Mke wangu hatakiwi. Ushauri wako tafadhali

akilindefu

Member
Sep 5, 2020
69
63
Baba yangu hamtaki mke wangu naomba pita hapa unipe ushauri.Ilikua ni mwaka wa 2020 ndo Kwanza natimiza umri wa miaka 21 wakati huo nikiwa Geita nikipambana na maisha, nilipokea simu kutoka Kwa dada yangu naemfuata kuwa amenitaftia mchumba.

Basi na Mimi sikuwa na hiana nikapata mawasiliano nae maisha yakaendelea badae Yule binti akaenda kwetu kusalimia wakati huo Mimi sikuepo nyumbani yule binti alipofika pale akagoma kurudi kwao akidai anahitaj kuolewa na mimi akawa anatishia kujiua bas badae nikaanza kukaa nae naye

Sasa ndo vita na mzee wangu ambae alishatengana na mama ukaanza sasa hivi anatishia kunilaani kwamba kama sitoachana na huyo binti hatutopata mtoto wala hatutofanikiwa mama yeye anadai niendelee kukaa na binti na mpaka sasa huyo bunti anaumwa alifanyiwa operation akiwa kwangu ushauri wenu wakuu
 
Unapenda tukupe ushauri wa aina gani mkuu?

Kwa sababu kuna ushauri wa kukuambia achana na mzee wako mpotezee na kuna ushauri wa kukuambia achana na mkeo mfate baba ako.

Wewe ndugu unataka ushauriwe nini?

Unapoomba ushauri hakikiaha unao wako tayari ili wengine wajue wanajaza vipi nyama.

Sasa kama wewe huna uahauri wowote maana yake wewe ni mfu hujui ufanye nini na wewe ndio muhusika mkuu wa hiyo kadhia.

Kiufupi wewe bado ni kijana mdogo,achana na mambo ya kutafutiwa mke,mbona pesa hutafutiwi.

Hakikisha kitu ambacho utakuja kutumia au kukaa nacho wewe basi wewe ndo uwe mtafutaji mkuu.
 
Ile kanuni ya kijana (me) atatoka nyumbani kwa wazazi wake na kwenda kujitafutia hukoooooo kisha ataoa mke na watajenga familia inahusika hapa.

Moja ya mambo ambayo kamwe katu katu sikukubali mzazi aniingilie ni suala la kuoa. Nilisikiliza ushauri wake tu lakini nilifanya maamuzi Mimi mwenyewe kwasababu anayeishi na mwanamke ni mume na wala sio mtu mwingine ,hii inasaidia hata ikitokea kuzinguana hakuna wa kumlaumu zaidi ya kujiona una hatia wewe mwenyewe
 
  • Kosa la kwanza,unaoa halafu bado unaishi kwenu; ushauri,jitegemee kwanza ndio uoe
  • Pili, hudhuria mafunzo ya ndoa,yatakujenga kuhusu maisha yako- kwenye ndoa,mkeo ni mkubwa kuliko wazazi wako
 
Yule binti akaenda kwetu kusalimia wakati huo Mimi sikuepo nyumbani yule binti alipofika pale akagoma kurudi kwao akidai anahitaj kuolewa na mm akawa anatishia kujiua bas badae nikaanza kukaa nae nae
Kosa la binti lipo hapo...

Embe weka picha yake upewe muongozo...
 
Msikilize baba yako hapo kuna mawili..uenda mzee amaeshapita nae ama huyo dada ni mtoto wa nje wa baba yako..
 
Kwan nani atakaeishi na huyo mwanamke kati ya wewe na baba ako? Jibu lako ndio ushauri wangu
 
Vijana wadogo wa Dar

Watakuja kukuambia " Dogoooo miaka 20 unaoa"


Usiwazingatie sanaaa maana vijana wa Dar, wavivu ,wadhaifu, wanaogopa majukumu. Wenyewe unakuta mpaka anamiaka 35+ hajaoa .




Ushauri wangu !!!.


Wewe msikilize Mama , mzeee asikuchanganye ( wazee wengine ulafi sana , unakuta hapo aliwah kamendea mendea basi anatia ugumu ).


MUOE, MTAZAAA NA MUNGU ATAWABARIKI.
Alokwambia kuchelewa kuoa ni udhaifu ni nani??
Nyuzi kibao humu wanandoa wakilalamikia ndoa zao halafu mnajipa moyo kua huo ndo uanaume( sijui mnakua na maana gani ilhali mnajiliza mitandaoni) .

Miaka 21 bado kakijana kadogo kabisa unahangaika na hayo mandoa mkuu yatakupotezea focus yako tu.

Bila ndoa mbunye unapata, mtoto utapata kipi unachokitafuta ndoani mkuu matatizo tu ama??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom