Sitofanya upuuzi wa kwenda kupima DNA kwa mtoto aliyezaliwa na mke wangu wa ndoa

safuher

JF-Expert Member
Feb 11, 2019
11,161
15,839
Ni upuuzi wa hali ya juu sana kwenda kupima D.N.A kwa kigezo cha kutaka kuhakikisha eti kama mtoto ni wako a sio wako.

Watu wanatafuta watoto kwenye ndoa zao wewe unapata unajifanya kwenda kufanya DNA kutaka uhakika.

Tulipopata mtoto wife akaniuliza kimasihara kwamba mtoto hajachukua sura zetu? Nikamuambia maadamu ulihakikisha unamzaa basi huyo ni wetu na mimi ndio baba yake.

Ingelikuwa watoto lazima wafanane na wazazi wao basi dunia nzima wpte tungekuwa na sura ya ADAM na hawa mana ndio binadamu wa mwanzo(kwa mujibu wa imani kadhaa).

Alafu uzuri ni kuwa hata kwa Mungu haupati dhambi ukijimilikisha mtoto kama huyo,yani kila upande unanipa sapoti.

Mimi mtu akipanda ndizi kwenye shamba langu sina haja ya kutafuta nani kapanda,zikiota nitakula na siulizi kitu chochote.

Kama mtu kaja kuweka laki moja yake kwenye mfuko wa suruali yangu alafu akaondoka mimi natumia hizo pesa na wala siulizi chochote.

Na kwa mtoto hivyo hivyo mtu kajipendekeza kupachika mimba kwa mkeo wewe mhodhi mtoto anakuwa wako daima.

Mtoto ni mali ya wazazi kama mungu amejaalia mtoto amezaliwa kwenye ndoa yenu usimuache komaa nae mpaka akue hata kama sio wako kibaiolojia ila ukimlea kimapenzi atakuita baba na atakuwa na mapenzi ya kweli kama baba yake mzazi tu.

Kinachowaweka karibu baba na mtoto sio uhusiano wa kibaoolojia bali ni ukaribu katika malezi yao,hivyo hata kama sio mwanao biologically lakini kimalezi atakuwa mwanao na mtaishi kwa upendo na yeye atajua hivyo.

NB : endapo unaishi na mtu hujamuoa alafu mnapiga washkaji kibao na demu akapata mimba hapo naweza kuona umuhimu wa DNA kwa sababu mali haina mtu maalumu hivyo DNA itatoa majibu nani mwenye mtoto.
 
Ni upuuzi wa hali ya juu sana kwenda kupima D.N.A kwa kigezo cha kutaka kuhakikisha eti kama mtoto ni wako a sio wako.

Watu wanatafuta watoto kwenye ndoa zao wewe unapata unajifanya kwenda kufanya DNA kutaka uhakika.

Tulipopata mtoto wife akaniuliza kimasihara kwamba mtoto hajachukua sura zetu ? Nikamuambia maadamu ulihakikisha unamzaa basi huyo ni wetu na mimi ndio baba yake.

Ingelikuwa watoto lazima wafanane na wazazi wao basi dunia nzima wpte tungekuwa na sura ya ADAM na hawa mana ndio binadamu wa mwanzo(kwa mujibu wa imani kadhaa).

Mimi mtu akipanda ndizi kwenye shamba langu sina haja ya kutafuta nani kapanda,zikiota nitakula na siulizi kitu chochote.

Kama mtu kaja kuweka laki moja yake kwenye mfuko wa suruali yangu alafu akaondoka mimi natumia hizo pesa na wala siulizi chochote.

Na kwa mtoto hivyo hivyo mtu kajipendekeza kupachika mimba kwa mkeo wewe mhodhi mtoto anakuwa wako daima.

Mtoto ni mali ya wazazi kama mungu amejaalia mtoto amezaliwa kwenye ndoa yenu usimuache komaa nae mpaka akue hata kama sio wako kibaiolojia ila ukimlea kimapenzi atakuita baba na atakuwa na mapenzi ya kweli kama baba yake mzazi tu.

Kinachowaweka karibu baba na mtoto sio uhusiano wa kibaoolojia bali ni ukaribu katika malezi yao,hivyo hata kama sio mwanao biologically lakini kimalezi atakuwa mwanao na mtaishi kwa upendo na yeye atajua hivyo.
Huo ni upenzi mchungu, je ukipata mashaka na wasiwasi kuwa unamegewa mke mpaka akapatikana mtoto huhisi maumivu au kachuki fulani kwa mtoto na mama yake

Japo najua kuwa wivu ni ugonjwa na unaweza kupona moja ya tiba ni kukubali matokeo yoyote kama anavyosema mtoa madaa

Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
 
je ukipata maahaka na qasiwasi kuwa unamegewa mke mpaka akapatikana mtoto huhisi maumivu au kachuki fulani kwa mtoto na mama yake
Mkuu mashaka ni upuuzi tu.

