Ila akili za saa saba usiku 😀At Boston terrier ila namuwaza mke wangu Seran Tanzania. Leo nanunua mbwa Nampa jina kwereseran. Karibuni Boston.
Ila akili za saa saba usiku 😀
Hapa Boston Massachusetts watu hawalali na muda wa Petty shops unajulikana kwasababu huku kununua mnyama ni swala nyeti sio kama nyie huko Kwa muliro mnaemuogopa.Huko Boston itakuwa saa 12 jioni, Massachusetts tunatofautiana masaa saba nyuma na wao.
Shida unaweza kuta mtoa mada yupo Buza tuu hapo. 😊
Ushauri wangu kwako,Hivi unanitafuta nini?
You wish it were you!Ushauri wangu kwako,
Kama hupendezewi na nyuzi za aina hii,ungekua unapita kimya kabisa,kama vile hujauona uzi,
Hii ndio njia pekee iliyobaki kwako ya kuondokana na kero za aina hii,mwisho wa siku anayekukera atachoka yeye mwenyewe,
Sometimes remaining silent is an effective way to handle rude people,by not reacting,you deny them the immediate emotional payoff want,let the silent speak.
OyaaaHuyo ndo superbug AKA mdudu mkali!
You wish it was youYou
You wish it were you!
Mbona watu wengi wanataman kukupiga mashine shida ni nn?Hivi unanitafuta nini?
Unaniuliza mimi tenaMbona watu wengi wanataman kukupiga mashine shida ni nn?