Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Juzi nilikuwa club na rafiki zangu tunapata beer mbili tatu. Mke wangu ni mjamzito wa miezi 6, kwa bahati mbaya nilichelewa kurudi, nilirudi saa 6 huku nikiwa tungi. Sikumbuki ni nini kilitokea baada ya kugonga geti, ila nakumbuka...