Rais Samia: Nagusa na Kubadili Mawaziri wote isipokuwa Biteko, anafanya kazi nzuri

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,989
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Runzewe mkoa wa Geita, leo tarehe 16 Oktoba, 2022



Kwanza nawashukuru, nimeingia Geita jana asubuhi sana, tumefungua hospitali ya kanda pale chato, lakini tukafungua kiwanda cha kuchenjua dhahabu itakayouzwa duniani kote, pia kituo cha umeme.

Langu mimi ni kuwahakikishia, mimi pamoja na wasaidizi wangu wakiwemo mawaziri, wabunge tupo kuitumikia Tanzania. Tupo kumtumikia mtanzani, kuleta maendeleo na kujenga Tanzania yetu.

Ombi langu kwenu, bakini na amani. Tunzeni amani na utulivu kwenye maeneo yetu, twendeni tukachape kazi, kila mtu kwa kazi anayoifanya, kila mmoja achangie maendeleo ya nchi yetu.

Sisi ni wakusanyaji wa fedha ili tulete maendeleo kwenu, hatukusanyi tusibebe sisi, hapana. ndo pesa mnazosikia mama amemwaga, mama amemwaga, ni kwa sababu tumekusanya kutoka kwenu. Tuchape kazi ili tulete maendeleo.

Nawashukuru kwa zawadi zote mlizonimiminia, ili vijana wangu waweze kufanya kazi saa 24, na ili serikali iweze kukusanya mapato ya kutosha, naleta taa za barabarani.

Mmenipa kijana mzuri sana (Waziri Wa madini Doto Biteko) aliyenyanyua sekta ya madini kutoka kuchangia asilimia 4 ya pato la taifa, sasa inachangia karibia asilimia 8. Ndo maana mnaona nawagusa wote nawabadilisha, lakini Biteko yupo hapohapo. Kwa sababu anafanya kazi nzuri sana, anaichangia Tanzania vizuri sana, mtihani wake ni hadi 2025, asipofikia asilimia 10 (ya mapato) atakuwa amewaangusha wananchi wa Bukombe. Akifikisha asilimia 10, Biteko oyee.
 
Kuna mbususu sana pale ukitoka Nyakanazi au Biharamulo unakula tu ,nimewapiga sana dada zako pale

USSR
Kwasisi maderava huwa tunapaita "Shamba la nyege" ni sehemu nzuri ya kupumzika na Vidada vya Kisubi.
 
Fedha tulizoziona ni zile Za COVID 19, fedha Za bajeti ya serikali 2022/23 hazitafika na hazijatolewa
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Ruwenze mkoa wa Geita, leo tarehe 16 Oktoba, 2022



Kwanza nawashukuru, nimeingia Geita jana asubuhi sana, tumefungua hospitali ya kanda pale chato, lakini tukafungua kiwanda cha kuchenjua dhahabu itakayouzwa duniani kote, pia kituo cha umeme.

Langu mimi ni kuwahakikishia, mimi pamoja na wasaidizi wangu wakiwemo mawaziri, wabunge tupo kuitumikia Tanzania. Tupo kumtumikia mtanzani, kuleta maendeleo na kujenga Tanzania yetu.

Ombi langu kwenu, bakini na amani. Tunzeni amani na utulivu kwenye maeneo yetu, twendeni tukachape kazi, kila mtu kwa kazi anayoifanya, kila mmoja achangie maendeleo ya nchi yetu.

Sisi ni wakusanyaji wa fedha ili tulete maendeleo kwenu, hatukusanyi tusibebe sisi, hapana. ndo pesa mnazosikia mama amemwaga, mama amemwaga, ni kwa sababu tumekusanya kutoka kwenu. Tuchape kazi ili tulete maendeleo.

Nawashukuru kwa zawadi zote mlizonimiminia, ili vijana wangu waweze kufanya kazi saa 24, na ili serikali iweze kukusanya mapato ya kutosha, naleta taa za barabarani.

