ndoa ya mkeka Ndoa ya mkeka ni ndoa ambayo huwalazimisha vijana kuingia katika ndoa kuwaepusha na kuendeleza zinaa Hufanywa kwa kuwavamiwa watoto hao wawapo faragha na muda huo huo ndoa hupishwa na kufungishwa na shekhe Ndoa hizi zimekuwa zikihusishwa na...
  14. Noel Leonard Mgeni

    Mkeka wa Leo - Tarehe 2 Novemba, 2019

    Bournemouth Man Utd – away to score Arsenal Wolves – over 1.5 either half Aston Liverpool – NG either half Espanyol Valencia – under 3.5 Levanter Barcelona – home to score Sevilla Atleti – GG Roma Napoli – GG Bologna Inter – over 2.5 Torino Juventus – 10 minutes X Bayer Monch – GG...
Back
Top Bottom