Nina mpango wa kumtelekeza mke

Nina mpango wa kumtelekeza mke

ndalaweya

Member
Joined
Apr 5, 2026
Posts
63
Reaction score
127
Nimegundua amenichiti sana kipindi anasoma chuo miaka mitatu imepita nimejua leo baada ya kufungua akaunti ya Facebook aliyo kuwa anatumia wakati huo yupo chuo na kusoma mesenja za zamani walivyo kuwa wanapeana mautamu moyo wangu unamaumivu so kawaida
 
Nimegundua amenichiti sana kipindi anasoma chuo miaka mitatu imepita nimejua leo baada ya kufungua akaunti ya Facebook aliyo kuwa anatumia wakati huo yupo chuo na kusoma mesenja za zamani walivyo kuwa wanapeana mautamu moyo wangu unamaumivu so kawaida
Duuh achana nayo yalishapita, kwani bado anakusaliti?
 
Nimegundua amenichiti sana kipindi anasoma chuo miaka mitatu imepita nimejua leo baada ya kufungua akaunti ya Facebook aliyo kuwa anatumia wakati huo yupo chuo na kusoma mesenja za zamani walivyo kuwa wanapeana mautamu moyo wangu unamaumivu so kawaida
Utuwekee namba hapa tuwe twamsaidia baada ya wewe kumtelekeza na kufarijiana.. Si unajua tuishi kwa upendo 🫪
 
Nimegundua amenichiti sana kipindi anasoma chuo miaka mitatu imepita nimejua leo baada ya kufungua akaunti ya Facebook aliyo kuwa anatumia wakati huo yupo chuo na kusoma mesenja za zamani walivyo kuwa wanapeana mautamu moyo wangu unamaumivu so kawaida
Hivi huwa mnachimba nini? Mnachokitafuta sasa umekipata. Si vizuri kuchimba mwanamke.
 
Nimegundua amenichiti sana kipindi anasoma chuo miaka mitatu imepita nimejua leo baada ya kufungua akaunti ya Facebook aliyo kuwa anatumia wakati huo yupo chuo na kusoma mesenja za zamani walivyo kuwa wanapeana mautamu moyo wangu unamaumivu so kawaida
Hata kama ni mimi nisingeweza kuvumilia hasa nikikumbuka ilikua ikichomoka anairudisha mwenyewe mbiombio 😥

Kingine unaweza kuta wakati unamnyandua anavutia hisia kwa hilo lijamaa lake 😭😭
 
Back
Top Bottom