mke

The MPT (stands for Turkish: Millî Piyade Tüfeği, English: National Infantry Rifle) is a modular rifle family designed by MKEK and produced by MKEK, Sarsılmaz Arms and Kalekalıp to meet the demands of the Turkish Armed Forces and to replace its aging rifles such as Heckler & Koch G3 and Heckler & Koch HK33 due to most of them being near the end of their service life. The MPT was designed for robust high altitude, all weather combat, capable of functioning in extreme hot and cold weather. The MKEK MPT is a rifle intended to take abuse and extreme mistreatment and still maintain high accuracy and reliability in order to survive in true battle environments. The Turkish government has invested US$22 million into the project.It made its first public appearance at the Eurosatory 2014, ADEX 2014 and the MSPO 2014 events.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Nasumbuliwa sana na mke wa mtu alienidhamiria bila kuchoka, nawezaje kumfanya ajue haitawezekana bila kuvunja urafiki wetu?

    Kuna binti mmoja, ni mke wa mtu, lakini ananiumiza kichwa sana siku hizi. Mume wake alimfungulia duka kubwa tu awe anakuwa bize, na kwa kuwa hata mimi nina duka katika mitaa hiyo, tulianza kuzoeana kama majirani. Kila nilipopita na kumuona, sikusita kumsalimia na mara nyingi tulikuwa tunapiga...
  2. Tundusami

    Mke ajipiga selfie wakati mumewe anafariki ili kumtumia mchepuko

    Mwanadada alihaamua kujipiga Selfie Na Mume Wake Aliyefariki , Na Kumtumia Mpenzi (mchepuko)Wake Kama Uthibitisho na kumwambia. Hatimaye tumekua huru kwenye mahusiano yetu mapya.. kabla ya hapo mdada huyu aligundua kua mume wake Hana maisha marefu na hakuna kitu anaweza kumfanyia tena kwaio...
  3. SuperHb

    Mrejesho wa 3, Mke kakimbia ndoa yake kisa anataka kazi

    Baada ya MKE kurudi kwangu na kuconfess makosa yake yote na yale ambayo nilikuwa sijui...,,, Na akasema ametambua makosa yake yote ndo amekili ametaka MOYO wake uwe huru... Na amesema kilichomuharibu zaidi ni makundi aliyokuwa nayo ya wanawake kudanganyana...na kushawishiana... Soma MREJESHO...
  4. S

    Dawa ya kienyeji kali ya kurudisha mke ndoani

    Kwema wadau mke wangu aliondoka kitambo nahitaji arudi au huko alikopanga awe mke wangu wa pili najua akija zalishwa na wengine nitaumia mara mbili yake kumbukeni niliumia sana kipindi aliondoka nimekuja kuzoea baada ya mwaka nisaidieni jamani kwa ajuaye nimeona ndoa ni sehemu ya kupambana na...
  5. JanguKamaJangu

    Stephen Wasira amtembelea na kumjulia hali Mama Maria Nyerere, mke wa Hayati Baba wa Taifa, Februari 18, 2026

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara) Ndg. Stephen Wasira, amemtembelea na kumjulia hali Mama Maria Nyerere, mke wa Hayati Baba wa Taifa na Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam leo Februari 18, 2026.
  6. SuperHb

    Mke wangu kaacha ndoa yake kisa kazi

    Habari ndugu.. Mimi nilikuwa nimeoa mwanamke tulikuwa tuna miaka 5, kwenye ndoa,,,tumejaaliwa mtoto mmoja wa kike mwenye umri wa miaka 2 na miezi8,,,tuliishi vizuri,,alikuwa ni Mama wa Nyumbani,, Ila ghafla alianza kubadilika ,,akaanza kuwa na vikundi vya wanawake,,,vikimshauri atafute...
  7. bwawani90

    Nina umri wa miaka 49 Natafuta mke awe na sifa zifuatazo

    1. mweupe kiasi si michubuko 2. umri kati ya miaka 25 hadi 30 3. Elimu ya kidato cha 4 mwisho cha 6 4. awe tayari kusimamia biashara 5. Asiwe na mtoto 6. utepe ni muhimu(code) wenye D mbili wameelewa 7. Dini( awe na hofu ya mungu) 8. awe anaishi kwao sio gheto 9. mwembamba kidogo 10. urefu 150...
  8. Zee la madawa

    Alivyonikosa kuniuawa mke wangu kutokea kanda ya ziwa

    JamiiForums Mahusiano, mapenzi, urafiki Nilivyonusurika kuuawa na aliyekuwa mke wangu kutoka kanda ya ziwa Thread startermkunga wa jadi Start date42 minutes ago Tagsaliyekuwa kanda kanda ya ziwa kutoka kuuawa mke mke wangu wangu ziwa Jump to new Unsubscribe ••• mkunga wa jadi Senior Member...
  9. Kipenzi Changu

    Aliyemtoa kafara mke wake ili apate ubunge ni nani?

