AI ilivyonifanya nipate mke mwema wa kuoa

AI ilivyonifanya nipate mke mwema wa kuoa

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
4,287
Reaction score
9,162
Abarikiwe aliebuni hiyi kitu, wale
Wa vizinga tangazo sasa nimempata mkemwema,
Nililizwa Sana nikaamin mapenzi ni pesaa

Kumbe nilikuwa napata Malaya Malaya nikajua napendwa kumbe zinapendwa pesa

Kweli filisika tuone tabia za mpenzi wako


Sasa nina aman sipitii tena bar kulewa na kungoja wife alale kuepusha mizozo

saiz mpaka kazini naona muda ni mwingi
wakati zamani nilimuomba boss aongeze muda nitoke jioni
Hata usiku kisa kukwepa kelele za wife

Pesa ilikuwa haitoshi beby wigi, beby mama anaumwa, beby tumbo linagesi beby bando

Saiz laki inakaa mwezi mzima
Maana huyu mkemwema niliempata kupitia AI anajua kulithamini jasho langu

Kama hujaelewa oa Malaya Malaya wapenda pesa ukiwa huna ndio utaielewa hiyi mada

NB vijana wake wema bado wapo Ila kumpata AI inabidi ihusike na AI bila Akili kubwa ni mzigo kichwani mwako

AI ni mungu na ni shetani kwenye kizaz hiki
 
Abarikiwe aliebuni hiyi kitu, wale
Wa vizinga tangazo sasa nimempata mkemwema,
Nililizwa Sana nikaamin mapenzi ni pesaa

Kumbe nilikuwa napata Malaya Malaya nikajua napendwa kumbe zinapendwa pesa

Kweli filisika tuone tabia za mpenzi wako


Sasa naaman sipitii bar tena kungoja alale saiz mpaka kazini naona muda ni mwingi wakati zamani nilimuomba boss aongeze muda nitoke jioni

Pesa ilikuwa haitoshi beby wigi, beby mama anaumwa, beby tumbo linagesi beby bando

Saiz aah laki inakaa mwezi mzima
Ngoja kwanza bRaza hiyo laki unatumia kwa matumizi ya kula tu au.

Maana nataka kujifunza hapa
 
Heading na ulicho kiandika ndani ya uzi ni vitu viwili tofauti kabisa.

Zingatia mtoa mada kasema "AI bila Akili kubwa ni mzigo kichwani mwako, AI ni mungu na ni shetani kwenye kizazi hiki"

Hapo ndio andiko zima lilipo!
 
Nipe na mimi ya kutumia hiyo AI ili niupate mchepuko mwema na uliotulia! Mchepuko usiopenda pesa wala malipo ya bills mbalimbali.
 
Back
Top Bottom