Unatakiwa uwe na uhakika kama kweli mkeo kachepuka na kama umehakikisha kachepuka kosa ni la mke sio mtoto.

Mtoto hana kosa mwenye kosa ni mke, ataondoka mke atabaki mtoto, haiwezekani mke nikose na mtoto nikose
 
ngoja akuzalie mchina tuone utasemaje
Kuna jamaa maeneo ya pale magomeni DSM mke wake alizaa mtoto muarabu na yeye ni mswahili,jamaa akasema huyu ni mwanangu na haendi popote,bahati nzuri wakati ule hakuna ambae alikuja kudai kama ni mwanae yule mtoto,jamaa akaendelea kulea mpaka wakahamia kigoma mtoto anazidi kukua na uarabu unazidi jamaa akasema huyu ni mwanangu.

Baadae mtoto kakua familia ya waarabu ikaenda mpaka kigoma kuomba msamaha na kusema yule mtoto ni wao na kweli mtoto kafanana na wale jamaa,mzee kagoma hasa na hakutoa mtoto.

Kwa hiyo mkuu ni maamuzi tu haya mambo
 
Ni upuuzi wa hali ya juu sana kwenda kupima D.N.A kwa kigezo cha kutaka kuhakikisha eti kama mtoto ni wako a sio wako.

Watu wanatafuta watoto kwenye ndoa zao wewe unapata unajifanya kwenda kufanya DNA kutaka uhakika.

Tulipopata mtoto wife akaniuliza kimasihara kwamba mtoto hajachukua sura zetu ? Nikamuambia maadamu ulihakikisha unamzaa basi huyo ni wetu na mimi ndio baba yake.

Ingelikuwa watoto lazima wafanane na wazazi wao basi dunia nzima wpte tungekuwa na sura ya ADAM na hawa mana ndio binadamu wa mwanzo(kwa mujibu wa imani kadhaa).

Mimi mtu akipanda ndizi kwenye shamba langu sina haja ya kutafuta nani kapanda,zikiota nitakula na siulizi kitu chochote.

Kama mtu kaja kuweka laki moja yake kwenye mfuko wa suruali yangu alafu akaondoka mimi natumia hizo pesa na wala siulizi chochote.

Na kwa mtoto hivyo hivyo mtu kajipendekeza kupachika mimba kwa mkeo wewe mhodhi mtoto anakuwa wako daima.

Mtoto ni mali ya wazazi kama mungu amejaalia mtoto amezaliwa kwenye ndoa yenu usimuache komaa nae mpaka akue hata kama sio wako kibaiolojia ila ukimlea kimapenzi atakuita baba na atakuwa na mapenzi ya kweli kama baba yake mzazi tu.

Kinachowaweka karibu baba na mtoto sio uhusiano wa kibaoolojia bali ni ukaribu katika malezi yao,hivyo hata kama sio mwanao biologically lakini kimalezi atakuwa mwanao na mtaishi kwa upendo na yeye atajua hivyo.
istoshe mtoto anaitwa kwa jina lako na ukoo wako. Eti afkishe miaka 50 afu kinyago anakuja anadai mtoto eti ni mwanae, siku zote hizo alikuwa wapi?
 
Kuna jamaa maeneo ya pale magomeni DSM mke wake alizaa mtoto muarabu na yeye ni mswahili,jamaa akasema huyu ni mwanangu na haendi popote,bahati nzuri wakati ule hakuna ambae alikuja kudai kama ni mwanae yule mtoto,jamaa akaendelea kulea mpaka wakahamia kigoma mtoto anazidi kukua na uarabu unazidi jamaa akasema huyu ni mwanangu.

Baadae mtoto kakua familia ya waarabu ikaenda mpaka kigoma kuomba msamaha na kusema yule mtoto ni wao na kweli mtoto kafanana na wale jamaa,mzee kagoma hasa na hakutoa mtoto.

Kwa hiyo mkuu ni maamuzi tu haya mambo
Hahaha kunguru hafugiki
 
Sisi wamasai ilimradi amezaliwa katika boma yako huyo ni wako halali kabisa. Na sisi tunatambua watoto wakishafikisha miaka 8. So wewe nenda tia mimba wake wa wenzio mwisho wa siku ataambulia ng'ombe nyingi na wafanyakazi wengi wakati wewe kwako huna kitu.
 
Back
Top Bottom