Mmenipa kijana mzuri sana (Waziri Wa madini Doto Biteko) aliyenyanyua sekta ya madini kutoka kuchangia asilimia 4 ya pato la taifa, sasa inachangia karibia asilimia 8. Ndo maana mnaona nawagusa wote nawabadilisha, lakini Biteko yupo hapohapo. Kwa sababu anafanya kazi nzuri sana, anaichangia Tanzania vizuri sana, mtihani wake ni hadi 2025, asipofikia asilimia 10 (ya mapato) atakuwa amewaangusha wananchi wa Bukombe. Akifikisha asilimia 10, Biteko oyee.


Biteko Bado hujamfahamu, kuwa mpole Muda utajibu
 
Nakumbuka zile kelele za wakati ule kwamba madini yanatoroshwa, tena miongoni mwa walalamikaji alikuwa Samia mwenyewe, sijui ziliishia wapi.

Inaonekana Rais alikuja kugundua anadanganywa na wasaidizi wake, yale yalikuwa majungu yao huko serikalini ya walioitaka nafasi ya jamaa, ila baada ya wao kupewa ulaji wako wakaufyata.
 
Nakumbuka zile kelele za wakati ule kwamba madini yanatoroshwa, tena miongoni mwa walalamikaji alikuwa Samia mwenyewe, sijui ziliishia wapi.

Inaonekana Rais alikuja kugundua anadanganywa na wasaidizi wake, yale yalikuwa majungu yao huko serikalini ya walioitaka nafasi ya jamaa, ila baada ya wao kupewa ulaji wako wakaufyata.
Doto na Riziwani wana share kwenye leseni nyingi sana Za utafiri na uchimbaji wa Madini.
Hata PhD yake ina utata na Mwisho atakuja kugombea urais.
Muda utaongea
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Runzewe mkoa wa Geita, leo tarehe 16 Oktoba, 2022



Kwanza nawashukuru, nimeingia Geita jana asubuhi sana, tumefungua hospitali ya kanda pale chato, lakini tukafungua kiwanda cha kuchenjua dhahabu itakayouzwa duniani kote, pia kituo cha umeme.

Langu mimi ni kuwahakikishia, mimi pamoja na wasaidizi wangu wakiwemo mawaziri, wabunge tupo kuitumikia Tanzania. Tupo kumtumikia mtanzani, kuleta maendeleo na kujenga Tanzania yetu.

Ombi langu kwenu, bakini na amani. Tunzeni amani na utulivu kwenye maeneo yetu, twendeni tukachape kazi, kila mtu kwa kazi anayoifanya, kila mmoja achangie maendeleo ya nchi yetu.

Sisi ni wakusanyaji wa fedha ili tulete maendeleo kwenu, hatukusanyi tusibebe sisi, hapana. ndo pesa mnazosikia mama amemwaga, mama amemwaga, ni kwa sababu tumekusanya kutoka kwenu. Tuchape kazi ili tulete maendeleo.

Nawashukuru kwa zawadi zote mlizonimiminia, ili vijana wangu waweze kufanya kazi saa 24, na ili serikali iweze kukusanya mapato ya kutosha, naleta taa za barabarani.

Mmenipa kijana mzuri sana (Waziri Wa madini Doto Biteko) aliyenyanyua sekta ya madini kutoka kuchangia asilimia 4 ya pato la taifa, sasa inachangia karibia asilimia 8. Ndo maana mnaona nawagusa wote nawabadilisha, lakini Biteko yupo hapohapo. Kwa sababu anafanya kazi nzuri sana, anaichangia Tanzania vizuri sana, mtihani wake ni hadi 2025, asipofikia asilimia 10 (ya mapato) atakuwa amewaangusha wananchi wa Bukombe. Akifikisha asilimia 10, Biteko oyee.

Kijana Biteko sasa atakula kwa amani huku akiwa na usingizi wa pono na kula mbususu bila mastress
 
Back
Top Bottom