    Jana nilikuwa namsikiliza Mamba Dudu Baya akiwachana waliokuwa mabeberu wa mziki wa Bongo Fleva. Alitaja orodha lakini akasema kuna mmoja alimtoa mpaka mkewe kafara ili apate ubunge. Ni nani huyu wakuu
  10. Mgaratia Wa bongo

    Si uungwana kuzungumzia mambo ya uzinzi mbele ya Mke wa rafiki yako

    Kuna ushamba fulani hivi wanaume huwa wanaufanya ambapo kimsingi si uungwana na ustarabu hata siku Moja. Jamaa mmoja tulisoma wote chuo kikuu Sasa juzijuzi kapata ajira katika mji ambapo Mimi nafanya kazi. Sasa aliponiambia amepata anakuja kuripoti nikamwambia afikie kwangu Cha ajabu Sasa jamaa...
  11. Choosen85

    Nimeona kitu kwa mke wangu ambacho nilitamani kujua kama ni kweli

    Wakuu wasalaam T.A.M LISSU ndiye mtetezi wa taifa hili na watanganyika kuombewa ni lazima, TUMUOMBEE MBEBA MAONO....T.A.M LISSU. Niliwahi kupata story za watu mbalimbali na pia kuona kwenye porno video kuhusu kusex na mwanamke na aka squirt ( kumwaga maji kama mkojo ) hii siyo orgasm so...
  12. M

    Nilivyonusurika kuuawa na aliyekuwa mke wangu kutoka kanda ya ziwa

    Hawa watu kutoka kanda ya ziwa ni wakatili sana hasa hasa wanawake yaani ukitaka kuona dunia chungu au ndoa ni chungu oa mwanamke kutokea kanda ya ziwa aisee mimi niliona cha mtema kuni nusura aniue kisa mali tu ambazo yeye amenikutana nazo aisee kwanza hawa wanawake toka kanda ya ziwa...
  13. BigTall

    Mke wangu hana bajeti na hajali, anataka tukipata pesa tutumie hadi ziishe

    Mimi na mke wangu tuna miaka minne sasa na tumebahatika kupata Watoto wawili, awali nilikuwa na maisha magumu sana, lakin kwa sasa ipo nafuu siyo kama mwanzo. Changamoto ni kwamba mke wangu yeye yuko bize na pesa tu yaani ku-plan pesa ninayoipata tu-balance tufanye jambo la kutuinua kiuchumi...
  14. Choosen85

    Nilikamata simu ya mke wangu wanachati na mdogo mtu wananisengenya

    Hongereni kwa darasa la sheria kutoka kwa mh. Ndugu T.A.M LISSU. Nipo na mke wangu sasa ni mwaka wa 4 sijwahi mpiga hata kofi maana anajitahidi kwenye utii kwa kweli. Alimleta mdogo wake wa kike huku na alipofika nikaona yupo yupo tu niliamua mtafutia sehemu angalau awe anajifunza ufundi wa...
  15. Doto12

    Mke anaruhusiwa kuwa na wanaume wawili watatu?

    Hili la wanawake kuwa na wanaume wengi limekuwa kama sheria waliyoipitisha wenyewe. Yaani asilimia ndogo sana wanawaume zao baasi, hawa 1970 hadi 1990, hawa wa 2000 kuja 2010 asilimia kubwa wana mabwana zaidi ya wawili watatu, nani kawaruhusu? Kama huamini na kama ni kidume chukua mtoto wa...
  16. Red black

    Arusha; ataka kujiua kisa mke wake ametoroka.

    wanawake mnataka nini kwenye ndoa ili mtulie?? sahii ungekuta ndugu wa jamaa wanandaa utaratibu wa mazishi.
  17. ELI COHEN

    Sasa hivi kuna mstari mwembamba unaotenganisha mke na mchepuko↔️mme na hawala

    Times have really changed. Huko nyuma ikitokea baba/mama akawa na mchepuko basi alikuwa infanyika siri kubwa na michepuko walikuwa treated kwa nafasi ya makahaba waliochangamka. Lakini michepuko nayo ilijua nafasi, most of them hawakutaka kuvuka mstari wa boundary yao. Ila sasa hivi, michepuko...
  18. M

    Ruvuma: Amchoma mkewe tumboni kisha kunywa sumu baada ya kugundua anatumia dawa za kufubaza virusi vya UKIMWI

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linamshikilia Mwanaume mmoja mkazi wa kijiji cha Tingi, wilayani Nyasa mkoani Ruvuma, kwa tuhuma za kumchoma mke wake tumboni kwa kutumia kitu chenye ncha kali baada ya kugundua kuwa Mke wake alikuwa anatumia dawa za kufubaza virusi vya UKIMWI (ARV) kwa siri...
  19. B

    Maisha ya UPWEKE yamenichosha - Nahitaji Mke

    Kichwa cha habari hapo juu cha husika. Maisha ya upweke ymenichosha hivyo nahitaji mwanamke wa kuishi nae maisha ya kumpendeza Mungu. Sifa kubwa awe na uhitaji wa mume kweli na pia awe mwanamke mwenye maono kuhusu maisha na awe mwanamke anayejitambua. On top of that, elimu yake isipungue...
  20. Financial Analyst

    Hivi kuna watu hapa duniani wana gubu kama watoto wa nje ya ndoa, watoto wa kambo, watoto wa mke mdogo na watoto wanaolelewa na ndugu?

    Hawa ni wafalme na malkia wa kunung'unika muda wote, wanafiki wa kuchonganisha na muda wote huwa wanawaza jinsi gani mali zitakavyogawa. Bastard children!!!
Back
Top Bottom