Duuh achana nayo yalishapita, kwani bado anakusaliti?Nimegundua amenichiti sana kipindi anasoma chuo miaka mitatu imepita nimejua leo baada ya kufungua akaunti ya Facebook aliyo kuwa anatumia wakati huo yupo chuo na kusoma mesenja za zamani walivyo kuwa wanapeana mautamu moyo wangu unamaumivu so kawaida
Utuwekee namba hapa tuwe twamsaidia baada ya wewe kumtelekeza na kufarijiana.. Si unajua tuishi kwa upendo Nimegundua amenichiti sana kipindi anasoma chuo miaka mitatu imepita nimejua leo baada ya kufungua akaunti ya Facebook aliyo kuwa anatumia wakati huo yupo chuo na kusoma mesenja za zamani walivyo kuwa wanapeana mautamu moyo wangu unamaumivu so kawaida
Hivi huwa mnachimba nini? Mnachokitafuta sasa umekipata. Si vizuri kuchimba mwanamke.Nimegundua amenichiti sana kipindi anasoma chuo miaka mitatu imepita nimejua leo baada ya kufungua akaunti ya Facebook aliyo kuwa anatumia wakati huo yupo chuo na kusoma mesenja za zamani walivyo kuwa wanapeana mautamu moyo wangu unamaumivu so kawaida
Hata kama ni mimi nisingeweza kuvumilia hasa nikikumbuka ilikua ikichomoka anairudisha mwenyewe mbiombio 😥Nimegundua amenichiti sana kipindi anasoma chuo miaka mitatu imepita nimejua leo baada ya kufungua akaunti ya Facebook aliyo kuwa anatumia wakati huo yupo chuo na kusoma mesenja za zamani walivyo kuwa wanapeana mautamu moyo wangu unamaumivu so kawaida
Hii Kauli ya kuchimba 😅😅Hivi huwa mnachimba nini? Mnachokitafuta sasa umekipata. Si vizuri kuchimba mwanamke.
Mwanzo alivyo maliza form six alikuwa mtu na nusu alivyo enda chuo akarudi mwingine kabisaMsaliti msaliti tu
Piga chini
Japo wa zamani sio wa sasa,labda alibadilika
Then Disease will eventually finish himLegally you're very right. Economically you're wrong. If cheating does not harm you physically, the. I advise not to leave your beloved wife